Wadau wote kutoka Lindi na Mtwara anayeguswa na maendeleo ya watu wetu ningeomba tukutane jumapili tar 24th July 2011 saa 8 mchana pale Mlimani city. Naamini mna nia njema na mmejihamasisha vya...
Wabunge wa CDM ndani ya Bunge la JMT inayotolewa kila kukicha ama na Spika, wenyeviti na waendesha bunge ni kubwa mno na inakera wananchi wote. Tunategemea wabunge watetee wananchi na wapiga kura...
They are fairly represented in the government / parliament; I would even go as saying they are unproportionally favoured; Population of ZNZ is only 1m... Yet bungeni they are always whining about...
Katika kuumbua unafiki unaojijenga kuwa katika Muungano wazanzibari hawanufaiki, methibitika kuwa wao wenyewe wanajihujumu.
Mwakilishi wa CCM,jimbo la Kwamtipura Ndg Hassan Juma, ameliambia Baraza...
Ndugu zangu,
Kuna tuliopata bahati ya kuyakumbuka tuliosimuliwa zamani. Ni mambo yenye elimu kubwa inayofaa maishani.
Naam, palipata kutokea nchi kwenye bahari ya giza. Nchi hiyo ilikuwa...
Nikiwa Mwanza mtaani maeneo ya bandarini nimeiona gari ya polisi ikiwa imefika ikiwa na mwili wa marehemu tayari kwa usafiri wa meli wa saa nne usiku kwenda Bukoba.Kwa bahati nzuri kati ya askari...
Kwa mwenye kujua TV Chanel provider wa Kichina nadhani wanaitwa "Zing" wanapatikana wapi, wakala wao wako sehemu gani na bei zao za kuunganisha ni kiasi gani. Mnijuze mwenzenu.
Katika mjadala unaoendelea sasa hivi katika idhaa ya Kiswahili ya BBC, Charles Hillary amemtambulisha Magid Mjengwa kama Mwanakijiji. Magid anashiriki mjadala kuhusu mauaji yaliyotokea Norway...
Ukweli itakuwa ni baada ya masaa machache kupita toka pale mwenyekiti wa tume ya taifa ya uchaguzi kumtangaza rasmi DR Jakaya Mrisho Kikwete kuwa mshindi katika mbio hizi ambazo zinashirikisha...
WanaJF wenzangu habari za jioni,natumai mu wazima woote.Mwenzenu kwa kipindi kirefu nimekuwa nikisimuliwa na kusikia kwenye vyombo vya habari juu ya tiba inayotolewa na mch,mstaafu...
Nimekuwa nikiwaskia baadhi ya wabunge ambao hupenda kunukuu baadhi ya mistari ya kwenye maandiko matakatifu.Hasa katika vitabu vya Biblia na Qur'an,na wakat mwingine hupenda kuwataja baadhi ya...
Kuanzia sasa abiria anayeshushwa sehemu isiyo na kituo rasmi atakamatwa na askari wa usalama barabarani na kuwajibishwa,adhabu haitakuwa kwa kondakta au dereva wa daladala(kifodi)
Wadau kuna jambo linaendelea katika bunge letu ambalo wao wanaliita bunge tukufu. Leo hii wakati wa maswali kwa waziri mkuu naibu spika kamkemea Mbunge wa Kasulu Mjini (NCCR-Mageuzi), Moses...
Kwa sasa kuna mgao wa mkubwa sana wa umeme Tanzania nzima lakini kinachonishangaza bili za umeme zinazidi kuongezeka kila mwezi, hii inakuwaje jamani??
KWA WANAOPITA NYUMA YA HILI JENGO KUKIMBIA FOLEN MTAONA KUNA CANTER
MOJA LIMEJAZA MASAMAKI YAMEBANDIKWA KWENYE COVER YAKE AFCAST SIKUSOMA VIZURI LEBO YAKE
ALAFU WAMEANDIKA MADE IN TANZANIA HUKU...
WAKAZI WA jiji la Dar es Salaam wameonyesha kukata tamaa kuhusiana na umeme wa uhakika na kufanya walilie nishati hiyo kutokana na uchumi na hali ya kifedha kuzidi kua ngumu siku hadi siku...
Mara kadhaa nimekuwa nikifika wizara ya Ardhi ili kupata huduma mbalimbali. Kero kubwa ipo sehemu ya mapokezi ambapo amewekwa mtu mmoja ambaye hukuuliza jina na sehemu unayokwenda. Hilo ni suala...
hawa tbc one siwaelewi kwa hili...
wameongeza kipindi kingine cha lugha ya kiswahili
sasa tofauti ya hivi vipindi viwili mimi siioni
halafu vipindi vyote haviko interactive....
yaani huwezi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.