Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Naomba MOD utuwekee ki button cha UNLIKE kama kale ka like, kwa sababu kuna posts au comments ambazo zinaboa kweli, badala ya ku-reply with history, unabonyeza hiyo UNLIKE. Infact hii...
0 Reactions
3 Replies
953 Views
majuzi nilisikia habari kutoka bbc idhaa ya kiswahili kuwa kampuni ya kompyuta ya kimarekani IBM ambayo imefungua tawi nchini inataka kusaidia kupunguza foleni jijini dar kwa kutumia teknolojia ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kutokana na upanuzi wa uwanja wa ndege wa mjini bukoba ,wakazi wanaoishi maeneo yaliyokaribu na uwanja huo hususani eneo la shule ya msingi tumaini, nyumba zao ziko hatarini kuwadondokea kutokana...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari? Naomba kufahamu Forums za Computer programming especially .NET ambazo ziko hot zaidi duniani.. Shukrani
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hivi punde uongozi wa Manispaa ya Ilala pamoja na Baraza la madiwani wamejikuta katika mshangao mkubwa baada ya kupewa taarifa kuwa kampuni ya MACS&SONS ilikuwa imejikwepulia kiasi cha sh...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Wanajf, ninauchungu sana kuona jinsi TZ Kikongo na manyanyaso tunayofanyiwa wanasema ni nchi ya amani lakini sio kweli ni utulivu tu. Na Wa TZ walivyombumbu ndiyo nchi inazidi kudidimia, uonevu...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Ndugu zangu wana jf mpo juu, nashindwa kuwapa sifa ile itakayo watosha kwa kazi nzuri mnayoifanya. najuwa tumekuwa tukiandika lisala kuwa ndugu mgeni lasmi popote penye mafanikio hapakosi kuwa na...
0 Reactions
0 Replies
882 Views
Sijawahi kuona post yeyote ya Mwenyekiti wetu John Heche kiasi kwamba ningemtumia email ya kuchukua contacts zake ili nikimuhitaji kwa shughuli za kichama nimpate,Mwenye namba zake naomba aziweke...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Ndugu zangu wana jf mpo juu, nashindwa kuwapa sifa ile itakayo watosha kwa kazi nzuri mnayoifanya. najuwa tumekuwa tukiandika lisala kuwa ndugu mgeni lasmi popote penye mafanikio hapakosi kuwa na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamani hii ni haki? CHADEMA ina kiti zaidi ya kimoja katika mkoa wa Shinyanga lakini haina mbunge wa viti maalum kutoka katika mkoa huo ilhali Mkoa wa Singida una Mbunge wa viti maalum wakati ina...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
huyu mama anakataa kuwapakiza majeruhi waliopata ajari jijini Dsm tarehe 1 june ukimwangalia vizuri huyo mama anamwonyesha askari saa kuwa anawahi,lakini nguvu ya umma kutoka tabata imelazimisha...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari wanaJF, Kuna tabia nimekua nikiendelea kuiona ya madereva wa magari ya serikali ku-misuse viyoyozi vya magari hayo.Jana nikiwa maeneo ya posta nilushuhudia gari STK 3620 VX likitumia...
1 Reactions
24 Replies
2K Views
...Yesu akajibu, amin nawaambia, ye yote atakayeuambia mlima huu, ng'oka ukatupwe baharin, wala asione shaka moyon mwake, ila amini kwamba hayo asemayo yametukia, yatakuwa yake.........., ...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Karibu mwezi sasa tunaangalia kwenye vyombo vya watu matapeli wa huduma ya afya,wakorea,wchina,waarabu,wahindi, wakifoka na kuwafukuza wataalamu wetu toka wizara ya Afya,kwa maneno...
1 Reactions
12 Replies
3K Views
Baa gerezani Mamlaka katika gereza moja nchini Mexico wamekuta wafungwa wamefungua baa ndani ya gereza. Mtandao wa China Daily umesema katika baa hiyo wamekuta vinywaji vikali, bia na hata...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Nimefuatilia matukio ya wiki na kuyatafakari kwa undani kabisa. Sasa nakuja na haya. Jamani watanzania tunalazimika kuikomboa hii nchi sasa hakuna mwingine atakaye kuja ikomboa na ile kauli ya...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakati watu wengi wakipewa nafasi ya kumkaribisha Rais wa Tz wanaanza na maneno kama vile, ... Ndugu, Mh, Dr. ....... Leo kwenye sherehe za kumsimika Askofu Ndimbo pale jimboni Mbinga, kiongozi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
WanaJF, Kwa taarifa zilizotufikia sasa, ni kwamba Wanyarwanda walihamishia Ng'ombe wao Bushubi (Ngara) na wanalisha mashamba ya wenyeji kwa jeuri kubwa. Inaonekana uongozi wa serikali za vijiji...
0 Reactions
33 Replies
3K Views
1. Inaibua chuki na hasira kati ya wazawa na serikali yao 2. Inaibua chuki kati ya weusi na wahindi 3. Inasababisha na kuongeza hisia kuwa nchi imeuzwa. 4. Inatuongezea machungu na kutukumbusha...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wapendwa wana JF napenda kuwajulisha nipo Bongo tena kwa mara nyingine,Wapenzi wangu na mahasimu wangu wote ni vema mjue tusije onana mkasema sijawaambia.Kijiwe changu ni...
0 Reactions
42 Replies
4K Views
Back
Top Bottom