Wazungu huwa wanichekesha sana mie!.
Utaona mtu tajiri sana kavaa nguo hata sh.200 haifiki.Akina mama ndio kabisa nguo ya kulalia ndio anatembea nayo sokoni.Hata wakiwa wake wa maraisi wanavaa...
Mwishoni mwa semester iliyopita ulitokea mgomo UDSM, kilio kikiwa ni "Kupungukiwa" hela za kujikimu.
Wanachuo Wali poozwa kwa kuahidiwa kuongezewa kiwango cha hela kwani gharama za Maisha ni...
mi nina shangaa siku hizi. utakuta ka-binti kadogo na bado kanasoma shule ya msingi lakini matiti yamelala. nikiangalia zamani, ulikuwa unakuta msichana kesha maliza darasa la saba miaka mitano...
Bimbo akiwa na mapacha wake sita nchini Uingereza.
....Kabla hajajifungua.
MWANAMKE mmoja raia wa Nigeria, alipotambua ana ujauzito, aliamua kwenda Uingereza akitegemea watoto wange wangepata...
Gazeti linalomilikiwa na CDM kwa mara nyingine tena toleo la leo jumapili lina taarifa yenye mwelekeo dhahiri wa kuwabeba mapacha watatu.Ni aibu kwa chama kinachojipambanua kupinga ufisadi...
nashauri watanzania tuifanyie kitu hii serikali ili serikali ijayo iwe inajua kabisa sisi wenye nchi tuna nguvu,
hawa jamaa ndio waliocheza deal la radar mpaka waingereza wakaingilia kati,hawa...
Muda sasa umepita mrefu kidogo bila kusikia habari za babu! Hivi, anaendelea kugawa vikombe? Na kwa nini hasikiki kwenye vyombo vya habari siku hizi kama zamani?
Suala La Uraia Pacha Tanzania
Suala la uraia pacha limejitokeza tena kuwa hoja nzito katika mkutano wa tatu wa uratibu wa wadau Watanzania wanaoishi ughaibuni (diaspora), huku baadhi wakiitaka...
Namshukuru MUNGU kwa kuendelea kila siku iitwapo leo.
Namshukuru kwa kunipa mahtaji yangu ya roho na mwili,
pia namshukuru kwa kunipa marafiki weng ndani na nje ya jf.
Kwa kuweza kushare mambo...
Wadau maisha ya mtanzania siku hadi siku yanazidi kuwa magumu,kwa upande wa Dar miongoni mwa mambo ambayo yanaendelea kututesa na kutupotezea muda mwingi barabarani ni foleni za magari, katika...
Habari!
Na mimi najitahidi kutangaza vivutio vya utalii Tanzania!
Jamaa yangu anataku kutembelea TZ mwezi ujao n akusafiri mikoa ya kusini hadi Mozambique. Kutokea kule (Mozambique) nadhani...
Wadau naomba nililete hili kwenu ili tushauriane, mimi kiukweli linanikwaza mnooo jinsi wizi huu wa kimachomacho tunaofanyiwa watanzania bila wenyewe kujijua wala kufikiri......
Mwananchi akitaka...
Kila ninayekutana naye na nikamwambia nichosomea, ananiuliza "umeamua kuwa mwizi"? Hii ni kutokana na fani yangu kuhusika na "manunuzi na ugavi",, hivi ni kweli katika fani hii wizi haukwepeki...
Katika miaka ya hivi karibuni mashindano ya umiss yamekuwa maarufu sana kuliko zamani. Makampuni mbalimbali wamekuwa wakidhamini mashindano haya kwa fedha nyingi sana. Waheshimiwa wengi wamekuwa...
Wajamen! leo nime check with much more concentration mpira btwn france & england.hallo, ilikuwa vigumu sana kutambua kuwa wachezaji walikuwa nikina dada! je hawa wakicheza friendly na taifa...
Jamani wachina wanakula nyama ya mtoto, ... bahati mbaya mimba ikiharibika hawaziki wao wampika na kumla... nimeshindwa kuweka hapa hizi picha kutokana na kwamba Jf kuna watu wa imani na maadili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.