baada ya kuwa umeme wa ccm unasumbua wananchi wanaotumia huduma hii sasa hata mie kuna haja ya kuwa na mgomo usiokuwa na kikomo hadi hii serikali ya kifisadi....................................magamba
Jamani wanaJF, hasa wakazi wa Dar es Salaam
Mnazi Mmoja wameanza maonyesho ya WIZARA YA NISHATI NA MADINI katika kufanikisha maadhimisho ya miaka 50 ya Uhuru waTANGANYIKA!
Haya, nimewawekea na...
Ni baadhi ya matatizo ya aibu kabisa wabunge tumezoea kuwaona nayo!
Mbunge mzima, mwakilishi wa wananchi, ulienda kutoa na kutetea hoja mjengoni unalala waziwazi!! Hapa wahusika mnawajua...
Tanzania ni moja kati ya nchi nyingi barani Africa zinzokabiliwa na wimbi kubwa la watoto wanoishi katika mazingira magumu .
Utafiti ulliofanyika ulitambua makundi mbalimbali ya watoto hao ikiwa...
Mwili wa aliyekuwa Mhariri Mkuu wa Gazeti la Rai na Mhariri Mtendaji Msaidizi wa New Habari Corporation Limited, Danny Mwakiteleko, aliyefariki dunia juzi alfajiri katika Taasisi ya Mifupa...
VATICAN CITY, July 18 (CNA/EWTN News) - The Vatican cemented a diplomatic relationship with Malaysia on Monday, as Christians within the majority Muslim country help push for governmental...
Unafanya kazi gani? Kweli unabeba maboxi?
Ningependa kuona unaniambia kazi gani unafanya huko nje ya nchi.mfano kama wewe ni chef. Utaandika MIE CHEF
Basi tu maaana wabeba maboxi bado...
Habari zenu wakuu. Najaribu kutafakari Bunge letu na kukiri kwamba limechangamka sana lakini linaanza kukera kwa kelele ambazo mimi naona hazina maana sana. Angalieni usomaji wa kanuni kila dakika...
Mgao wa umeme unaolikumba taifa hili ni adui yetu sasa,
hadha zimekua ni nyingi. Uchumi unarudi nyuma, maisha ya kifamilia
nayo yanazidi kuwa ya gharama maana mafuta ya taaa ndio utoa...
Wakuu jamvini, imekuwa desturi na mazoea pale tunapopata taarifa ya kifo/vifo kuhuji nini basi kimepelekea kifo/vifo! Je lengo haswa ni kujua uzembe ama staili ya kifo ili nasi tujifunze siku...
katika mwendelezo wa kufuata sera za upinzani,jk kwa sasa amepunguza maofisa anaosafiri nao nje kufikia 34 kwa safari.hayo yalisemwa na waziri membe.source gazeti habarileo la leo
Wadau kama kuna kitu kinachonikera ni hii tabia iliyoanza ya baadhi ya mitandao ya simu kutulazimisha kusikiliza matangazo yao. Yaani kwa upande wangu naona kama imekuwa ikiniongezea stress na...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe Jakaya Mrisho Kikwete keshokutwa (25/07/2011) anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika siku ya kumbukumbu ya Mashujaa itaayofanyika...
Timu ya taifa ya uruguay wametwaa taji la copa america 2011,kwa kuwafunga paraguay{wazee wa viatu} mabao 3-0,suarez [adui wa waafrica]wakati wa kombe ta dunia 2010 kule bondeni,ameifungia uruguay...
Miaka ya nyuma kunapotokea tatizo la ukame tena ambalo halina madhara kama la hivi sasa viongozi wa kikristo na wasio wakrsto hukutana kwa nyakati tofauti kuombea mvua.
Wengine husoma albadiri...
Wakuu nimekutana na hii issue mara mbili watu waki-debate. Nikaona si vibaya nikaleta kwa great thinkers tupate mawazo na mitizamo yenu.
Medical marijuana: Kuna baadhi ya states huko U.S na MExico...
Hali ninayoiona hapa mahakama kuu ni kwamba wafungwa wote wamegoma kushuka kwenye karandinga lile la police. Na wanacholenga ni kutaka haki yao isikilizwe. Na wanataka mwandishi wa habari aletwe...
Wadau kwa siku mbili zilizopitz nilikuwa katika mji wa Geita Mwanza habari zilizoenea ni kwamba mbunge wao Reonard Max amezuiwa kuhudhuria vikao vya bunge kutokana na kashfa ya kufumaniwa na mke...
Wadau nimeishi mjini zaidi ya miaka 20 lakini barabara naiogopa, ajali naziogopa usipime sasa najiuliza hawa vijana wetu waliojiajili kwa kuendesha bajaji na bodaboda sheria za usalama barabarani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.