Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Wadau nini maana ya kuondoa shilingi kwenye bajeti? na je, mbunge akifanikiwa kuondoa hiyo shilingi ina kuwa ina affect vipi upitishaji mzima wa bajeti ya wizara husika?
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kumnenepesha mbuzi alingane na ng'ombe! Kusahau kwamba walipakodi wakuwa Tanzania ni wachuuzi wadogowadogo ambao hawategemei umeme, laiti kama wafanyibiashara wakubwa na viwanda vingelikuwa...
3 Reactions
8 Replies
2K Views
Daah, kweli nimeamini umeme ndo kila kitu, kwa sababu kwa sasa gharama za maisha zimeongezeka sana hasa kutokana na huu mgao wa umeme. Leo mida ya saa nane mchana nikiwa maeneo ya kinondoni...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Jamani kwa anayetaka kuvunja mbavu! Ile movie ya vichekesho ya Shauri soccer ipo hewani!
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Baada ya kutumia Ma-box ya Kampuni/Familia/na c/o hatimaye nikajisogeza ambapo ni njia nipitiayo siku zote...Kijitonyama Postal Office nikiwa na vitu vyote muhimu ili kujiandikisha T.Bariiiidi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Respect kwa wote! Wanaharakati wangu wa udsm vp bodi wametoa jibu gani kuhusu boom kabla ya UE? Naombeni mnijuze wadau maana sikupata info baada ya levo square ya leo.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ndugu wana jf. Ni wiki chache zimepita toka waziri wa fedha atangaze bajeti ya nchi iliyo kuwa na mambo kadhaa moja wapo ni la kuongeza kodi katika mafuta ya taa na kupunguza kodi kwa petroli na...
0 Reactions
4 Replies
975 Views
Source: Yahoo friends Mimi sijui kama hapa ndio mahali pake, lakini nadhani bora ujumbe. Nimeweka na anuani ya source halisi kwa sababu yeye mwenyewe kaweka na labda ukitaka wasiliana naye, kwa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Aishi Bila Kuoga Kwa Miaka 37! AMA kweli duniani kuna mambo. Mwanamume wa India, Kailash Singh mwenye umri wa miaka 65, huenda akashika chati ya watu wanaotoa harufu mbaya za mwili na nywele...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Hivi mbwa wa Polisi hawaruhusiwi kunusa mizigo ya waheshimiwa wanapoingia/wanaporudi nchini kutoka ziarani nchi za nje, maana kuna mjumbe wa Baraza la Wawakilishi kasema viongozi ndio wanaingiza...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Max melo live bbc
0 Reactions
2 Replies
3K Views
  • Closed
Mkuu Maxence yuko live BBC now.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Heri uwe Mhalifu kuliko kuwa raia mwema. Hii imethibitika jana bungeni wakati wa mawasilisho ya bajeti mbadala ya Ofisi ya Rais, Menejiment na Utumishi wa Uma iliyowasilishwa na Bi Suzan Lyimo...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda, amempa ‘rungu’, Mdhibiti na Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu Hesabu za Serikali (CAG) la kuwafikisha moja kwa moja kwenye vyombo vya Dola, viongozi wa Serikali wanaoiba au...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Mbunge wa Mbeya Mr. II amepiga marufuku matamasha yote ya FIESTA mkoani mbeya kwa madai kuwa yanaua vipaji vya wasanii. Source status yake ya FB.
1 Reactions
57 Replies
6K Views
natumaini hamjambo wanajamvi wenzangu.....najua mna habari kwa nini kinaendelea kwa wenzetu Kenya kuhusu balaa la njaa linalowakumba... Juzi nimeshuhudia malori( semi trailers) kama 50 zikiwa na...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Kuna usemi unaosema kwamba ukianguka usiangalie ulipoangukia, bali angalia ulipo jikwaa. Kwa hiyo hata kwenye tatizo la umeme tunatakiwa tuangalia kilicho sababisha. Sasa wengi wanasema umeme ni...
1 Reactions
17 Replies
2K Views
Ni mjadala wa posho, umetawala kurasa, Taka kutoana “roho”, kwa hoja zinazotesa, Tena sio za kitoto, hoja wameitakasa, Nini uhalali wake, jifungu hilo la posho? Embu fanya tafakuri...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wale wenzangu wanaoshinda ofisini wakidai matumbo yanawauma awaendi lunch hivi sasa ni sasa saba na dk 17 naona muda unaendwa kweli nanyi mliokimbilia breakpoint jamani muda unakwenda kumbuken...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom