Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Katibu Mkuu wa chama cha wananchi CUF Maalim Seif Sharif Hamad amesema chama chake hakina uwezo wa kutekeleza Ilani yake ya uchaguzi wa Zanzibar 2010 kwa sababu hakina Rais huko na kuwa Rais...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Ukiiangalia kwa makini nchi yetu sasa inakabiliwa na majanga makuu yasiyokuwa na idadi. Mie nitaje matano tu. Janga la kwana; suala la udini ambalo limeruhusiwa rasmi katika taifa hili...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Wanajamvi: Kufikishwa mahakamani kwa Mbunge huyu wa upinzani kunaifanya idadi ya wabunge wa upinzani kufikishwa mahakamani na serikali ya CCM tangu uchaguzi mkuu mwaka jana (chama hichi...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wednesday, 17 February 2010 Uchunguzi wa awali wa vyanzo vyetu mbalimbali unadokeza kuwa hadi hivi sasa zaidi ya shilingi bilioni 25 za vocha ya manunuzi ya pembejeo za kilimo (hususan mbolea...
0 Reactions
107 Replies
11K Views
BREAKING NEWS.....SERIKALI LUDEWA YASABABISHA SHULE KUANGUKA SHULE mpya ya msingi katika kitongoji cha Mbugani kata ya Mavanga wilaya ya Ludewa mkoani Iringa iliyojengwa kwa nguvu...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wabunge wahoji ufisadi Wizara ya Afya Monday, 11 July 2011 20:30 WADAI SH5.5 BILIONI ZIMEIBWA VIPINDI VIWILI MFULULIZO Leon Bahati, Dodoma Mwananchi WABUNGE wamehoji ufisadi wa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
MAJIBU YA MAWAZIRI WA SERIKALI YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TNZANIA DHIDI YA KERO ZA WANANCHI Swali alilouliza mbunge ni kweli lipo na serikali ina taarifa nalo Suala hili ni nyeti na hasa kwa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Water birth comes to UAE By Arab News Natural birth enthusiasts are all abuzz about the opening of a new hospital in Al-Ain that will offer birth in a...
0 Reactions
0 Replies
945 Views
zainabu bakari mkazi wa mtwara amepigwa talaka a.k.a (ban) na mmewe baada ya kugundulika alihudhuria kiliniki ya macho na kupewa miwani. Mmewe kadai kitendo cha kupewa miwani ni mbinu chafu za...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
MFALME Otumfuo Osei Tutu wa Pili wa Ufalme wa Ashanti Mfalme wa Ashanti akiingia ikulu kwa staili ya aina yake, huku akikaribishwa na Rais Kikwete. *TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI* MFALME...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mabinti wa familia moja wabakwa, mmoja auawa Send to a friend Monday, 11 July 2011 08:58 0digg Dinna Maningo, Tarime WASICHANA wawili wa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Swedi Mwinyi aokoa studio za TBC Taifa kuungua kwa moto ADELADIUS MAKWENGATBC! 1338 EAT Kama ilivyo kawaida ya siku ya jumamosi ni siku ya mapumziko huku baadhi ya taasisi kama vile...
0 Reactions
33 Replies
11K Views
habari zenu wakuu, Nimekuwa mfuatiliaji wa hoja nyingi humu Jamii forums haswa kwenye siasa na nadiriki kusema kuna umuhimu wa kuwa na neno jipya la kumaanisha mrengo fulani wa muhusika katika...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wanajamvi kwa jinsi wenzetu wanavyojua kuwajibika kutokana na uzembe unaotokea chini ya mamlaka zilizo chini yao, waziri wa ulinzi wa cyprus costas papacostas amejiuzuru mara moja kutokana na...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Leo nimezunguka ATM zote za mjini Arusha na card yangu ya crdb lakini nimeshindwa kutoa fedha.machine ziko connected lakini ukikamilisha process ya withdraw unaambiwa "huwezi kuwasiliana na bank...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mtandao wa kijinsia tanzania (TGNP)unaandaa semina ya demokrasia na maendeleo,ardhi,nguvukazi,na maisha endelevu litakalofanyika tarehe13 hadi 16 septemba mwaka huu jijini Dar es salaam tamasha...
0 Reactions
1 Replies
957 Views
Habari za leo Wakuu! Ninaomba kupatiwa SWIFT Code ya NMB (National Microfinance Bank). Nimekwenda kwenye website yao sikuziona. Natanguliza shukrani.
0 Reactions
7 Replies
9K Views
Naomba msinitoe roho....kuniuliza T-shirt ziko wapi.....T-shirt zipo kiwandani ndio zinatengenezwa na pale zitakapo kuwa tayari mtafahamishwa. Sasa mlikuwa mnahitajika mtoe maoni yenu...
4 Reactions
38 Replies
3K Views
Wakubwa wenzangu haya ni mawazo yangu na nawaomba myampokee, hii Dowans imezidi na mafisadi by any means wanaitaka hii hela washatongoza kila sehemu hadi kina kagoda washalainika na sasa hivi...
0 Reactions
47 Replies
4K Views
Zenji kumekucha siku hizi hakuna ushungi ni vitop na jeans za kubana.Wazenji bado wanasema kuwa wabara ndio wanaoiaribu kwa kutokuwa na maadili wakati mwingine wanasema kuwa hata wale kaka poa sio...
0 Reactions
28 Replies
5K Views
Back
Top Bottom