Ndugu zangu, kidumu chama chetu! Nawapa pole kwa kazi ngumu, tunayoifanya bila kusinzia, kupeleka ujumbe kwa kueleza mazuri na mema ya Serikali yetu. Kazi hii haijawa na haitakuwa rahisi hata...
Inauma sana Tanganyika yenye takriba watu mil 40 kumezwa na Znz yenye watu mil 5! Huku tukiwa tunaugulia hilo, chama cha mapindu kimegeuka kuwa genge la wezi wa laslimali za tanyanyika! Na sema...
Jana mida ya jioni nilipanda dala dala kutoka maeneo ya Mwenge nikielekea Mbagala. Kama tunavyojua, kuna umbali mrefu kati ya maeneo haya!
Nimezoea kuona Shutuma nyingi sana dhidi ya serikali...
Na; Joseph Mihangwa; Gazeti la RAI MWEMA; 29 Jun 2011
Toleo na 192
Waziri wa Mipango wa Mwaka 1994 hayati Horace Kolimba alitembelea nchini Malaysia, Julai 1994, alikozungumza na wawekezaji...
Mara kadhaa nimekuwa nikitaka kutumia huduma aidha ya m-pesa au tigo-pesa nashindwa kufanikiwa au inachukua muda sana, ukiwauliza wahusika wanasema 'mtandao upo down'..... hivi sababu ya mitandao...
IPTL under fresh investigations by PCCB
Tuesday, 05 July 2011 23:11
By Mkinga Mkinga
The Citizen Reporter
Dar es Salaam.
The Prevention and Combating of Corruption Bureau (PCCB) has...
Katika kijiji cha Izegelo, tarafa ya Mzenga, wilaya ya Kisarawe, waziri Hawa Ghasia kajinyakulia eka mia sita kwa bei isiyozidi shilingi laki tatu, alichukua advantage ya umasikini wa wananchi wa...
Hakuna asiye jua CDM ilivyo kipenzi cha wana mwanza. Tunataka kauli sasa dr slaa, zitto hupokewa mwanza kama mfalme,
where is comrade mbowe, mtete wa wanyonge where is lissu na wote, tunataka...
An opportunity for funding for postdoctoral research through a collaboration between Tanzania's COSTECH, Sweden's Sida and Netherland's NWO/WOTRO
Call for proposals: TASENE
The TASENE...
Katika Hotels nyingi kubwa kubwa sehemu mbali mbali Duniani, utakuta kwenye bafu, kuna mataulo matatu. Moja kwenye sink(spelling!) la kuogea, pili kwenye sink la kunawia/kupigia mswaki na tatu...
Indian Textile Minister
Dayanidhi Maran has
resigned following
allegations of
involvement in the
country's biggest
corruption scandal, media reports say.
Mr Maran, who belongs to a key ally...
Wakuu, kuna mtoa mada aliyeandika kuwa Mufti Simba aliyasema maneno haya:
"Naye Mufti Mkuu, Alhaji Issa Shaabani Simba, aliwataka watoto wa marehemu kuendelea kuwa na umoja kama awali baba yao...
hivi raisi wa nchi anapochorwa kwenye zulia la kukanyagia mns akili yake iko kama zulia lakukanyagia
je huyu mhe kumtuma mkewe apokee zulia lenye sura yake anastahili??
Kwenu wadau naomba maoni...
Young Bilionea wa zama zetu riz1 ni mwanasheria kwenye kampuni ya watoto wa vigogo IMMA Advocates,kuna tetesi kuwa tangu ameanza kazi ya uwakili hakuna hata kesi moja aliyo wahi kuisimamia na...
Tumekuwa na utaratibu wa wana JF tunaoishi Arusha kukutana kila mwezi na kesho tarehe 2, July 2011, kutakuwa na kikao cha wana JF waishio Arusha kuanzia saa 11:00 jioni pale Soweto Club, maeneo...
Unatuma msg kwenda 15444 kutaka kujua salio la internet hakuna jibu unapata, ukipiga simu customer care unaambiwa kwa sasa hii huduma haipatikani piga no 0784 104 800, napo hapo unaambiwa huduma...
SERIKALI imetoa Sh. milioni moja kwa mwanafunzi aliyepigwa risasi na polisi wakati wa vurugu za wanafunzi za kufunga barabara eneo la Mbezi kwa Yusuf Dar es Salaam wakishinikiza kuwekwa matuta na...
"Halmashauri nyingi nchini kupitia kwa wakurugenzi wake zimekuwa na matumizi mabaya ya fedha za serikali kwa kipindi kirefu, sasa utaratibu unaandaliwa wa kuwabana viongozi hawa," alisema Pinda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.