jamani hivi hii sela ya kilimo kwanza itafanikiwa? Huku kijijini kwetu,watu wamekopeshwa power tila,wanafanyia biashara ya kubebea mizigo kupeleka sokoni,hazilimi tena,wanadai eti,bila kufanya...
By In2EastAfrica - Sat May 28, 9:10 pm
Nyarugusu Refugee Camp
A 2005-promise by the United States to resettle Burundi refugees in the country is considered as a snag to the closure of the...
MFUGAJI aliyeua polisi kwa mkuki wa kichwa, Hango Masanja (19) amefariki dunia usiku wa kuamkia jana, baada ya kuvuja damu nyingi kutokana na majeraha ya risasi sehemu zake za siri.
Masanja...
Ndugu thinkers leo hii bei ya dola ni 1540 kuuza kununu 1560 mpaka 1600 na pesa yetu haipatikani na ikipatikana haina thamani.Nani huyu katupeleka hapa idadi yetu haijulikana watawala wetu wanona...
Saturday, 28 May 2011 10:33
Waziri Omari Nundu
Exuper Kachenje
KAMATI ya Bunge ya Miundombinu imeyakataa mapendekezo ya bajeti ya Wizara ya Uchukuzi yaliyowasilishwa jana mbele yake...
Wachumi washauriwa kutafiti kuhusu pato dogo Saturday, 28 May 2011 10:54
Gedius Rwiza na Furaha Maugo
Mwananchi
MLEZI wa Taasisi ya Sera Afrika Mashariki (EPF), Dk Diodorus Kamala, amesema...
Mkoa wa Tabora ni chimbuko la uhuru wa nchi ya Tanganyika kwa wakati huo, lakini imekubuhu na matatizo lukuki, train ya kusuasua, barabara ni za tope hakuna lami inayounganisha mkoa huu (shame)...
He's holding a certain position in gvt where he can manouvre vijisent. Ktk hali isiyo ya kawaida ameingizwa town na wafanyakazi wengine wa serikali/polisi eti gari lake lina outdated insurance...
Hilo jambo limefumbiwa macho na wakuu wengi wa Africa, kila ikitokea mchina anakuja na idea anapokelewa harakaharaka. Sasa muhindi katia timu na dolabil 5.
Ipo siku tutajutia kwa haya...
Yes, More Power to Ilemela Legislator, wakati wanajenga walituongezea bei za bidhaa pesa hazikutoka Mkononi Mwa CCM!!!
By In2EastAfrica - Sat May 28, 2:10 pm
Highness Kiwia
Member of...
Link hii hapa chini yaonyesha ni jinsi gani entertainment industry Uganda inavyolipa tokana na mafanikio kadhaa wayapatayo wasanii wa kule,je tuna mikakati gani hapa kwetu ili kunufaisha wale wote...
:amen:JANA NIMESIKIA HALMASHAURI YA MJI WA KIBAHA WAMETUMIA SHILINGI MILIONI SABINI(70M)KUJENGA VYOO VIWILI. AWALI WALIKADIRIA ZITUMIKE SHILINGI ZAKITANZANIA
MILIONI 23 KUKAMILISHA UJENZI HUO...
Naona hali ya utawala wa JK inazidi kuwa mbaya, mambo haendi, mfumuko wa bei uko juu, viongozi wanalipuka, askari wanaua, wanafunzi wanafeli masomo, mishahara inachelewa. wafanyakazi hawajitumi...
Hivi karibuni tumesikia juu ya vifo vya wananchi Mgodi wa Nyamongo.wawekezaji wanasababisha watanzania kuwa kama watumwa kwenye nchi yao.Serikali yetu itabadilika lini ili wananchi waweze kufaidi...
Nahitaji kuwasiliana na CHADEMA kama chama, siyo mtu binafsi. Ningependa kuwaambia jambo, lakini sina namna ya kuwapata moja kwa moja. Naomba yeyote mwenye uwezo wa kunisaidia afanye hivyo!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.