After the Igunga district commisioner saga,the Mahakama ya Kadhi,kujitoa mhanga and some disturbing and very irritating words from Muslims socities in our Country,is it the time now for a moslem...
Inadaiwa sababu za kusimama kwa ukarabati wa tuta la mto mkondoa ni mafuta. Mtoa mafuta amesitisha hadi malipo ya awali yafanyike. Hivi taratibu za ukandarasi zikoje ?.
South African rugby journalist arrested because he looked like drug dealer New Zealand police arrested and strip searched a black South African rugby journalist drinking with white colleagues...
Netanyahu anasema aliambiwa na Rabbi kuwa UN body ni 'house of many lies'? Hivi hii inaweza kuwa kweli? Msikilizeni JK halafu tuitazame tena hii statement ya Netanyahu...
Nimeshtushwa na matraffic wa Mbeya leo hii mchana nikiwa safarini kwenda boarder kuwahi usafiri wa Lusaka. Nikiwa katika kiti cha mbele karibu na dereva, basi lilisimamishwa eneo la Tazara Iyunga...
Kutokana na suala la mgao wa umeme, tanesco na mawaziri wamekuwa wakisema utaisha mwezi wa kumi na mbili, nawashauri watanzania wenzangu ili kuonyesha hii serikali...
The video is not related to the story below, though it appears to be systemic, Afghanistan's dancing boys notwithstanding. These accused devout Muslims teach "Islamic lessons" at the centre.
It...
Wana jf ni wazi kuwa demokrasia TZ itadhoofishwa na inaendelea kudhoofishwa daima na chombo tunachokiita TBC.
UPENDELEO WA WAZI NDO DHIMA YAO HASA LINAPOKUJA SUALA LA KAMPENI mfano mzuri ni...
Kwenye taarifaa yenu ya leo usiku wa saa 3.30 mmeinena KNCU kuwa ni Kilimanjaro National Cooperative Union kitu ambacho siyo sahihi. Kirefu cha KNCU ni Kilimanjaro Natives Cooperative Union...
Wataalam wetu Tanzania ni fake jamani? Mbona umeme imekuwa balaa? Sasa ngoja niulize swali,je ni lazima umeme upatikane kwenye mabwawa na maporomoko? Mbona tuna maziwa yenye maji mengi na...
Huu utitiri wa vyama vingi sasa nimejua wahusika walikusudia nini,ni kuwa na vyama ambavyo havitakuwa na nguvu ili chama tawala kiendelee kutawala.leo kwenye taarifa ya habari toka tbc chama cha...
Ni takribani wiki ya nne sasa tangu kusuasua kwa mtandao wa VODACoM na mara nyingine hakuna mawasiliano kabisa.
Wiki mbili zilizopita nilibahatika kuwapata kwa kuwapigia namba yao ya Huduma kwa...
Kana kwamba wamechoka kuona rais akipigiwa vingora
sasa watanzania kadhaa wakiwa na pikipiki wamepora
mabox zaidi ya sita kutoka kwa wahabeshi kwa kumwaga
bastola angani kadhaa...habari zaidi...
Tuliambiwa huko nyuma na ninyi, Ili tuendelee tunahitaji vitu vinne
1. watu
2. ardhi
3. siasa safi
4.uongozi bora
sasa leo imetimia miaka 50 ya uhuru Nchi iko ktk giza, hospitali madawa hakuna ...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.