Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Kwa muda mrefu nimeangalia kusikiliza na kushiriki mijadala anuai ya kuhusu mustakhabali wa nchi yetu and kugundua kuwa kuna unafiki na uhafidhina mkubwa katika maslahi ya nchi. Kimtazamo hadi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Imenitakisha tamaa kabisa baada ya Uchambuzi wa Magazeti wakati Masako wa Itv akisoma uchambuzi gazeti la Mwananchi Masako amepata kigugumizi kwenye stori yenye kichwa cha habari "BASHE AIONYA...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Nimesikitishwa sana jana na kauli ya tanesco kuhusu huu mgao wa umeme usiojulikana kikomo chake. tanesco inawashangaa wananchi kwa kuwatupia wao lawama kuhusu mgao wa umeme,bila kujua nani...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Nchi yetu inahitaji watu watakao jitolea kwa dhati kwaajili ya ukombozi wa taifa letu, Vijana watakaosimama katika ukweli na kupigania haki na kulisimamisha taifa letu liwe imara, ili kulinda...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Hiyo siku yaja ambapo upendo katika nchi hii utatoweka. Tunakoelekea kama taifa si kuzuri hata kidogo.
0 Reactions
1 Replies
961 Views
Mnamo mwaka 1996 nilifukuzwa chuoni. Lakini kilichonifukuzisha chuoni, ni kufuata mkumbo. Wenzangu waligoma kwa sababu ya posho, kwa upande wangu niliona dhahiri sababu ya kugoma kwao haikuwa na...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
hiki ni kituo kikubwa sana cha mabasi yaendayo mikoani na hata nje ya nchi ya nchi yetu. Na kwa utaratibu ulivyo, mabasi huweza kuingia hata usiku wa manane. Na ukifika pale usiku utashaangaa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
ile foleni kubwa inayotokea nyakati za asubuhi , kumbe dili kati ya matrafiki na waendesha piki piki a.k.a. bodaboda, nikiwa nimebebwa nilijaribu kudadisi nikapata ukweli wake. Dili liko hivi...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Baraza la mpito la Libya limegungua kaburi la pamoja ambalo wamezikwa watu wapatao 1200 ambapo limetangaza litatumia vipimo vya kutambua vinasaba (DNA) ili kujua ndugu wa wafu hao. Ilipotokea...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Tanzania ni nchi ya ajabu na watu wake ni wa ajabu sana, nimeexprience mambo mengi tangu nipo field na sasa nafanya kazi, nimepita mashirika mengi kidogo na nimejifunza kitu,kuna baadhi ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamani Ndugu zangu wana JF sijui nikimbilie wapi.Nilinunua Hisa za Tanga cement mwaka 2003 ,niliweza kupata Gawio mara tatu baada ya hapo sikupata tena.Mwanzoni ulikuwa unatakiwa kutoa acount yako...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
wakuu,nimepata kusikia kuwa kuna habari ya mwanamke kuolewa na umbwa kwenye gazeti la mwananchi.nimejaribu kutafuta sijapata kwa yeyote wenye habari hii naomba atujuze. ASANTENI
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Jana kwenye mchuano wa wagombea ubunge Igunga vurugu za malumbano ziliibuka na hivyo kusababisha kutokusikilizana, lakini kumbe vurugu hizo zilikuwa zinatokea eneo ambalo walikuwa wamekaa wabunge...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
HISTORIA ya dunia hii imesheheni ushahidi wa kutosha kabisa kutuonyesha kwamba mambo makubwa makubwa ya kutisha chni ya jua yameanza kama masihara na katika vitu vidogo vidogo tu ambavyo watu...
0 Reactions
47 Replies
5K Views
Ndugu yangu mpendwa maneno hayo yesu akiwapa wanafunzi wake..yawezekana umekuwa na mfadhaiko wa kila aina ,,umekuwa na shida mbali mbali magonjwa,ajira,biashra zako aziendi sawa...umewaza mpka...
2 Reactions
3 Replies
6K Views
Monday, 26 September 2011 20:51 Rais Jakaya Mrisho Kikwete Aziza Masoud RAIS Jakaya Kikwete anatarajiwa kufungua mkutano wa uwekezaji kwa Kanda ya Ziwa Tanganyika unaotarajiwa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Raisi mpya wa Zambia Michael Satta a.k.a King Cobra amesema kuwa utawala wake utaendesha serikali ya nchi hiyo kwa mujibu wa amri 10 za mungu. Katika kutekeleza amri hizo amesisitiza zaidi katika...
0 Reactions
27 Replies
3K Views
Jamani hii imetokea jioni hii pale Magogoni, nia inayopita Ikulu kutokea Ferry kuelekea Upanga! Mtangajika mmoja amepita akiendesha gari muda mfupi baada ya saa 12 Jioni, cha ajabu FFU waliokuwa...
3 Reactions
31 Replies
3K Views
tumesikia ulipoenda USA kuhudhulia kikao cha baraza la usalama, ulipanga pia kuongea na watanzania waishio huko kama ilivyo ada. nao walikuwa kwa hamu wanakusubiri wakuonyeshe msimamo wao kuhusu...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
tigo nimeongeza buku,wakanipa dakika mbili na secunde 30 kupiga mitandao mengine,nimepiga kwenda voda wamenikata na leo sio mara ya kwanza.jamani tukifungia macho wizi kama huu(ambao sio mdogo...
0 Reactions
17 Replies
1K Views
Back
Top Bottom