Aibu hii ambayo ni kielelezo kisichofichika Ikulu ya Dar es Salaam langu kuu la kutokea baharini bada ya kuvuka barabara (ocean road) unakumbana na mmommonyoko huu. Hata kutunza mazingiara...
Kumekuwa na wimbi la Vituo vingi sana vya Afya vinavomilikiwa na wa Asia kufungwa, Muda huu kituo kingine ni cha kigoma na Kimeshafungwa!,
Mi najiuliza Kweli mpaka Mtu anaanzisha kituo cha afya...
For sale: Nice house, large kitchen, several thousand snakes included.
Watch the video on snakes in the house.
They say there are snake pits on Wall Street.Chase has learned there are snake...
Miezi mitatu iliyopita Tanzania ilishuhudia siasa za aina yake kutoka kwa Maaskofu hasa wa Kanisa Katoliki na Mapdre wake kutoa matamko kila siku. Ilikua ni vigumu siku ipite bila Kusikia Padre...
ni kawaida kwa watu kupigiana cmu then wakaanza maongezi kwa salamu nk kamailivyo jadi yetu.
cha kushangaza ni kwamba kama mmojawapo anadaiwa mathalani hela, utashangaa kusikia
akisema; umesema...
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Anne Makinda
SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Anne Makinda ametakiwa kubomoa uzio aliouweka kuziba barabara inayounganisha...
*Kamati ya Ulinzi na Usalama yasaka watuhumiwa
Na Theonestina Juma, Bukoba
WATANZANIA sita ambao ni wakulima wa Kijiji cha Murbanga Kata ya Mursagamba wilayani Ngara mkoani Kagera wamevamiwa...
Wakuu JK amewahi kutamka hadharani kwamba ana Ng'ombe 400 na shamba la mananasi ekari kama sikosei 20 (I stand to be corrected on this no.).
1. Well kwa biashara ya maziwa na hata ng'ombe wa...
Edward Moringe Sokoine ansifika kuwa alikuwa mmoja wa viongozi wapenda haki na uwajibikaji. Lakini alikuwa pia na silka ya utawala wa ki-imla, nakumbuka jinsi alivyolishughulikia suala la wahujumu...
Potential 2012 Republican candidates
President Barack Obama has officially launched his campaign for re-election in 2012 and has begun raising money in earnest. Meanwhile, the Republican field...
MAHAKAMA ya Wilaya ya Chato mkoani Kagera imemhukumu kifungo cha mwaka mmoja dereva wa gari dogo la kusafirisha abiria maarufu kama vipanya, baada ya kushindwa kulipa faini ya shilingi 600,000...
Baada na hata kabla ya kujitenga na Sudan, mji mkubwa wa South Sudan - Juba, unaongezeka kuvuta wawekezagi na umati wa watu kila kukicha.
Ndege nyingi sasa zimeanza International flight...
Tue May 31, 2011 12:50pm GMT
* To drill a new well and expand existing one
* Move to nearly double daily output
DAR ES SALAAM, May 31 (Reuters) - Canadian energy firm Orca Exploration...
Nauri ya ndege Tanzania imeanguka marudufu.Hata wale hamjawahi kupanda midege,ni zamu yenu sasa.Aangali kwa hii mtambo
Uhuwiana wa Nauri za ndege nje na ndani ya Tanzania
Hamjambo wana JF?
Naomba tukumbuke ustaarabu wa daladala, miaka ya zamani kulikuwa na UDA-(Shirika la Usafiri Dar). Ukienda kituoni, unapanga mstari. Ustaarabu ulikuwa mkubwa!!!! Mtu aliyetangulia...
Gazeti la NIPASHE la jana jumatano tarehe 1, Juni 2011, lenye kichwa cha habari "Tibaijuka ategwa nyumba za NHC." linatia kichefuchefu, eti wapangaji wa nyumba za shirika hilo zilizopo upanga...
Wana JF nimesikia BOT imetumi shilingi millioni 500 kwa ajili ya kupiga picha za vigogo wake, Hapa nashindwa kuelewa ni picha gani walizokua wanapiga.
Source: Tanzania Daima Leo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.