Uzoefu wangu kutokana na kufanya kazi sehemu mbali mbali umenionyesha kuwa watu "incompetent" ni hodari wa majungu na kujikomba. Na wakitokea kushika madaraka wewe unaejiamini kutokana na uwezo...
Katika hali ya kushangaza, umeme haujakatika maeneo ya kwetu kuanzia jumatatu hadi leo. Siyo kawaida kwani tumekuwa na kawaida ya mgawo kila baada ya siku mbili. Wakati tunalijadili mitaani kwetu...
Kama vile dar haiishiwi na vituko wiki iliyopita kulitokea msiba wa kijana mmoja anayetajwa kuwa ni mdogo wa mkurugenzi wa CLUb KAKALA pale Kigamoni!
Kituko cha aina yake kilikuwa ni pale...
Kwa hali hii sielewi kodi yangu inakwenda wapi ndugu yangu majuzi alipata ajali tabora baada ya gari kupinduka la kazige kilochotokea baada ya kufika hospitali ya wilaya ya nzega kupata matibabu...
Kana kwamba nahisi uchafu unazidi kuiandama jjiji la dar habari zilizotufikia zinasema
kampuni ilioshinda zabuni ya tenda ya kukusanya mapato ya stend ya ubungo inalipa jiji sh milion2.5 najiuliza...
Chukua hata dk tatu tu kumshukuru mungu aliekuonyesha jumamosi ya leo tar 30 jul 11
jiulize umemhonga nini mungu usiwe icu umempa nini mungu usiwe mwaisela,kibasila
bali ni neema ya mungu uko hai...
Ukijua jambo jema unijuze ndugu yako...<br />
La kututia nguvu mwili sinifiche ndugu yako...<br />
Kama ni ilmu ya manufaa unifunze ndugu yako...<br />
Sinitenge kwa ulacho hata kidogo...
"Allah Akbar!" cheered Egyptian Muslims while trampling the remains of dozens of Christians eviscerated in recent suicide bombing. Yet we're assured that the phrase has nothing to do with Islam...
Hivi karibuni wa mheshimiwa mr ii amekaririwa akifananisha jeshi letu la polisi na lile la mkoloni hasa kwa makombati wanayovaa, na amesema walistahili kuvaa kwa mfano wa dactari, air hostess, nk;
Wazee nimejust witnes mwendesha pikipiki amepikwa risasi ya taya,sinza near meeda! Hadi now haijajulikana waliompiga ni mapolisi au watu gani coz wahusika wamerun away! Wazee hii tz ya jk vp...
Jamani wanajf wenzangu,mimi ni mmojawapo kati ya watanzania walio wengi ambao ninaamini kuwa hatuna ufahamu juu ya masuala ya hisa. Sasa jamani naombeni mnisaidie haya machache nisiyoyafahamu...
My Uncle Christopher is a good man, the kind of man you would struggle to find these days anywhere in the world. He has good heart. And I dont just think that he has good heart: I know for a...
baada ya wabunge wa3 wa cdm kutolewa nje baada ya kuongea bila kuruhusiwa nasubiri kwa hamu kuona kama hatua hii itachukuliwa endapo wabunge wa ccm watafanya kosa hilo.ni vyema swala hili la...
Samahani kama una ndugu huko tfda
najiuliza hivi hawa wa tfda wamezaliwa na binadamu ama nyoka jamani mbona hivyo??
Najiuliza mara mbili mbili kama mnakumbuka hawa wahuni walituingizia...
Wanajamvi wote waliosoma Bwiru Boys Technical School Mwanza wanaombwa kujiunga na group letu la facebook kwa kubofya hapa: https://www.facebook.com/groups/bwiruboys/?ap=1
Nia yetu ni...
Wandugu;
Kwa kipindi sasa Tangu baada ya uchaguzi mengi yameonekana kwa macho; kubwa na ambalo mie nalitafsiri ni kuwa sasa kuna vita kali kati ya ukweli na uongo. Tumeona ufinyanzi wa matokeo na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.