Wandugu wa JF msaada tafadhali. Naomba keleweshwa au kufahamishwa ni nani katika manispaa haswa za Dar es salaam anahusika katika upimaji na utoaji hati za viwanja?
Kwa uelewa wangu mdogo naomba...
Nakumbuka Mh. Rais Alisema maafisa habari wa Wizara wapewe kazi na wafanye kazi zao, Lakini nashangaa kwa Upande wa Mh Maige, yeye kila siku unamkuta anazungumza kwenye Media sasa nashindwa...
Itakuwaje kwa viiongozi wa serikali wanaoabudu CCM siku CDM ikishika dola.
Wataendelea na tabia hii ya unafiki ya kutosimamia ukweli katika jamii kisa CCM iko madarakani.
Au wataanza unafiki...
anaitwa Emmanuel Mbaule,kwa mwaka mmoja amefanikisha mkakati wa kuwatimua wafanyakazi tisa kwenye redio Kasibante inayomilikiwa na Waziri Khamis Kagasheki.Cv yake inasomeka eti alikuwa kiongozi...
Habari za asubuhi wana Janvi....kweli ilinisikitisha sana jana nilipokuwa napitapita mahala basi nikakuta wanafunzi wa shule moja hapa arusha ya Secondary. Nikawa napiga nao story za masomo na...
bodi ya miaka 3 yakaa miaka 11: CCM itajenga nchi kweli???
Wabunge waibana bodi feki, Zitto aitimua
BODI feki ya Wakurugenzi katika Shirika la Masoko la Kariakoo, mkoani Dar es Salaam imekaa...
Nachukua fursa hii kwa niaba ya wanahabari wote kumtaka Ras Jah atuombe radhi kutokana na matusi mazito aliyotufurumushia kuwa tumenunuliwa na PPF ili tusiandike madudu yatakayofanyika huko...
Taarifa za Hivi punde zinasema kuna mwanafunzi wa Chekekea Shule ya Msingi Mabibo Dar es Salaam ametumbukia kwenye shimo la Choo Shuleni hapo..Kwa sasa Vikosi vya Zima moto na Majitaka Dsm...
Wahenga walisema kimya kingi kina mshindo mkuu, katika kipindi cha mwezi Mei waziri wetu mkuu amekuwa kimya kiasi cha kutia shaka, kulikoni????? mshindo mkuu unaosubiriwa utakuwa hasi au...
nimeshtushwa sana na habari hii, inaonekana serikali ya awamu ya nne haijajifunza kitu chochote kutoka makosa ya uuzwaji wa nymba za serikali uliofanyika wakati wa awamu ya tatu. kweli tuna safari...
Katika kuelekea kilele cha miaka 50 ya Tanganyika, tbc1 wameweka kipengele cha habari enzi hizo kwenye taarifa ya habari ya sa2 usiku huu. Wameahidi kufanya hivyo hadi kilele chenyewe. Kwa kuanzia...
Wana JF, nimesikia kuwa kuna wanachama wa CCM wametakiwa wajiondoe katika chama chao ikiwa ni moja ya hatua ya chama chao kujisafisha, mimi kwa mtizamo wangu nauliza ni lini mwenyekiti wao...
harakat za kupiga X kwenye nyumba zilizo jiran na barabara ni MITA 15 kutoka usawa wa barabara....ukiuliza unaambiwa ni maandaaliza kwa ajili ya matengezezo ya bandari uko bagamoyo...sawa...
Police in Nigeria free 32 pregnant teens from 'baby factory;' newborns sold into labor, sex markets
BY Philip Caulfield
DAILY NEWS STAFF WRITER
Thursday, June 2nd 2011, 9:12 AM
Bennett...
MI ni mjasiria mali mdogo'nna vijisenti vyangu nafikiria jinsi ya kuviendeleza nikaona kwenye biashara ya burudani inalipa kimtindo'JF mnasemaje msaada kidogo'.
Please members assist the following areas;
1. How to post a footnote which will be appearing in all my posts?
2. How to post animated images?
3. How to post big images or photos?
Thanks in...
JWTZ imethibitisha kuwa hakutokuwa na ulipuaji wa mabomu katika ghala la gongo la mboto kama ambavyo uvumi ulianza kuenea!Hii ni kwa mujibu wa msemaji wa jeshi hilo alipokuwa akihojiwa na TBC jana!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.