Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Kumekuwa na mjadala juu ya nyongeza kiduchu wanazopewa wafanyakazi pamoja na ugumu wa maisha. Waziri Ghasia (Utumishi wa umma) amekaririwa na vyombo vya habari akisema maamuzi ya nyongeza...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Who is the owner of parliament is wananchi, CCM or CHADEMA maana kila nikifatilia bunge nackia hoo serikali ya CCM imefanya hivi imefanya vile even if wakiulizwa mambo ya msingi wanadefend chama...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mawazo yangu nilikuwa nafikiri maandamano ni mpaka yapangwe na kutangazwa siku ndio yafanyike, kumbe sivyo. Jana wanafunzi wa shule mbili za msingi wilayani Temeka waliandamana , wakitaka...
2 Reactions
11 Replies
1K Views
Ni mwanachama wa jamvi pendwa la JF. Kuna mada ambayo ungependa uiweke jukwaani ili wana fikra pevu waweze kuichambua na kuchangia. Lakini kwa bahati mbaya, watu wengi wanaipitia na hawachangii...
0 Reactions
1 Replies
873 Views
Kuna kazi nasikia bi faraja anamwasga wimbo wake niko hoi naona nae yeye kaifwata cd yake sasa unaenda show unamkuta jd unatarajia itakuwaje jamani hiyo show si bora uemde njenje pale...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Live S3 now.<br /> Nafasi ya Tanzania kombe la Dunia Mechi ya Kwanza Tanzania atakipiga na Chad,tukipenya.Baada ya hapo ndo kunashughuli nzito tutaingia kwenye Group...
0 Reactions
1 Replies
805 Views
Ndugai anayejiita msomi na mzoefu aka mr misifa amedhihirisha hilo leo ktk mdahalo wa star tv! Kwakweli inasikitisha sana kwa bunge lililokuwa na heshima afrika sasa limekuwa kama kitengo cha...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Inapotokea mwanamke katika familia ya wawili wapendanao anasauti kuliko mumewe,na wanandugu wakaligundua hasa upande wa mume huanza kulalama ya kuwa kalishwa kitu,mara karogwa au limbwata.&lt;br...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Katibu wa Bunge amesema kuwa tayar wameshambain mbunge aliyegushi sain ya pinda,na waziri mkuu ndiye atakayepewa jina lake,wamesema hawatamchukulia hatua zozote ila Pinda ndo...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Nipo kwenye tamasha la miaka 50 ya uhuru lililoandaliwa na TBL chini ya udhamini wa Kilimanjaro Premium Lager. Wapo Twanga Pepeta na wasanii mbalimbali wa music hapa Moshi wanatoa burudani. Pia...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
In three words I can sum up everything that I learned about life, "It goes on." When the going gets tough, make yourself realize that no matter what your problem is, someone is and always will be...
1 Reactions
8 Replies
902 Views
Inasikitisha kuona mtu katumikia serikalini zaidi ya miaka 40 na amestaafu na anakula pension,ajabu sasa anateuliwa kuwa mkuu wamkoa! Wakati kastaafu jeshini na cheo cha kanali au brigedia!je hiyo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
a Mbunge mmoja wa magamba amesema kunahaja ya wabunge kupimwa akili kubaini wenye matatizo katika shughuli zao za kilasiku bungeni na nje ya bunge.sasa swali la msingi hapa ni je hawa wabunge wa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kuna Mh Tindu lisu na naibu spika,mada ni bunge la kumi la Tz.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamani sjui niseme ni ubunifu au uharibifu!?<br /> Imeibuka mbinu mpya inayotumiwa na majangili kuwaua tembo, na hii mbinu inatumika sana katika pori la hifadhi ya selous...<br /> Yanachukuliwa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
The price is right: The 99p Stores chain has emerged as a recession winner How did one man conquer the bargain-basement market? Mat Snow reports on a shopping sensation Christmas came early...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Najiuliza sana haya maswali pasipo kupata majibu ya kueleweka, kifupi mpaka sasa sijapata jibu la mahusiano yaliyopo kati ya vijana na uhalifu, nin husababisha haya? Je nikweli vijana wengi...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ndg zangu wana JF, binafsi nakubaliana na wabunge wa CDM wanaosema kuwa maandamano ni lazima ili haki ipatikane. KUSEMA UWELI Kila mahali ambapo maandamano na migomo imefanyika, mabadiliko...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Mdahalo wa katiba mpya unaofanyika Blue Pearl ubungo plaza umeshaanza na vituo hvyo hapo juu vinarusha live.
1 Reactions
17 Replies
3K Views
are we getting any benefits?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom