Hapa Chang'ombe Bora mbele kidogo ya magorofa kuna mafundi seremala, nyumba wanayofanyia kazi inaungua, napiga simu namba ya dharura, sijawapata, nimesha ripoti Chang'ombe polisi
nilifuatilia kauli ya Maige kumsimamisha mkurugenzi wanyama pori lakini kinachonishangaza ni tarehe ya kusimamisha alisema nanukuu 'leo tarehe 18 mwenzi 11' mwisho wa kunukuu wabunge hawajaliona...
Hivi kwa nini Premy na crew yake wanazidi kufanya kila jitihada kuzuia access ya inner workings za Ikulu?
Mfano, hawakufanya any public consultation kabla hawajata ile miti kule nyuma...
Kuna nyeti bado hazijawa rasmi kwamba upo mkakati wa kijasusi wa kuingiza taifa hili kwenye maandamano makubwa very soon.
Mkakati huo unaundwa na majususi kutoka nchi mbalimbali za ulaya na...
Ni kweli tangu vyama vingi vimeingia gazeti la UHURU limekuwa likipingua na hatimaye kukosa kabisa wasomaji. Lakini kwa kunagalia thread za humu unaweza kubaini linavyoweza kupata wasomaji.
Mtu...
Mama yetu rita mlaki amezidiwa gafla jamani sijui ugonjwa gani ameshuka salama kabisa kutoka kwenye ndege
na hivi sasa wanampeleka kwa tax ikiwa na honi za kufa mtu kutoka arriv airpor imebidi...
Ikulu imepinga kwa nguvu sana juu ya kashfa ya rushwa inayomkabili aliyekuwa waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa ambae kwa sasa ni Rais wa JMT Jakaya Kikwete, lakini pia katika...
Wana JF,
Napenda kuleta hoja yangu hapa, Mara baada ya Rais JK kuchaguliwa kuwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano ya Tanzania 2005 na ukapita mwaka mmoja ywa uongozi wake JK aliibuka kidedea kuwa ana...
Magazeti "huru" ya kila siku, ikiwemo Mwananchi, Nipashe, Guardian, Mtanzania leo yamepuuzia habari ya Wikileaks kuhusu tuhuma za Rais Kikwete kupewa rushwa na mfanyabiashara wa Dubai anayemiliki...
JK aponzwa na Msimamo tete wa Tanzania kuhusu LIBYA Wiki Leaks yatumika Kumfunga Mdomo
Tuhuma ambazo zinasambazwa kwa sasa na Mtandao wa Wiki leaks ni juhudi za wazi za idara ya ujasusi ya...
Nafikiri kuna kila sababu ya nyumba za ibada kutoitwa majina ya watu, maana watu hao watakapokumbwa na kashfa inamaana nyumba hiyo ya ibada itajikuta nayo imepata kashfa. Hii ni pamoja na kuepuka...
SERIKALI imewaagiza wamiliki wa shule binafsi za msingi na sekondari kote nchini, waache kuwavalisha majoho na kofia, wahitimu wa elimu wa ngazi hiyo kwa sababu kitendo hicho kinadhalilisha vazi...
Tafakari:Ni ajabu Chibuku kuizidi dhahabu katika ulipaji kodi Tanzania!
Saturday, 03 September 2011 18:54
Na Julius Samwel Magodi
WASWAHILI wanasema zubaa uliwe. Hilo ndilo linalotokea...
GOLD prices topped $US1900 a troy ounce today as worries about slowing growth and European debt whetted appetite for the metal's perceived safe haven. Gold for December...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.