Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Pamoja na Serikali kutangaza vita na madereva wazembe lakini ninahakika kuwa hiyo vita hawawezi kushinda maana vyombo vinavyosimamia usalama barabarani vinaudhaifu mkubwa katika suala zima la...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Sio kama namchukia napenda niwaambien ukweli fanya ujinga wote usimdhihaki roho mtakatifu,na MUNGU huyu bwana allienda kwa museveni kufungua misikiti aliotoa kwa hela yake ..alipopewa mike alidai...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Enzi za Mwalimu. J.K. Nyerere. Kipindi cha baba wa taifa akiwa Rais, kila baada ya kikao cha baraza, alikuwa na tabia ya kumwambia waziri mmojawapo abaki. Waziri huyo aloambiwa alikuwa anakuwa na...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Did you just drop your cellphone in water? Or maybe you'd like to know what to do if that happens! This week on Upgrade Your Life, Yahoo! News' Becky Worley shows us first aid techniques for...
0 Reactions
1 Replies
894 Views
leo hii pamoja na wengi tulimbehua yule bwana ,kwa wakati ule alikuwa ndiye Mkurugenzi mkuu wa shirika la umeme Tanesco , alipotoa tahadhari , kwamba ni heri serikali...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mkuu wa Wilaya Ayacharukia Madhehebu Imeandikwa na Joachim Nyambo, Ileje. MKUU wa Wilaya ya Ileje mkoani Mbeya, Ester Wakali ametishia kuyafungia madhehebu yanayoshawishi waumini wake...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari za leo wadau, kuna hili swala la kulipa sh 200/ au kuonyesha tiketi wakati wa kutoka ndani ya stand. Wanapokuuliza tiketi wao wanadhani uliingilia wapi? Ni lazima uwe umekuja na bus toka...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Na Igamba Libonge, Kilombero MKAZI wa kijiji cha Muhola, kata ya Ifakara, Idd Juma (34), aliyekuwa akitoa tiba ya asili kwa kutumia kikombe amerukwa akili. Juma aliyekuwa akitoa tiba ya magonjwa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Anayetoa kikombe arukwa na akili na Joseph Malembeka, Morogoro MGANGA aliyeibuka hivi karibuni akitibu magonjwa sugu kwa kutoa kikombe cha dawa katika kijiji cha Muhola...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Dar es Salaam. Police yesterday released the names of two suspected Kenyan drug dealers who were arrested alongside two Tanzanian female counterpart with 5kilogrammes of drugs believed to be...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kwanza huyo mtuhumiwa na wenzie hawakukamatwa na cocain kama anvyo sema , wao walikamatwa na heroin. Pili thamani ya heroin waliyokamatwa nayo ni billioni 2.8 ambayo ni sawa na kilo 18 (Kilomoja...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
How did Tanzania overcome this disease? Ninasoma hapo wikipedia ati more than 120 ethnic groups and still no tribalism. Is it the Nyerere effect? Just a hypothesis.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Jamani leo kidogo yanikute,Nimekwenda kutoa pesa kwenye ATM,ya bank ya NMB maeneo ya chuo cha uhasibu[TIA] karibu na kambi ya jwtz,nilitaka kutoa 250,000,nikafanya kama inavyotakiwa,nikasubili...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Licha ya kuisifia chadema ameonekana kuipenda kivitendo.naona anaieneza bila yeye kujua.nimemwona taarifa ya saa mbili kavaa kombati ya chadema
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Kwa kweli na kama kweli CHADEMA mmeamua kufanya kazi naomba huyu mbunge wetu wa Ukerewe aangaliwe au afundwe maana ndani ya muda mfupi amekuwa hajiheshimu kwa kulewa ovyo na kugombea wanawake baa...
2 Reactions
11 Replies
2K Views
Ninaamini kabisa wataalamu tunao wa kutosha katika baadhi ya website za taasisi kubwa hapa TZ ni lazima uwe zaidi ya mwehu ili uweze kukubaliana na unachokitazama mfano ni huu.... 1.link Huyu naye...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nimepokea kwa masikitiko sana taarifa ya bodi ya mikopo baada ya kutuma barua kwa mwajiri wangu juu ya marejesho ya pesa niliyokopwa wakati nasoma ni jambo zuri kulipa lakini ugumu wa suala hili...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Kweli pombe si maji na unapoiendekeza basi inaweza kukuaibisha kama sio kukutoa roho kabisa, mwanaume huyu wa nchini Uingereza alikuwa miongoni mwa waalikwa katika sherehe ya kugawa tuzo kwenye...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wajumbe wa Halmashauri kuu ya kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) dayosisi ya Iringa jana wamekutana kwa ajili ya kuchunguza tuhuma mbali mbali zilizoelekezwa kwa kanisa hilo hasa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Members Napenda kutoa hoja kwamba kunahitajika kurekebisha jeshi la police liende na wakati. Ukitazama jinsi ambavyo jeshi la poice linavyofanya kazi hasa katika mambo yanayohusu haki ya...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom