Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Salaam, nimefuatilia mwenendo wa siasa za sasa za africa na tanzania zinalenga zaidi watu kulipuana badala ya kujadili hoja kama ilivyo kuwa kwa wapigania uhuru walikuwa na agenda badala ya watu...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
UONGOZI wa Ofisi ya Kata ya Kigogo umeifunga rasmi nyumba ya kulala wageni inayotambulika kwa jina la The Queens iliyopo pembezoni mwa Shule ya Sekondari ya Kigogo ambayo ilikuwa ikilalamikiwa na...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
WATU watatu wamefariki katika matukio tofauti jijini Dar es Salaam likiwemo la mwanamke mmoja kuuawa kikatili na mwanaume anayesadikiwa kutafutwa na polisi. Chanzo cha habari kinadai kuwa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Kama medical doctor nimejifunza umhimu wa glucose(sukari) kwa ubongo kuweza kufanya kazi vizuri na ndiyo maana mtu akiwa na njaa anakuwa mkali maana ubongo hautaki shida ya kuhitaji kufikiri zaidi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
hivi hii idara iko chini ya nani na ni nani director pale? hivi lini tutaacha mambo ya kubahatisha na nusu nusu? National Bureau of Statistics Tanzania - NBS
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wasalaam Kwa habari za kiitelejensia kutoka ndani ya halmashauri ya wilaya ya ngorongoro yenye makao makuu katika mji mdogo wa waso,loliondo imebainika ya kwamba MHASIBU MKUU WA WILAYA HIYO...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Salaam wakuu, Katika kupitia magazeti ya wiki,nilikutana na makala ya MSOMAJI RAIA kwenye gazeti la Raia Mwema yenye kichwa cha habari SAKATA LA CHENJI YA RADA,naomba tuitazame kwa jicho la...
0 Reactions
1 Replies
969 Views
jamani wana jamvi mwenye habari kamili nasahihi atujuze, kuna kampuni inaitwa athi riva imenunua eneo kubwa sana kwa ajili ya kuzalisha saruji tanga na kuna wafugaji wa n'gombe wa maziwa katika...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Ziara ya indian officials hapa Tanzania ni wasaa muafaka wa kutafakari umuhimu na uwajibikaji wa jamii ya kihindi hapa Tanzania. Je kuna tija yoyote?
0 Reactions
55 Replies
7K Views
Plz come in i need you here.
0 Reactions
2 Replies
923 Views
Sijawahi kumtukana mtu na sitomtukana mtu na hapa naomba nieleweni ndugu wapendwa mliosikiliza majuzi radio clouds ni tatizo tu gari zetu za siku hizi zinaishia na 90 ..else tungekuwa tunasikiliza...
0 Reactions
35 Replies
3K Views
Heshima kwenu wakuu! Tido Muhando alipofanyiwa zengwe TBC wengine tulijua nini kinafuata! Shirika hili ambalo ni mali yetu sisi wananchi lilisimama katika kutoa haki japo lilikuwa likibanywa kwa...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Leo imeniuma sana. Umeme umekatika tangu saa 11 jioni, nimeuliza tanga hakuna umeme, dar giza, dodoma, morogoro pia gizani. Nadhani ni issue ya nchi nzima. Hv tunaelekea wapi jamani?
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Hivi jana tu TANESCO walitangazo mgao umekwisha! Leo huku Mwenge kwenye saa kumi na moja wamekata umeme sisi tuwaeleweji. Mimi nachoka kabisa! Kinachonimaliza ni kwamba ukiwapigia emergency...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Jamani mimi nimeona website ya watu wanaojiita Strategic Future interventi - SFI Affilliation Marketing Program nika sign up. Wanasema wanalipa commission kwa kuelekeza wakajiunga. Sasa hivi hizi...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
katika miaka ya hivi karibuni CCM illiamua kuanza kutumia mbinu mbalimbali ili kuendena na kasi ya upepo wa mabadiliko unaoikumba tanzania na Dunia kwa ujumla. lakini cha kusikitisha hawakufanya...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Alisema Profesa Lipumba Katika maazimio hayo, alisema Baraza Kuu linalaani vitendo vya ukiukwaji na uvunjwaji wa haki za binadamu kwa mauaji ya raia yanayoendelea kuripotiwa mara kwa mara...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Mgawo wa umeme umeisha au bado upo? mbona huku kijijini kwetu kuna giza?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nimeanzisha post yenye kichwa 'Nini Maana Ya Upinzani' na nimepata majibu mengi si chini ya kumi. Cha kushangaza nimeangalia sasa hivi ina majibu mawili tu? Je kuna mtu anafuta haya majibu hapa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jamani tunapoelekea ni pabaya kuliko, kama una mazoea ya kusali kila uamkapo asubhi mwambie Mungu awasamehe polisi wote wa Tanzania na kuwaondolea roho ya tamaa za pesa ngono na uuwaji. Unajua...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom