Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Kwetu Iringa Today 08:14 PM #70...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Tumepata ukweli kuhusu UDA toka kwa kisena. Imeonyesha ni jinsi gani watz walivyo wanafiki katika mambo yanayotuhusu. Tunamsulubu mtz mwenzetu kama mhalifu. Hatuna taarifa sahihi za kutusababishia...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Robert Kisena, anaelezea procedures walizopitia kununua hisa 52 za udA . Anasema ana docs zote,kwamba hawakufanya kosa lolote la kisheria za manunuz. Anang'aka sana!
0 Reactions
1 Replies
1K Views
1. Kuwepo kwa samaki nguva. 2. UFO 3. The pandoras box 4. The bemuda triangle 5. Kikombe kinachotibu magonjwa yote sugu. 6. Kuzaliwa kwa kondoo mwenye maandishi ya sura "YASIN". 7. Kuwa...
0 Reactions
39 Replies
4K Views
Jana asubuhi muhimbili wamefanya kituko kingine kwa ku declare bint mmoja wa kichaga kuwa mfu, mume wa marehemu akaachwa hoi na breaking news hiyo. Kijana akawaarifu wafanyakazi wenzake na wazazi...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Huwa sielewi ni kwanini medical doctors wanapokuwa wanapita kwenye macoridor hospitalini wanakuwa wanavaa kifaa flani ivi mabegani mwao. Au hiyo ndio symbol ya kuwa ni dr? kwanini wasitembee na...
0 Reactions
27 Replies
4K Views
Atakuja mtu atakuambia nina biashara nahitaji mkopo benki nyumba yangu haina hati naomba unidhamini nyumba yako nikope benki nitakupa asante ya tsh mil 15 na pia nyumba yangu nitaiweka rehani ili...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Katika pekua pekua yangu, nimegundua thread hii ndo the longest kushinda zote... https://www.jamiiforums.com/international-forum/112307-the-libyan-crisis-and-gadaffis-options.html Ina pages 179...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Waandishi WetuToleo na 198 Ni nani hawa Simon Group LA? Walilivamiaje Jiji la Dar kutoka Mwanza? KATI ya mijadala iliyozua hisia kali hivi karibuni katika kikao cha Bunge kinachoendelea mjini...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Jamani, nasikiliza power breakfast ya Clouds FM. Mara nasikia kuwa serikali ya SA imeridhia uuzwaji wa ngozi iliyokatwa kutoka kwa watoto wadogo -tohara. Ngozi hii hutumuka kutengeneza cream...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wana JF, Nimepata tetesi kuwa kampuni ya mafuta BP-Tanzania ilisha uzwa kwa mtu mwingine. Huku serikali/EWURA wanasema itafungiwa hapo ni danadana au? Release date: 15 November 2010 BP today...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema Wilaya ya Iramba mkoani Singinda, Emmanuel Ntundu, amewataka Watanzania kutoshabikia sera ya nguvu ya umma na kwamba, itaitumbukiza nchi kwenye machafuko makubwa...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Ndugu zangu kwa jinsi hali ilivyo na usanii unaoendelea kufanywa na serikali yetu. Maisha yatakuwa magumu magumu magumu ambapo kwanza kutachapishwa noti mpya ya Tsh 50000 kufikia mwaka 2015 sukari...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Waandishi Wetu Toleo na 19 Zitto akumbushia vita ya Kagera Kilango: Serikali ichukue hatua ​Makamba: Itasababisha vurugu Mnyika: Kuna rushwa kubwa WAKATI kukiwa na taarifa za kuwapo...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Friday, 12 August 2011 21:45 Symbion, NSSF wapewa miradi ya kuzalisha Nchi nzima Neville Meena, Dodoma KAMPUNI ya Symbion Power ya Marekani na Shirika la Hifadhi ya Jamii nchini (NSSF)...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Hiyo ni kauli mbiu ya miaka 50 ya uhuru Tz. Sijajua kama kuna ukweli. We unaonaje?
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Tumepata bahati ya kusali ijumaa zetu bila ya usimamizi wa Polisi tuliozoea nao. ilikuwa nadra kukuta Ijumaa inasaliwa huku polisi wakiwa wamezunguruka misikiti. hongera kwa kazi kubwa mnayofanya...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
The snow-capped Mount Kilimanjaro might be officially on Tanzanian soil, but this has not helped avert controversy as Kenya seeks bragging rights to Africa’s highest peak. Located 20km into the...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Tafadhari sana nahitaji msaada ili kuweza kusoma habari za Bishop Kakobe hasa ile iliyosema Kakobe alipua Bomu
0 Reactions
3 Replies
1K Views
• HALI YA MAFUTA BADO TETE DAR, MIKOANI na Mwandishi wetu - Tanzania Daima SERIKALI imetahadharishwa kuwa isipochukua tahadhari kusaka suluhu ya kudumu ya tatizo la mafuta na...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom