Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Stay tuned on Star TV this Saturday at 6:30pm to 7:45pm, Mr. Robert Kisena (Simon Group Chairman) and Dr. Masaburi (Dar Mayor) will be answering all issues regarding to UDA privatisation
0 Reactions
1 Replies
996 Views
Ni kama ilivyokuwa kwa babu wa LoLiondo. Mkakati wa CCM ni ku divert minds za watanzania ili wasifuatilie hoja zenye kuonesha muelekeoi wa kitaifa.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Tz inamatatizo mengi makubwa na yenye aibu sana ulimwenguni. Na kiongozi wetu amekaa kimya,inamaanisha nini. ukweli ni kwamba,asiye na jibu hajui anafanya nini. Na si muda kitaeleweka!!!!!!!!
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Mimi ni muumini wa nguvu za kimaumbile. Naamini kwamba kila kinachopandwa, hatimaye huvunwa kwa njia ile ile, kama leo hii mtu akitenda wema, ni wazi atavuna wema huo, iwe anataka au hataki. Kwa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Baada ya kuumia kwa muda mrefu sasa nimeona nilitoe hili la wizi mpya wa Kampuni ya Mawasiliano (TIGO). Njia wanazozitumia ni kama ifuatavyo:- - Ulazimisha nyimbo bila wewe kukubaliana nao na...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
huyu jamaa ni mwandishi kweli mbona anakera? Hivi
0 Reactions
6 Replies
7K Views
Kupeleka tani 300 za mahindi Somalia wakati hapa kwetu kuna njaa kali sana sijui ni unafiki au kujidanganya. Tukubuke charity begins at home
0 Reactions
0 Replies
848 Views
For the first time an African country has subjected itself to international scrutiny of the rates of mental, physical and sexual violence suffered by girls and boys, and their impact An...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kupeleka tani 300 za mahindi Somalia wakati hapa kwetu kuna njaa kali sana sijui ni unafiki au kujidanganya. Tukubuke charity begins at home
0 Reactions
0 Replies
789 Views
Didasi Masaburi meya wa Bongo ameivunja bodi ya wajumbe wa ddc iliyokuwa ikiongozwa na Abas Mtemvu hivyo kuonyesha ile vita ya UDA bado inawatesa na mapambano bado ni makali kupita kiwango!!
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Jamani kati ya hayo majina mawili ni lipi zuri kwa nchi yetu?
0 Reactions
2 Replies
840 Views
habari nilizozipata vile viwanja vya burka arusha vilivyoleta mushken vitagawiwa ndani ya mwezi huu na vitakuwa tayari kuanza kujengwa soon kwa waliyopata na ambao hawakupata ila kwa tulioomba na...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kutoka katika Facebooka ya Frederick Katulanda Tarehe Jumatano, Agosti 10, 2011 saa 2:43 mchana: Kumeandikwa hivi: TANZIA: Imenichukua muda kuamini, pengine hii ndiyo sababu ya kuchelewa...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Kulioni kwenye Gesi??Huku Tanzania ikigubikwa na hoja ya uhaba wa mafuta na mgao wa umeme bei za gesi zimepanda bei tena???Hivi mamlaka husika zinafanya nini kila leo kupindisha bei gesi???Mtungi...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Asubuhi ya leo nilikuwa kwenye daladala nikitokea Kinondon nikielekea Ilala,ndani ya daladala ile dereva alifungulia TBC Fm mjadala uliokuwepo ni wa watu kupiga simu na kuchangia suala la uhaba wa...
4 Reactions
47 Replies
5K Views
Hivi kwa nchi hii suala la dual citizenship linawezekana?.Kama linawezekana nitashukuru kwani hivi sasa ninajifua kujua lugha ya kifaransa,nataka kusogea hapo Rwanda kwa Kagame,naona life la hapa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Katika hali ya kushangaza na kusikitisha jiji la mwaza linakabiliwa na hali mbaya baada ya Mamlaka inayohusika na usambazaji wa Dawa nchini kushindwa kusambaza dawa na vifaa vya kupimia virusi vya...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kama ukisoma mafundisho ya dini nyingi hata yale ya asili utabaini kwamba mbinguni ni mahali ambapo panatakiwa kuogopwa na kukwepwa. Tunaambiwa kuwa kuna pepo lakini pia kuna moto. Hakuna hata...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Dr Slaa kwenye wall yake ya facebook anaandika hivi: "Tunaye Rais asiyependa kusemea matatizo ya wananchi wake. Matatizo wanayoyapata Wananchi kwa sasa ni matunda ya uongozi mbovu usiojali...
0 Reactions
69 Replies
5K Views
Wadau,watu wengi wamekuwa wakilalamika juu ya matatizo mbalimbali yaliyo na yanayolikabili taifa,lakini kuna watu ambao huwa wanafikiri kwa makalio nionavyo mim hawa ndio wametufikisha...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Back
Top Bottom