Kamati imegomea budget ya wizara ya miundo mbinu kwasababu hakuna fund allocation kwa TRL, ATCL na wakala wa meli.
Wizara inadai hakuna pesa wakati huo huo wizara ya fedha yenyewe ina allocation...
Hatimaye ile siku tuliyokuwa tunaisubiri hatimaye imetimia baada ya kuwa tumetengana kwa mda wa miezi tisa toka ndugu zetu washikiliwe baada ya kudaiwa kumuua dereva wa mgombea ubunge wa ccm...
KESHO TAREHE 4/06/2011,JUMAMOSI.KUTAKUWA NA KIKAO KITAKACHO FANYIKA KATIKA UKUMBI WA DDC MILIMANI,MKABALA NA MLIMANI CITY KUANZIA SAA 10:00 JIONI.WAGENI WATAKAO KUWEPO NI WABUNGE WOTE WA MKOA WA...
Jamani wana jf.kwa mtazamo bila tuition MAPACHA wanaelekea kushinda kwa kuwa uvccm na washirika wake wamekosa ujasiri wa kuthubutu! So ishakuwa tusubiri programu ya kuondoa magamba ngazi ya...
Nimetempea sana nchi za nje na kuona wafungwa wanahudumiwa kwa ustarabu na amani. Lakini hapa kwetu au nchi za afrika wafungwa wanakua treated kama wanyama kwa nini ?
Ya pili polisi atakiwi...
Mwaka 1975 Baada ya kurudi kutoka katika Vita vilivyomwondoa Mreno Msumbiji tulikusanyika pale Lugalo Jeshini ambapo Mwalimu JK Nyerere alikuja kutupongeza kwa Ushujaa uliomwondoa Mreno .
Katika...
Maskini wee wameanza kumalizana wenyewe kwa wenyewe
mmh kma hivi huyu jamaa kafika mbali anyway kwa ufupi tu habari kamili nunua tanzania daima ili wapate mshaara wa kulipa wafanyakazi wao...
Mh. Freman Mbowe,mwenyeki wa Chadema taifa na mkuu wa upinzani bungeni mchana huu ametinga mahakama ya hakimu mkazi Arusha kujua hatma ya dhamana yake. Anamngojea hakimu mfawidhi kwa ajili ya...
:smow:E. coli that has sickened thousands in Europe has become the deadliest outbreak of the bacteria on record as a rare strain is causing kidney failure in unprecedented numbers, U.S. health...
Arrest Buhemba gold mine investors, govt urged
Musoma Rural MP Nimrod Mkono
The government has been advised to arrest investors at Buhemba Gold Mine in Musoma, and order them to return...
moja ya vituo vya television ninavyopenda kuangalia taarifa ya habari ni TBC1, lakini juzi nikiwa naangalia taarifa ya habari ya saa 2:00 usiku nikiwa ninafuatilia habari kwa umakini mkubwa...
Bandugu,
naomba kama kuna alieona tangazo la tra la mnada wa magari lilotoka kati ya wiki hii au wiki iliyopita anijuze mnada huo utakuwa tarehe ngapi na ni wapi na wapi utafanyika.
senkyuu
Yan wameamua kuuza sura tu kwenye hii EATV, kipindi chao hakina maana, hakina ujumbe wala hakifurahishi. Yan kila mtu analalamika hawa watu kupewa mda wa kupotezea watu kwenye hii tv kipenz kwa...
Hatimaye ile siku tuliyokuwa tunaisubiri hatimaye imetimia baada ya kuwa tumetengana kwa mda wa miezi tisa toka ndugu zetu washikiliwe baada ya kudaiwa kumuua dereva wa mgombea ubunge wa ccm...
Namuona Baba wa Taifa kweny TV Sibuka akiwaponda viongozi ambao nchi imewashinda kutawala na badala yake wanakimbilia makando kando. nyerere ni kiboko bwana huyu ni kiona mbali maana mambo...
jamani hili wimbi la vituo bubu vya afya nchini na madaktari wasio na sifa,inakuwaje? Kweli hii nchi ni shamba la bibi,na ni kweli wahusika hawajui?au ndio kutuzuga.na mbona wengi ni wale jamaa...
EALA has committed to planting 50,000
trees in the Partner States over the next
one year. At the same time, local
communities have been encouraged to
grow and...
Jamani ndugu zangu wa Tbc1 ukweli mnanikera sana pale mnapotangaza kwamba mtarusha matangazo ya michezo inayokuwa inafanyika nje ya nchi yetu, mathalani mpira na michezo mingine, lakini badala...
*Wasuka mipango mizito kutwaa eneo hilio.
*Watumia "Waswahili" kutekeleza azma hiyo
*Waziri Tibaijuka sasa akubali kukutana nao.
Watanzania kadhaa wenye asili ya Kiasia wameibuka kupitia kundi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.