Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
kinahusu katiba mpya, Marando ni mtoa mada...........kipindi kinafanyikia GEITA! kudos star tv!
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Leo jiono kutoka namanga mpaka sayansi nimetumia masaa mawili kwa gari, ni aibu kubwa sana. Tatizo letu sisi wa tz tunauoga kuongelea na kudai haki zetu. Mafuta ya gari kidogo unayokuwanayo...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Jamani kama mtakuwa mnakumbuka vizuri mwaka jana kipindi kile cha kampeni mh Dr Slaa alibaini ubadhilifu wa kiasi kikubwa cha pesa ktk halmashauri ya Bagamoyo.Iliundwa tume iliyopewa muda wa miezi...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
watoto wengi wa siku hizi hasa sehemu za mijini wana nafasi au uwezo wa kuangalia movies, televisheni majumbani mwao. lakini nakumbuka miaka kama ya 1990 wakati huo naishi CRDB maghorofani (au...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Aslam aleykum sheikh, tafadhali mwenye uelekeo wa alipo Kamanda Kova anijulishe. Wadau na wananchi msiwe na hofu, ni mambo ya kiitelijensia zaidi.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kwa kile kinacho fahamika kama jitihada sa Nnape kuiokoa CCM dhidi ya watumia mtandao imelikumba jukwaa la maoni kny blog ya mwananchi.com kama sehemu ya majaribio ya kuwatumia vijana walio...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Rebecca Balira sentenced to six months and ordered to pay 21-year-old Methodia Mathias £3,000 in compensation Rebecca Balira was convicted at Southwark crown court of keeping Tanzanian woman...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Katika hali ya kushangaza kabisa nikiwa natoka bagamoyo kuelekea kwenye majukumu yangu asubuhi ya leo nilibahatika kupanda coster (ambayo pia ni ya huyu jamaa) na mmoja wa watuhumi wa wizi wa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Rais Jakaya Kikwete amemteua tena Harry Kitillya, kuendelea kuwa Kamishina Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kwa kipindi kingine cha miaka miwili kuanzia Agosti 2, Mwaka huu. Aidha...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wengi tunatambua na kuukubali uwezo wa kisiasa wa John Mnyika. Alipoingia bungeni tuliamini kuwa ndiyo chance ya kufaidi zaidi uwezo wa kijana mwenzetu. Miezi kadhaa, sasa kijana anafanya vizuri...
1 Reactions
19 Replies
2K Views
Binafsi nimestuka kidogo baada ya kumuona kilaza Lukuvi akiwa amepiga pamba za kichungaji leo kwenye tarifa ya habari tbc ccm!
1 Reactions
37 Replies
4K Views
Nawasalimu wote kwa ndugu zangu members. Naomba kuwailiza UWURA na wenzao . Ni kwa nini Arusha hakuna umeme wala mafuta?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nahisi hizi siku za mwisho, nimesoma mwaana halisi mh malima katika moja ya safari zake ambazo lengo ni kusaini dili chafu la kuwaleta wasouth africa kuchuma copper huku Tanzania akishirikiana na...
2 Reactions
40 Replies
5K Views
Thursday, 11 August 2011 20:47 0digg Na Habel Chidawali KUNA wakati wa kulia, na wakati wa kucheka, kuna wakati wa kufurahi na wakati wa kununa, lakini pia kuna wakati wa furaha na wakati wa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
sisi tunaiba fedha kutoka vyanzo mbalimbali, wenzetu wachina wanaiba teknolojia. Hivi Teknolojia na fedha kipi cha thamani!? Nchi za wenzetu wanatuma watu wao nchi mbalimbali duniani wakatafute...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
katibu wa ccm wilaya ya hai mh. Hassan Mtenga.anayo barua inayomelekeza kufukuzwa kazi kutokana na na utendaji usio ridhisha. baada ya kupata barua hiyo alilazimika kutafuta vidonge aina ya...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
MWALIMU wa Shule ya Msingi ya Kwamaksau iliyopo Useri, Wilaya ya Rombo, mkoani Kilimanjaro anatuhumiwa kuwalawiti wanafunzi sita wa kiume kwa nyakati tofauti baada ya kuwarubuni kwa kutumia...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ufisadi umefikia pabaya sasa ni weupe kwa weupe
8 Reactions
40 Replies
7K Views
Tanzania study shows one in three girls sexually abused The government has promised to tackle sexual abuse Continue reading the...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kila siku kinakuja kitu kipya. Mwaka huu peke yake tumeanzia na uchaguzi wa wizi then Dowans. Haya tumekuja na wizi wa bungeni posho lakini wenzetu ccm wanaita mishahara na marupurupu. Ukaja umeme...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom