Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Ndugu zangu nimestuka sana baada ya kuona jana kwenye TV wakati mwakilishi wa New Habari alipokuwa anatoa salamu za rambirambi toka kwa Rostam Aziz. Alipotamka kuwa mke wa marehemu Danny atalipwa...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Wamekaa kishamba sana kama kushabikia Kutolewa kwa mbunge Wenje ni tabia ya ulimbukeni ,Kwa yanayoendelea bungeni ,chadema kinawakilisha mahitaji ya wananchi kwa juhudi zote hata kama inawacost...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Chuo kikuu Cha Ardhi bado hawajatoa vyeti vya "GRADUATES" Wahitimu wa kuanzia mwaka 2007 na kuendelea. Nimesikia kuna mgogoro kati yake na chuo kikuu cha Dar Es Salaam. Mimi ni mhanga mmoja...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Jamani nimeikuta hii topic humu link hii chini inasikitisha sana Kuna mtu huko anajua shule ilipo awape print out labda watabadili mawazo au wenye sheria saidieni This is sad...
0 Reactions
0 Replies
830 Views
Duh jamani ndugu zangu umeme huu sasa umekua tishio kubwa katika nchi yetu, sijui tufannyenini ndugu zangu!!!
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Katika gazeti makini la Mwanahalisi toleo la leo 27/7/2011 kuna habari iliyo jaa ukura wa mbele inasomeka "JK amuangukia Rostam Azizi" Mwandishi wa habari hii ni mpiganaji mahiri tz ndugu Said...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wanafunz 8 ambao walikamatwa na Polis wakiwa wamelala kwenye nyumba ya kulala wagen ya Vatican huko mkoani dodoma inasemekana kuwa walikuwa ni wageni wa waziri wa Elim dr Kawambwa...
0 Reactions
7 Replies
5K Views
Nianze tu kusema nimebakiza 5% kusikiliza vipindi vya CloudsFm na hii ni kwenye PowerBreakfast tu na nasikiliza sehemu ya Jicho la ng'ombe(), Bonge na habari za magazetini(PJ) na badae naizima au...
0 Reactions
73 Replies
18K Views
Katika kikao kilichokaa majuzi cha madiwani wa jiji la dar..waliongelea swala la kituo cha mabasi cha ubungo katika hilo waliongelewa sheria ya kupandisha kodi kwa wanaoongia ndan ya uwanja huo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu habari zenu? Naomba kuuliza hivi huyu JAKSON MAKWETA bado ni mbunge? Sijamsikia muda sasa,nakumbuka aliomba kipindi cha kwanza cha JK amalizie,mwenye taarifa naomba anijuze.
0 Reactions
24 Replies
4K Views
Wakuu natarajia kupata Likizo August Hii inayokuja. Na-plan kwenda mbali na Dar kupumzika kidogo angalau kwa two weeks or more.... Munaweza kunisaidia miji na sehemu nzuri kwa mapumziko marefu...
0 Reactions
60 Replies
12K Views
Jamani hapa Arusha leo daladala zote zmegoma ili kushinikiza madai ya madereva na wamiliki kwa selikal hususan traffic. Yaani ni karaha juu ya udhiha hakuna daldala since saa 11 alfajili.
0 Reactions
199 Replies
15K Views
Jamani kwanza kwa heshima na tadhima naomba niwasalimu wana JF wote halafu mi ndo mgeni bado nina kamba mguuni,sasa jaman mi ni swali huwa limeniumiza kichwa mda kidogo.Hivi ni kweli zile mashine...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mtoto agongwa na gari, atupwa ufukweni Dar Imeandikwa na Mwandishi Wetu; Tarehe: 26th July 2011 Habari leo POLISI jijini Dar es Salaam wanamtafuta dereva aliyemgonga mtoto, Ally Shabani (7)...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari zenu jamvin! Kwa utafiti ulofanya na tume Man & Psychological behaviours ya everest university U.S wamepata 3major groups of man in psychological perspective! Nayo ni kama ifuatavyo...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Ndugu wana jamii, nimesukumwa kuwaandikia wenzangu katika forum yetu, kuwataarifu na hasa kumtaarifu Bw C. Misango ambaye ni mtunzi wa kitabu kiitwacho NDOA YANGU, NINGEJUA kwamba jana mchana...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Tanzania ya leo imevamiwa, wasomi wetu wamesahau role yao katika jamii, wameamua kufumbia macho matatizo ya jamii, wameamua kugoma kuwa wa kweli, wameamua kukaa kimya nakusahau kuwa wana kazi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nina mgeni toka Italy , amekaa siku 3 akishuhudia mgawo wa Ngeleja. Jana amezunguka kitaa. Kaanzia Kariakoo, Kisutu, Mwananyamala na akarudi Hotelini kwake. Kwa survey hii amenipa finding hii-...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mimi Yo Yo leo tarehe 8 april natangaza rasmi kuukana uraia wa tanzania na kuutupilia mbali na kuwa Mkenya.
3 Reactions
73 Replies
7K Views
Ningependa kufahamishwa gharama halisi ya kufunga umeme wa jua utakaoweza kuwasha taa zote za ndani ,jokofu tv na jiko itagharimu sh ngapi kuufunga
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom