Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Najaribu kutazama mienendo ya Mhe Zito Zuberi Kabwe na kukuta ndoto nyingi za kusadikika alizokuwa nazo. Ukweli ni kwamba ni dhamira ya wazi ya ndg Zito kabwe kutaka kujenga historia katika nchi...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Kwa sasa nina miaka 50+ na nimekuwa na mawazo sana hadi kumlilia Nyerere. Nimejaribu kumuangalia nyerere na nimelazimika kulia kabisa. Hakika watanzania tumepoteza lulu. Wale watanzania wa kizazi...
3 Reactions
25 Replies
3K Views
TANZANIA imebarikiwa kuwa na UTAJIRI WA WASOMI WENGI ambao huzalishwa kila kukicha, WASOMI HAWA WA KARNE YA SAYANSI NA TEKNOLOJIA wamegeuza SIASA KM MTAJI na kusahau jukumu lao la msingi ktk TAIFA...
0 Reactions
22 Replies
2K Views
Wana JF ktk magazeti ya leo nimesikia kuwa Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Saidi Mwema anategemea kupokea TUZO inayohusu AMANI hapa Tanzania, Swali langu hapo ni kwamba ni lipi haswa alilofanya...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
"Ni heri Dr.Slaa ashinde urais kuliko Tundu Lissu kuwa mbunge." Maneno ya Rais Kikwete mwezi Septemba mwaka 2010. Source: Tundu Lissu | Facebook Comments Zilikua Kama Hivi: Fasso Tumaini...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wana JF naomba tuangalie kwa undani changamoto za kiutendaji za jeshi la polisi zinatokana na nini hasa. Tumeshuhudia incidents nyingi zinazolihusu jeshi la polisi kutumia nguvu kupambana na...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kwa dalili za harakaharaka, kuna kila ishara ya kwamba huenda uchaguzi ukaitishwa kabla ya wakati...! Swali langu ni kwamba, je kwanini NEC wasifungue vituo kwa ajili ya watu kujiandikisha ili...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Nimesoma habari moja kwenye Gazeti la Tanzania Daima na kukuta kitu kilichonishagaza kuwa waandishi wa wasichukue Habari mpaka wapate Kibali kutoka Polisi. Nukuu kutoka Tz Daima: FFU, wanafunzi...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
HIVI MOROGORO TUMEKOSA NINI JAMANI SISI MBONA HIVI? MZERU NAOMBA MAJIBU TAFADHALI Na:Habibu Mchange Nikiutazama mkoa wangu jinsi ulivyobarikiwa namwenyezi Mungu...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
waziri omary nundu aliyejichukulia umaarufu kwa wageni kutoka nje kwa kauli zake za kutaka kampuni ya atcl ife sasa imeingia sehem nzuri. Juzi waziri aliambiwa na kamati ya bunge akarekebishe...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Tembelea mtandao huu YouTube - ‪Obama Gets Osama!! - Special Report by Adrian Salbuchi, 2nd May 2011‬‏ ============================== YOU CAN FOOL SOME PPLE SOME TIME...
0 Reactions
9 Replies
5K Views
Wanajamvi oneni habari zinazoripotiwa na magazeti yetu kwa nia ya kuwapa habari watanzania "Polisi Dar es Salaam wamemkamata na kumfikisha mahakamani, mwenyekiti wa mtaa wa Yangeyange kata ya...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
* It was the shame we never had a gold reserves deposits By In2EastAfrica - Tue May 31, 11:25 pm Parliament’s Public Organisations Accounts Committee chairman Zitto Kabwe speaks during a...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Zitto, Serikali na hasara ya BOT HIVI wenzetu BOT watalipwa bakshishi na maslahi yao kama kawaida pamoja na kulitia taifa hasara kutokana na kuachana na utaratibu unaoaminika kimataifa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wana "JF",leo tunazindua Rasmi sherehe za kueleke Miaka 50 ya uhuru wetu.Ukiwa kama Mtanzania,umefaidika nini katika Uongozi wa Raisi wetu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Mh JK Kikwete.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
UPEPO wa kuswekwa rumande jana nusura uwakumbe Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema na Katibu Mkuu wa Chadema, Dk. Willibrod Slaa na Aquelini Chuwa mkoani Arusha baada ya polisi kutaka kuwakamata...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Wazee wa JF! Hivi Maajuzi vijana wa Tosamaganga Secondary Pande za Iringa Wamefanya maandamano ya Amani wakidai wanataka Haki zao.Chakushangaza walisindikizwa vizuri na Police mpaka umbali fulani...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Polisi wameendelea kuingilia kazi za wanahabari pindi wanapo ripoti habari zinazo wagusa wao moja kwa moja na kuamua kuziba mdogo. Mwandishi Francis Godwin wa Iringa anashikiliwa na polisi Iringa...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Wana JF naomba mnifahamishe kuhusu TBC hasa hasa TBC1 kwani nashindwa kufahamu kuwa hii televisheni ni ya taifa au ni ya CCM? Habari zinazohusu CCM zinapewa kipaumbele na zinachukua muda mrefu...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Back
Top Bottom