NY-born twin friars die on same day at age 92
AP This May 2003 photo provided by St. Bonaventure University shows Adrian, left, and Julian Riester, identical
By CAROLYN THOMPSON...
Yeye ni..
Naibu Katibu Mkuu wa Chama
Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Mashirika ya Umma (POAC)
Mbunge
Naibu Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni
Waziri Kivuli wa Fedha.
Vyeo vyote hivi...
Wanamaliza form 4,wanakuja kuendesha Bajaj,pikipiki ,wamejaa mitaani matokeo ni Ajali ! tungewapatia elimu ya kilimo hata wabaki na maarifa ambayo ni halisi ,mipango ya nchi yetu kweli ina...
Kamati ya Bunge ya hesabu za mashirika ya Umma imekataa kupitisha hesabu za bohari kuu ya dawa ya serikali(MSD) kutokana na kuharibika kwa dawa zenye thamani ya sh bilion 8...
Kutokana na matatizo ya umeme yanayoikumba nchi yetu, jana sikuweza kuangalia kipindi chako cha kipima joto ambacho nimesikia mlikuwa mkizungumzia kuhusu Tanesco na tatizo la umeme na Mmoja wa...
Wanajf mambo vp,nafikiri hakuna asiefaham kuwa watoto wa kambo huwa wananyanyasika sn au kunyanyaswa na mama wa kambo japo si wote lkn % kubwa ndio iko hivyo,tujadili hili!
Poleni kwa majukumu wajumbe!!Naleta kwenu kisa changu mnisaidie mwenzenu.Nina mpenzi wangu ambaye tulikuwa naye kimapenzi kwa zaidi ya miaka 2.Akawa ameenda chuo UDOM na kwa sasa anakaribia...
Poleni kwa majukumu wajumbe!!Naleta kwenu kisa changu mnisaidie mwenzenu.Nina mpenzi wangu ambaye tulikuwa naye kimapenzi kwa zaidi ya miaka 2.Akawa ameenda chuo UDOM na kwa sasa anakaribia...
MTUHUMIWA wa ujambazi sugu ambaye amekuwa akisakwa kwa muda mrefu na Polisi mkoani Rukwa, amekufa ghafla baada ya kuvuliwa hirizi kubwa aliyokuwa ameivaa mkononi.
Akizungumzia mkasa huo jana...
Inasemekana ule mgogoro unaoendelea mkoani Manyara umezidi kushika kasi baada ya mwekezaji mmoja kuwekewa kizuizi na hatimaye kushambuliwa kwa mapanga mpaka kufa na watu wasiojulikana.
Polisi...
JK: Kila Mtanzania kulala kwenye chandarua Agosti
BY MWANDISHI WETU
3rd June 2011
Email
Print
Comments
Rais Jakaya Kikwete akizungumza katika mkutano wa wadau wanaotafiti upatikanaji wa...
NAIBU Waziri wa Viwanda na Biashara, Lazaro Nyalandu
ametoa wito kwa taasisi za serikali kutumia nyaya za umeme zinazozalishwa na kampuni za ndani na kuacha kungangania zinazozalishwa na...
Mtoto wa kiume wa miaka 13, alikamatwa na kuteswa na polisi, alipigwa risasi sehemu mbalimbali za mwili wake, alikatwa uume wake, alivunjwa shingo na miguu yake, kosa alilolifanya ni kushiriki...
Habari wanajamvi, ning msukumo wa dhati kutoka ndani kabisa ya moyo wangu kuhusu michezo.jana kuna mashindano ya riadha yalianza pale uwanja wa taifa yakishirikisha mataifa ya kutosha tu lakini...
UJERUMANI YASITISHA KUTOA FEDHA ZA KUPAMBANA NA UKIMWI -TZ
WIZARA ya Maendeleo ya Ujerumani imetangaza kwamba itasitisha kutoa fedha kiasi cha euro milioni 200 ambazo hutolewa kila mwaka kwa...
Mama mmoja wa nchini Marekani huenda akahukumiwa miaka 45 jela kwa jaribio lake la kutoa mashetani toka tumboni mwa mtoto wake, jaribio ambalo lilipelekea kifo cha mtoto huyo.
Mama huyo, Latisha...
WALIOKUWA wanandoa kwa muda wa miaka minne mfululizo wamejikuta wakihatarisha maisha ya mtoto wao kwa kumjeruhi kwa kumgombani kama mpira wa kona huku kila mmoja akihitaji kubaki na mtoto huyo...
BI. SADYA OTHUMAN [37] amejikuta akipata aibu ya mwaka baada ya kutukanwa matusi ya nguoni mbele ya hadhara ya watu kwa kile kilichodaiwa kutumia fedha ya mume wake isivyo halali
Tukio hilo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.