Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
urudani Maoni ya mhariri Safu source;Nipashe Na Richard Makore 6th June 2011 Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimesema kama serikali imebaini uelewa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
MOJA kati ya habari zilizopewa uzito Juma hili ni ile inayoigusa bohari ya madawa (MSD) kusababisha hasara ya dawa zenye thamani ya sh bilioni 5.2 ambazo ziliharibika baada ya kuhifadhiwa kwa muda...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
(Machozi yananitoka) Kijana mmoja ambaye ana ulemavu wa miguu ameamu kujitafutia riziki yake kwa kujiajili. Huwa anauza biscuts, karanga na vitu vingine vingine kama matoi ya watoto wadogo. na...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Makadirio ya Gharama za Drama ya Polisi na Mbowe Helicopter Expenses(Fuel) 4,650,000/=Go & Return Pilot and Co-pilot@ 300,000...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Maduka ya mtaa wa Pangani mjini Arusha yanawaka moto huku kukiwa na kikosi kazi cha zimamoto wakijitahidi kuuzima moto huo.Polisi wapo kuhakikisha ulinzi kwa vibaka wowote watakaotaka kupora vitu...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Aka ka msemo nimekapenda japo utekelezaji wake umekuwa mgumu kupindukia. "Heri kufa nimesimama" kuliko "kuishi nimepiga magoti".Huu ni moja kati ya semi za makamanda wa jeshi lililo hai la...
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Hv kulikuwa na haja gan ku2mia dege kubwa la jeshi kumsafirisha mh Mbowe?Hata swali 2 hajaulizwa! sio ufujaji wa fedha?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Yan wameamua kuuza sura tu kwenye hii EATV, kipindi chao hakina maana, hakina ujumbe wala hakifurahishi. Yan kila mtu analalamika hawa watu kupewa mda wa kupotezea watu kwenye hii tv kipenz kwa...
0 Reactions
30 Replies
4K Views
TANZANIA PROFESSIONALS NETWORK (TPN) 2011 GENERAL ELECTIONS RESULTS President: Mr. Phares Magesa Vice President: Mr. Richard Kasesera Secretary General: Ms. Janet Mbene Deputy Secretary...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
wandugu wapendwa, nimeikuta hii pale kwa michuzi juniour nikaipenda.... JIACHIE kichwa cha habari ni mwana umleavyo ndivyo.... nampa pongezi baba wa mtoto huyu....mie nilishashona kombati na...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Wakuu kwa wale wadau wa fani za Usanifu Majengo (Architecture) na Ukadiririaji watakua wanamfahamu Ach. Abraham Marress aliyekua Board Secretary wa AQRB....Huyu bwana hatunaye tena!
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari zinatapakaa mtanaoni kuhusu kupona kwa mtu [Timothy Brown] aliyekuwa anapatiwa tiba ya ugonjwa huo huko marekani. Kuna habari sehemu mbalimbali mtandaoni ikiwemo kwenye link hii hapa...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Kwenye kipindi chake cha kwanza cha utawala JK alijulikana kwa majina kama Vasco Dagama, Magellan, Columbus n.k kutokana na kusafiri karibu kila mwezi kwenda Ulaya na US kwa madai ya kwenda...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Jana jioni majira ya saa 2 usiku nilikuwa maeneo ya Ilala kumtembelea rafiki yangu mmoja aishie Mtaa wa Utete. Nikakuta hakuna umeme maeneo hayo – biula shaka kutokana na mgao. Nilipita...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Hivi Tanzania hakuna habari yeyote njema au nzuri inayotokea. Kila post imejaa mabaya ya nchi. Kuanzia utawala mbovu na uchumi usiofaa. maisha magumu na uonevu. Wizi , ufisadi, rushwa na...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Naombeni msaada wandugu,taratibu za likizo ya uzazi kwa mwanamke (maternity leave) zikoje kama amejifungua ndani ya miezi kama 4 tangu alipoajiriwa serikalini? Kuna taarifa isiyo rasmi...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
I would be appreciative of your views...thanx guys keep up the good work
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Hali inazidi kuwa ngumu kwa Menejimenti ya Juu ya Ofisi hii ya Ukaguzi wa Hesabu za Serikali kufutia mgawanyiko mkubwa ambao umetokea. Hali hii imejitokeza baada ya wakaguzi wa kanda wapatao 11...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wanajamvi naombeni msaada....natafuta fremu Arusha maeneo ya Sanawari, Sakina, Kaloleni au sehemu yeyote ambao nitaona inanifa na iwe karibu na barabara... Kuna kamradi nataka kuanzisha...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
I MAKE A DIFFERENCE..WHAT DO YOU MAKE? The dinner guests were sitting around the table discussing life. One man, a CEO, decided to explain the problem with education and few opportunities of...
1 Reactions
2 Replies
925 Views
Back
Top Bottom