Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
WATANZANIA WENZANGU, NAOMBA KUULIZA JE NAIBU WAZIRI WA TANZANIA (YEYOTE YULE IN TERMS OF WIZARA) JE HULIPWA BEI GANI UKIACHILIA MBALI MSHAHARA AS MBUNGE MAANA NINA BOSS WANGU BAHILI SANA AMBAE NI...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Ebu ona hiii picha na maelezo ya kila mmoja wao, Hapo kuna MTanzania, Mkenya Na Mganda
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Heshima Wakuu....kwa mara ya kwanza tangu nizaliwe nimesikia maneno ya Faraja na ya kizalendo kutoka kwa kiongozi wa ngazi ya juu wa Wilaya, Huyo si mwingine ni DC wa wilaya ya KISARAWE mama...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wana jamii Nina msiba Wa baba yangu mkubwa Mr Mathias J Masinde Ottaru kimetokea 29/05/2011. Mazishi yatafanyika kibosho moshi.
0 Reactions
43 Replies
4K Views
Habari za siku kadhaa wanaJF wenzangu? Kwa huzuni kubwa napenda kuwapa taarifa za kifo cha kaka yangu mpendwa Justine Mdemu kilichotokea huko Kigoma. Marehemu kaka Justine alikuwa kasuru-kigoma...
0 Reactions
75 Replies
6K Views
Dr. Slaa yupo hapa mahakama ya hakimu mkazi Arusha amekuja kufuatilia ile amri ya kuwakamata kwa kutokana na kutokufika mahakamani wiki iliyopita. Bado anasubiri kumwona hakimu mfawidi. NB...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Kumbe kuenguliwa kwa baadhi ya wagombea wa BAVICHA kumetupa mwanga sana wa kutambua kuwa baadhi ya hawa wanaojifanya wafurukutwa/wakereketwa/walalahoi wa chadema ni mamluki. Kama kweli hata...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
MKUU wa Mkoa wa Pwani, Amina Saidi, amesema mgogoro wa kiutendaji unaoendelea kufukuta katika Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo umechochewa zaidi na baadhi ya viongozi katika Ofisi ya Waziri Mkuu...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Monday, May 30, 2011, 5:45 Habari kuu, Mtanzania • Ni Mkuu wa Mkoa Pwani na DC Bagamoyo • Wanatishwa na watumishi waliosimamishwa Na Gustaphu Haule, Kibaha MKUU wa Mkoa wa Pwani, Amina...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wana JF, Huko Arusha Kumetokea na kituko kimmoja cha ajabu mtu anaongea kwa kutumia mtandao wa AirTel ghafla simu yake imekatika na kuja kucheki anakutana ma message inasema SIM CARD REGISTRATION...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
JK yuko MZA na muda huu kaelekea kufungua barabara inayoelekea Geita kupitia Busisi' Ila cha ajabu ni kuwa baadhi ya bendera za CHADEMA zimezagaa sana barabarani kuashiria kuwa ni ishara ya ngome...
0 Reactions
34 Replies
4K Views
Katika hali ya kushangaza Waziri wa Sheria Mh: Kombani amesema kuwa ili tume ya kukusanya maoni kuhusu mabadiliko ya Katiba iweze kufanya kazi vizuri inatakiwa isiundwe na wata wenye mitazamo...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Bongo flevaaa! Iyo wayo mama we iyo wayo.....! Ulikuwa wimbo wa dully ukitumika kutangazia mkutano wa mbunge aliyeshinda kwa kura moja Steven Masele best wa Riz1 huku raia wakiwa wanawapuuza...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Polisi 15 wa nchini Mexico wamesimamishwa kazi baada ya kumlazimisha mwanamke waliyemkamata avue nguo zake na kisha acheze uchi mbele yao. Polisi 15 wakiwemo polisi watatu wa kike wa nchini...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Ndugu wana Jamii forums, natangaza rasmi mbele ya kadamnasi hili kuwa mimi ni muathirika. Nikiamka asubuhi sifanyi kitu kingine zaidi ya kuingia Jamii, Kazi haziendi bila ka window ka jamii kuwa...
0 Reactions
96 Replies
9K Views
Dear readers, For the first time I had an opportunity to fly through KIA early this month. I arrived early at the airport so naturally I decided to quench my thirst at the place where all airports...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Hitilafu za Bajeti zaiangusha Wizara ya Afya Mei 29, 2011 Bajeti ya Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii ya mwaka 2010/2011 imejaa mipango isiyofaa na isiyozingatia kanuni, uhalisia na ufanisi hali...
0 Reactions
0 Replies
987 Views
MoHSW Budget Discrepancies Counterproductive The Ministry of Health and Social Welfare’s 2010/2011 budget is non-conforming, unrealistic, ineffective and inconsistent which is likely to...
0 Reactions
0 Replies
978 Views
Ghasia: Msibweteke kikombe cha babu Send to a friend Sunday, 29 May 2011 22:15 Elizabeth Ernest WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mnamo tarehe 20 Julai 1969, Mamilioni ya watu ulimwenguni waliweza kuangalia katika Televisheni zao mtu akitembea juu ya mwezi, na mtu huyo akiwa mwezini alisema maneno yafuatayo, "Hatua moja...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom