Baada tu ya TANESCO kuanza mgao wao wa siku 9,ghafla kampuni ya kimarekani ikaibua na kununua mitambo ya Dowans.Huu ni mchezo wa kuigiza ambao hauhitaji elimu yoyote kuushtukia,TANESCO kama vile...
Habari wana JF,
Nimekuwa nikifatilia habari za viongozi na familia zao kwenye magazeti/radio mda mrefu lakini sijawai kusikia watoto wa hawa viongozi wakiongea au wakibishana na wanasiasa...
Hivi ni kwa nini watu na hata Ndugu wa karibu na mgonjwa hamsaidii wakati anaumwa, ilihali ikitokea akafariki wanaitisha vikao na kutoa michango kwa ajili ya msibai? Mbona wangetoa ili kuokoa...
Nahofia sana mfumo wa SIASA tuliouanzisha hivi sasa wa kukuza MIGOGORO na MPASUKO ktk jamii na kuitumia kama MITAJI yetu ya siasa ktk majukwaa ili tupate UMAARUFU. Hatuna fikra kama tukijaaliwa...
MKAZI wa Kijiji cha Nyaumata, Kata ya Somanda wilayani Bariadi, mkoani Shinyanga, Mayunga Mteremko ametiwa mbaroni kwa tuhuma za kumuua mkewe.
Inadaiwa kwamba, Mteremko alimkatakata mapanga...
Jaman wanajamvi, jumamosi na jumapili nilikuwa Dodoma, nikasikia tetesi kuwa CHADEMA kitakuwa Dodoma siku ya jumapili jioni, na nililazimika kuondoka kurudi Dar mchana, je kuna mtu yeyote mwenye...
Wananchi imefika wakati kuzungumzia uongozi wa kitaifa, utamaduni wetu, Katiba yetu na hasa udanganyifu wa demokrasia ya Tanzania. Hatuwesi kila wakati kuacha kuzungumzia hali mbaya ya Taifa letu...
Ktk maisha mtu lazima upitie hatua mbalimbali then ufikie utu uzima,
nakumbuka nikiwa mtoto tulicheza michezo mingi ya heshima tofauti na watoto wa cku hizi mzazi ucpokuwa makini mchezo wao niwa...
Ilikuwa ni kanisani baada ya mchungaji kumkaribisha kama mgeni rasimi kwamba wananchi wamshike mkono , ndipo watu wote wakatoka kanisani na kumuacha mwenyewe. Ilikuwa ni fundrising event katika...
Muda huu nimepata Breaking news kuwa kuna Lori Moja linalosafirisha abiria kuwapeleka mnadani limepata ajali na watu wasiopunguo wanne wamepoteza maisha maeneo ya pawaga mkoani Iringa.
kama...
Mlidhania nichama cha chamchezo?
Nichama chenye weredi tazama sasa CCM mnavyo hangaika mnarushiana makombora mara huyu aliniambia hili mara lile,Hata huyo Katibu Mkuu aliyechaghuliwa naona...
Kutokana na hali ya uchafu uliokithiri nchini hasa Mkoani Dar es Salaam, napendeza Serikali iiteue siku ya Jumamosi kuwa siku Maalum ya kufanya usafi nchi nzima kwa kuwahusisha na kuwashirikisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.