Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Kama kweli tunataka kuendeleza kilimo haya mambo tunatakiwa tuyaangalie kwa uangalifu. Haiwezekani mkulima alime kwa juhudi zake zote, leoa anataka kuuza matunda ya kilimo chake ili ajipatie...
2 Reactions
8 Replies
3K Views
Gazeti pendwa na maarufu la uchambuzi wa siasa na wa kijamii la Raia Mwema la leo 06/07/2011,toleo na.193,limejaa matangazo tu.Kati ya kurasa 36, 21 ni matangazo ya hotuba za kule Dodoma.Mimi...
0 Reactions
27 Replies
8K Views
WABUNGE wa Bunge la Tanzania wametaka tuhuma za kuwapo udini nchini ikiwa ni pamoja na ndani ya vyama vya siasa zishughulikiwe kwa kuchukuliwa hatua kuzikomesha. Wakichangia Makadirio ya...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
The Wave, Coyote Buttes, AZ Set in the remote Paria Canyon-Vermilion Cliffs Wilderness in northern Arizona, this dazzling rock formation, which looks like a cresting wave frozen in time, isn’t...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
USHAHIDI ni ithibati ya kuona kitu au tendo ama kusikia maneno na kuhakikisha kwa kueleza mambo yaliyokuwa yakitendeka; uthibitisho, ushuhuda. Suala la wabunge kutakiwa kutoa ushahidi wa madai yao...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Tumekaaa kwa muda usiopungua masaa mawili tukiwa tumefungiwa barabara ya kutokea Tumaini Hospitali, hatukuambiwa chochote kinachoendelea, lastly tukaamua kumfuata askari maarufu kwa KKSECURITY...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Suitcase Escape Bid Foiled At Mexican Prison A Mexican woman has been arrested for trying to sneak her husband out of prison in a suitcase following a conjugal visit. Maria del Mar Arjona...
2 Reactions
6 Replies
1K Views
Tanzania imeombwa kuisaidia Gabon kubuni, kuanzisha na kusimamia mitaala inayofaa kuanzisha ufundishaji wa lugha ya Kiswahili katika shule za nchi hiyo kutokana na uamuzi wa Serikali ya Gabon...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
TIMU ya wabunge walioenda nchini Uingereza kufuatilia malipo ya rada kwa Serikali ya Tanzania imekabidhi ripoti yake kwa Spika wa Bunge inayopendekeza mambo mawili, ikiwamo kushtakiwa kwa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari wandugu, kuna kitu kinasikitisha hivi Dar es salaam tena wilaya ya kinondoni hadi leo hakuna umeme ukiuliza utaambiwa wanaleta. Kuna ndugu yangu anaishi bunju kwenye maeneo ya bunju...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Wakati mkijilisha pepo na matanuzi wenzenu wanatanuliwa na dhiki.je mnawawakilisha wao au matumbo yenu?.Kwani tulipowachagua tuliwaambia mwende kusimama?Mbona wafanyakazi wengine tena wa...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
About 200 people drowned in the Red Sea when a boat carrying migrants to Saudi Arabia sank off the Sudanese coast, Sudanese media say.Only three people had been rescued, according to the Sudanese...
0 Reactions
0 Replies
918 Views
Pengine unaweza jiuliza vigezo gani iweje unatuletea matokeo haya anyway si mbaya kukupa ukwelileo simba anafungwa aijalishi mangapi hayo uliyoyaona ni minimum tu kwa bahati mbaya baada ya mechi...
0 Reactions
24 Replies
4K Views
Huyu MWANAMIPASHO CCM wamemtoa wapi huyu? anasifia mambo ya barabara za lami,Shule,Mabwawa na soon watawekewa barabara ya lami Nzega-Tabora ndo anaona leo wakati ni BASIC NEEDS... Magamba wana KAZI...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Washington: After Navy SEALs killed Osama bin Laden, the White House released a photo of President Barack Obama and his Cabinet inside the Situation Room, watching the daring raid unfold. Hidden...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
http://www.cnn.com/video/#/video/business/2011/07/05/intv.china.facebook.chang.cnn?hpt=hp_t2
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Leo Magazeti mbali mbali yameripoti kuhusu kiloo cha Mkurugenzi mkuu wa TANAPA kushamiri kwa vitendo vya Ujangili vinavyoshamiri katika Hifadhi zetu za Taifa,sasa ni wakati mwafaka wa Kutongoja...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wataka uchunguzi Barabara ya Kilwa uharakishweBy Dullonet Tanzania – July 5, 2011Posted in: Mikoa Mbalimbali Na Godfrey Ismaely WANANCHI wa Mkoa wa Dar es Salaam wameitaka...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jana usiku kwenye Taarifa ya TBC walimhoji Hawa Ghasia kuhusu bajeti yake hasa hasa suala la salary; katika mahojiano yale mafupi nilipata mambo kadhaa ambayo yalinitia kichefuchefu kumuona mtu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Polisi mkoani hapa wanamsaka na udi na uvumba mwandishi wa channel 10 Juma Kapipi baada ya mwandishi huyu kurusha matukio ya kuuwawa kwa wanachi na jeshi la polisi wilayani Urambo hivi...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Back
Top Bottom