Na Said Njuki, Arusha
MGOGORO ndani ya CCM Mkoa wa Arusha umeshika kasi mpya baada ya Kamati ya Usalama na Maadili na Kamati ya Siasa za chama hicho mkoa kudaiwa kumvua uanachama Mwenyekiti wa...
Niko hapa Mwanza , tangu asubuhi nasubiria nakala za gazeti la Raia Mwema lifike toka Dar. Jibu la wauza magazeti likawa gazeti hilo halijatoka leo.
Nikapiga simu Dar kwa mdau wangu mmoja...
WanaJF
Kuna mjadala unaondelea kuhusu proposed road ya serengeti mimi inanikanganya kidogo, maana naona sasa wanamazingira na wanawananyama kama kina Goodall wameingilia kati kumtaka raisi abadili...
Mwaka 1970, Tanzania (Chini ya Nyerere) tuliwahi kupigana vita fupi sana na Malawi (Chini ya Banda) kutokana na mgogoro wa mpaka, halafu mwaka 1979 tena chini ya Nyerere huyo huyo tukapigana vita...
Look in the eyes of the Homeless,
Tell me what u see in the eyes of a jobless man, tell me what u see
What about the eyes of a Prisoner
Now u have seen it all.
It is time to make up your mind...
Huu ndio ujumbe unaopata ukishamuweka yeyote yule kwenye ignore list yako kila unapokutana na ujumbe wake.
This message is hidden because FaizaFoxy is on your ignore list.
Unajua tangu nlipokua mdogo nlikua nikisikia kuhusu madeni ya taifa eti budget haitoshi kwa kutegemea mapato ya ndani, mpaka leo hii bado, yaani bado hatuwezi kujitegemea. Hv sisi tuna nini...
Nimekuwa nikijiuliza sababu ya kukaa kimya Viongozi wa dini serikali inapofanya uonevu kwa raia na kutotenda haki. Mmekuwa mkishindwa kukemea maovu mengi ya serikali. Sasa serikali imewageuka...
Habari yenu wana jamii forums , Mie ni miongoni mwa watu ambao ni wenyeji wa mkoa wa Mwanza na ni mda mrefu kwa kweli sijaenda nyumbani. hivyo nime amua kutengeneza special group kwenye facebook...
Mwandishi wa Gazeti la kila wiki la Mwanahalisi Ndugu Joster Mwangulumbi ametishiwa kuuawa na mmiliki wa simu namba 0652916931 Siku ya jumamosi, june 4, 2011. Mara ya kwanza aligiwa simu kumueleza...
Wanajamvi,
Kwa muda mrefu sasa nimekuwa nikipatwa na hali ya mshangao kwa raia wenzetu wa Tanzania hususan wale aidha wapo serikalini, ama wameshastaafu au ni watumishi wa umma (wabunge, madiwani...
WALIMU wastaafu waliofanya kazi kwa mikataba katika shule za sekondari kwenye Manispaa ya Singida wanaidai serikali sh. 45,759,336.80 zikiwa ni mishahara
yao pamoja na makato holela waliyokuwa...
Umaskini wa kupindukia wa kipato (ufukara) unaowasumbua wananchi wengi vijijini na mijini hapa nchini,wanawake na wanaume, huenda usipatiwe ufumbuzi wa kudumu kwa kutumia ushindani wa sera za...
1.NAMNA YA KUKUZA NA KUENDELEZA BIASHARA Send to a friend Wednesday, 11 May 2011 21:04 0diggsdigg
Na Staphord Kwanama
BIASHARA yoyote si majaribio, hakikisha umeibuni vizuri ili iwe endelevu na...
" Amwambiaye mtu mwovu, wewe una haki;
Kabila za watu watamlaani, taifa watamchukia;
Bali kwao wakemeao furaha itakuwako;
Na baraka ya kufanikiwa itawajilia" Mithali 24: 24-25
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.