Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Rais yuko kusini anaelekea nachingwea,msafara wake ni atleast gari 40 ivi. Mi natatizwa na suala hili. Kwani kuna ulazima wa kila mtu kuwa kwenye uo msafara! Kwa nini wengine msimsubiri kwenye...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Kila swali analoulizwa Naibu waziri wa Mambo ya ndani jibu lake ni Ufinyu wa Bajeti! Je, hii hali maana yake ni nini na hii hali itaendelea mpaka lini?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Paul Sarwatt Arusha 27 Jul 2011 Toleo na 196 Waathiri ujenzi wa ofisi yake ya ubunge Umepangwa kugharimu Sh. milioni 200 Wawili wasimamishwa kazi, wengine washushwa vyeo TUHUMA za ufisadi...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
http://cnn.com/video/?/video/world/2011/07/27/mabuse.cameroon.breast.ironing.cnn
0 Reactions
0 Replies
739 Views
HIVI NDIVYO MAGAZETI MENGI YAMEANDIKA KUHUSIANA NA MASEKE SEKE KIBAO YANAYO ENDELEA BUNGENI... BOFYA HAPA KUONA NA VICHWA HIVYO VYA HABARI
0 Reactions
9 Replies
9K Views
Sisi wakazi wa Mivumoni, Madale na Wazo hili tulikuwa tunafurahia uzuri wa barabara zetu kuu zitokazo Wazohill kuelekea Mivumoni na Madale mpaka Mbezi, hizi ni barabara za vumbi lakini zilikuwa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
kwa kuwa mbunge wa arusha bwana lema amedai ipo siku wataitisha maandamano ya kushinikiza maslahi ya polisi je polisi watayazuia?
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kwa haya yanayoendelea bungeni kwa jinsi Spika Makinda na manaibu wake wanavyoliendesha bunge imedhihirisha ya kua hawana sifa za kumiliki nafasi hizo.Wachambuzi wa mambo walihoji na...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Assalamu alaykum yaa ikhwatu l,kiram. Kwa waislam wote nawatakia mfungo mwema wa ramadhwani. Hakika Allah atowafikishe tuweze kuudiriki mwezi huu kwa uslama na amani na kutuzidishia wingi wa...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Jamani huku kwetu mbagala tangu juzi umeme upo tena kwa muda mrefu sana. Hata ukikatika muda mfupi tu unarudi. Sasa sijaelewa mgao umepungua au? Kama umepungua how? Mana juzi tu songas...
0 Reactions
0 Replies
896 Views
Polisi Kilimanjaro walioshambulia raia waachishwa kazi 29/07/2011 0 Comments Jeshi la Polisi limewafukuza kazi askari polisi wawili wa kituo cha Okaoni Kibosho Wilaya ya Moshi Vijijini...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nasema wazi Anne Makinda hana la kujivunia na pengine hata wanahistoria hawana la kuandika juu ya mwanasiasa huyo ambaye ni dhahiri sasa nyota yake inazidi kufifia kila sekunde. Yanayoendelea...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Cheki katika Nova Tzdream - Katika hali isyo ya kawaida mbunge mmoja wa CCM anadaiwa kupiga magoti mbele ya watoto ili kumwombea msamaha diwani mmoja ambaye wananchi wanamtuhumu kujihusisha na...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hivi ni kwanini CHADEMA wanapenda kufanya maandamano na kwanini CCM wanaogopa maandamano ya CHADEMA? kuna kitu kingine kimejificha nyuma yake?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ukianzia kwenye mizengwe ya kuteua spika mpaka namna bunge linavyoongozwa katika Tanzania unatambua kuwa kama ni timu zinacheza mpira wa miguu basi timu ya ccm ina golikipa wawili. Licha ya kuwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wafanyakazi walalamikia nyongeza kiduchu ya mshahara Send to a friend Thursday, 28 July 2011 21:34 Gedius Rwiza na Patricia Kimelemeta...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Leo wakati wa mjadala wa kuchangia bajeti ya wizara ya mambo ya ndani,kuna mbunge wa upinzani ameomba mwongozo kutoka kwa naibu spika,juu ya wabunge wa ccm,kuwaita wapinzani kuwa ni...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nijambo la kuhuzunisha kama siyo kusikitisha,kwa kiongozi aliye aminiwa na wananchi kuwawakilisha katika serikali na kuwatetea,anageuka kuwa mwiba kwa walio mpeleka. Mh. Mbunge mmoja wa moja ya...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Katika uchaguzi mkuu uliopita, nikiwa katika harakati za kumkampenia mgombea fulani wa urais ndipo nilikutana na kauli ifuatayo. "hata kama akichaguliwa huyo rais unayempenda, Tz haitaendelea...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
"Polisi walinda maghala ya samaki wenye mionzi Na Moshi Lusonzo 27th July 2011B-pepeChapaMaoni Askari polisi wakilinda malori yaliyopakia samaki wanaohofiwa kuwa na mionzi ya nyuklia, yakiwa...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Back
Top Bottom