Monday, May 23, 2011
at 1:02 AM Posted by Political Risk Review
Harvey Glickman says at the Foreign Policy Research Institute that Tanzania's Islamic revival could turn to radicalism given...
Habari zenu wana jf nimeingia ndani ya uwanja huu kwa nia moja yakumwambia mh zito asituadae kwa mtoto wa mnajim nilimsikia mh. Zito akisema kuwa chadema wameenda msibani kwan mtoto wa marehemu...
Ndg zangu em niweke sawa. Huku kwetu twaweza kaa miaka kibao na kipande kibovu cha barabara, huku halmshr wakilia lia eti hakuna fedha. Lkn inapotokea anakuja kiongoz wa kitaifa, say mh mkubwa wa...
Ninaishi U.S.A. Mara nyingi napenda kuwasiliana kwa simu na jamaa zangu huko nyumbani Tanzania na marafiki wengine walioko Uganda. Kinachonishangaza ni hiki: Iwapo unaweka $ 2 kwenye simu na...
Strauss-Kahn DNA 'linked to maid'
Dominique Strauss-Kahn's DNA matches a sample found on the clothes of a New York hotel maid who accused him of sexual assault, US reports say.
Source: bbc
Kwakweli inaboa sana yani kila ukifika wanakwambia mtandao upo chini waweza kuchukua hata dk 30 kwa shughuli ya 5dk! Balaa zaidi limeanza jana ya hakuna kuchukua pesa kwenye bank teller labda uwe...
Wana JF bila kujali dini zetu tuombe Mungu atuhurumie maana watawala wetu na vyombo vya kulinda usalama wetu vimekuwa adui wa uhai wetu. Maisha magumu,ukame,ajali,ufisadi,maneno matamu kwa...
tunaambiwa sigala kawaseti watendaji wa kata na halmashauri ili juhudi za mbowe zisifanikiwe? yeye ndie anawatuma waandishi wa habari kuandika habari negativu za mbowe, inasadikika yeye ndiye...
wana JF habari toka tarime zinasema serikali imekataa kuruhusu wale marehemu waliouwawa na polisi kuagwa uwanjani kabla ya kwenda kuzikwa...
source; tundu lissu
Tundu Lissu
(7 minutes ago)...
President Barack Obama received a royal 41-gun salute at Buckingham Palace on Tuesday to begin a two-day state visit aimed at ensuring the United States and Britain keep the "special" in their...
Ni ukweli uliowazi kuwa watanzania walio wengi wakipewa nafasi ya kueleza nini chanzo cha matatizo na umaskin wetu huitupia lawama serikali hasa kwa kushindwa kuratibu maendeleo na ukombozi wetu...
habari wan JF,
naomba nianze kwa kusema nampenda sana mama .. yangu na mama wote, na hata akina mama wa JF, i love u mama....
tatizo langu ni kwanini hatuwapi credit akina baba mara kwa mara...
SHOES STORY
You will perhaps have heard this very old story illustrating the difference between positive thinking and negative thinking.
Many years ago two salesmen were sent by a British shoe...
Bila Aman nchi haiwezi kusonga mbele.
Kwa hali ilvyo sasa na soon baada ya uchaguzi kama sio uimara wa polisi nchi ingewaka moto
try to imagine wewe ungekuwa IGP na ni wajibu wako kulinda...
Only in Tanzania, We are blessed we need to get rid of greedy leaders Get ride of Azimio la Zanzibar...
By Daily Mail Reporter
Last updated at 7:45 AM on 24th May 2011
The world's...
Mimi napata shida kupambanua, mbona hawa EPA
dagaa ndio wanaofungwa, eti wa bil 1.8 na hapa
akitoka ndo alipe pesa aliyoepua, ningeomba hukumu ipitiwe tena walipe pesa kwanza ndio wahfungwe...
POLISI kupitia Kamisheni ya Upelelezi wa Makosa ya Jina imeanzisha doria katika mitandao ya mawasiliano ili kukabiliana na ongezeko la uhalifu wa kwenye mitandao.
Mkuu wa Kitengo cha Maabara...
Hebu tujaribu kuainisha faida tutakazo zipata wabara endapo muungano utavunjika
1. Ajira zitaongezeka (nafasi zote zinazoshikiliwa na wa zanzibar zitarudi kwa wa bara)
2. Fursa pi zitaongezeka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.