Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Ndg zangu wanajamii nisaidie kwa hili la mgawo wa umeme na bili isibadilika. Kabla ya mgawo matumizi yangu nyumbani ni unit 85-100, cha kushangaza mgawo ulipoanza rasmi ambao hadi siku mbili...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hv wana JF huyu maalim Seif Sharif Hamad ana kazi gani......? Au ndo yale mamlaka makubwa lakini ni kama bure tu.
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Fundi wa Tanesco apigwa shoti ya Umeme akiwa JUU YA NGUZO ENEO LA COTEX AFRICANA...............HAKIKA HII NI AJALI MBAYA AMBAYO IMEPATA KUSHUHUDIWA. Alikuwa kakaa juu ya nguzo za Umeme eneo la...
0 Reactions
11 Replies
5K Views
Hivi TRA ni taasisi ya kukusanya kodi au kutuibia na kutukamua siye masikini tunaonunua mikweche iliyotumika Japan.haiwezekani mtu umenunua mkweche wako hadi unafika nchini kwa milioni tatu then...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Miaka mitano ni michache sana kwa mwanadamu, ni umri ambao mtoto kama atakuwa ameenda vyema basi atakuwa chekechea ambapo atatarajia kukaa ama mwaka au miaka miwili kabla ya kwenda shule ya...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Kweli inakera saaaaaaaaaaaana kwani tunaishi maisha ya kubahatisha. Huwezi kuplan kitu chochote kila kwasababu haujui nishati ya umeme inapatikanaje. Kama Arusha imekuwa ni upumbavu mtupu. Kwa...
1 Reactions
53 Replies
4K Views
Hakuna umeme mkoa wote wa Mwanza hivi navoandika. Tangu wiki jana umeme umekuwa unakatika hovyo pasipo taarifa yeyote. Tanesco twambieni kuna tatizo gaoi Mwanza?? Hii kuku inaitwa Ngeleja...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakati anatangaza habari za uboreshaji wa reli ya Tazara katika kutimiza miaka 35 tangu reli hiyo ianze kazi, mtangazaji wa Ch 10 Mcharo Mrutu alimtaja Rais wa zamani wa Zambia -- Kenneth Kaunda...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Ni muda mrefu kumekuwa na matatizo ya umeme nchini tanznia.swali ni sheria zipi zinazoliongoza shirika hili?.kumekuwepo na malalamiko tokea miaka mingi sana kuhusu uharibifu na hasara watu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakati mwaka jana dec nilipata tin bure naambiwa leo watu wanauziwa tena na wafanyakazi wa tra nawakiona aibu wanatumia wale vishoka pale nje kwenye ofisi zao jamaani hasa wakati huu wa license je...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Naaam Kwanza tujipe pole pole watanzania wote kwa msiba na wa ajali ya meli na zaidi kwa wale walioguswa moja kwa moja kwa kupoteza na ndugu , jamaa na marafiki . kama kawaida sisi...
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Ukifungua www.mwanza.go.tz utakumbana hii message If you are the Administrator of this website, Please contact the billing section (+255 658 680751) for payment settlement as soon as...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Naomba kutumia jukwaa hili kufikisha mawazo yangu kwa watanzania ili pamoja na mambo mengine tuangalia njia za kuchukua kuondokana na ukandamizaji unaofanywa na makampuni ya simu za mkononi ambayo...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
mimi ni mkazi wa Arusha naishi Suye ninayefanya kazi Dsm na naishi Ubungo karibu na stand ya mkoa. Nikiwa Dar umeme kwa wiki ulikuwa unakatika mara mbili au tatu kwa wiki lakini kwa Arusha hii ni...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Mimi ni mtanzania na kwa haki yangu yakikatiba kama ilivy hainishwa ktk kifungu cha18 ninao uhuru wakutoa mawazo hata pasipo kumtusi mtu. Mh Rais wa jamuhur ya muungano wa Tanzania tumesikia meng...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Waziri wa miundo mbinu amesema yeye ana mamlaka ya kuunda tume,lakini pia amesema kuwa japo watu wamekufa lakini na mwenye meli nae amepata hasara maana suala la kuzama meli si dogo...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Jaman kwa kweli hii forum ni nzuri mno, coz inatupa uwezo wa kujua vitu vingi na kushare mambo ya kimaendeleo moving us a step ahead.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nipo kahama katika banda la maonyesho la kampuni ya uchimbaji madini barrick gold mine. Nimeona banda jinsi lilivyopendeza picha nyingi za mitambo inayotumiwa kuchimbia dhahabu,wahudumu wengi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa kweli nchi yetu inateketea siku hadi siku kwa kuwa serikali yetu imejaa watawala badala ya viongozi, coz watawala hujiwaza wao na manufaa yao tu na ndio watu waliojaa madarakani serikalini ni...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom