Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Wana JF. Leo asabuhi tarehe 10 may 2011, kwenye taarifa ya habari TBC nimestushwa na habari kuwa, Ongezeko la wagonjwa wa akili Tanzania ni kubwa ni kubwa sana na Mkoa wa Mtwara unaongoza kuwa...
0 Reactions
23 Replies
4K Views
Jana wakati naangalia news kunako runinga TBC nilivutiwa na habari mmoja kutoka nchini Kenya kuwa serikali ilikuwa imeandaa jopo la watalaamu wa sheria ili kufanya usahili wa kumpata Jaji mkuu wa...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Gavana Schwarzenegger wa Chama kikuu cha upinzani cha Republican cha Marekani anaongea hapa kuhusu kutofautiana kwake kisiasa na mkewe Maria Shriver wa chama tawala cha Democratic, na wameachana...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Matukio ya wanajeshi kupiga raia yamekua yakiongezeka kadri siku zinavyosonga mbele bila hatua zozote za kisheria kuchukuliwa dhidi yao. Hapo nyuma waliwahi kupiga wafanyakazi wa dawasco...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
IMESADIKIWA Watu wapatao 120 wenye asili ya Tanzania Bara wamekosa makazi kwa kuchomewa nyumba zao moto katika kijiji cha Pwani, Mchangani Mkoa wa Kaskazini Unguja. Mbali na kuchomewa makazi pia...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
BWANA FETO Philemon, mkazi wa Ubungo Maziwa amekutwa amekufa chooni, nyumbani kwake Maiti hiyo ilikutwa chooni jana majira ya saa 7 mchana wakati alipoingia kwa lengo la kupata haja. Kamanda...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Matukio ya wanajeshi kupiga raia yamekua yakiongezeka kadri siku zinavyosonga mbele bila hatua zozote za kisheria kuchukuliwa dhidi yao. Hapo nyuma waliwahi kupiga wafanyakazi wa dawasco...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mzee Magufuli huu utani wa ujenzi wa mtalo hapa Majumbasita umeuona?
0 Reactions
0 Replies
937 Views
Matukio ya wanajeshi kupiga raia yamekua yakiongezeka kadri siku zinavyosonga mbele bila hatua zozote za kisheria kuchukuliwa dhidi yao. Hapo nyuma waliwahi kupiga wafanyakazi wa dawasco...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Matukio ya wanajeshi kupiga raia yamekua yakiongezeka kadri siku zinavyosonga mbele bila hatua zozote za kisheria kuchukuliwa dhidi yao. Hapo nyuma waliwahi kupiga wafanyakazi wa dawasco...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau wana jf.nimekuwa mpitaji sana humu,ila sikuwa member.nimejiunga rasmi ili nami niweze kuchangia mada+hoja mbalimbali.kwani jf imekuwa ndio kiburudisho changu ninapokuwa nimepumzika.pamoja!
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Kitambi hakikubaliki, lakini king'ang'anizi. Upige tize, ufanye diet bado kina ng'ang'ana. KITAMBI NOMA!!!!!
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Ninaamini hili suala lishajadiliwa hapa, ila sijawahi kuona thread yake. Na pia ninaamini nilitakiwa niliweke kwenye jukwaa la Dini ila bahati mbaya nikifungua naambiwa sina permission ya kuaccess...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Haya huu uongo mwingine wa magharibi, huyu jamaa kwenye video sio Usama Bin Laden kabisa, eti USA wanasema video hii ya Bin Laden waliichukuwa wabla ya kumuua katika nyumba hiyo, Jamani...
0 Reactions
12 Replies
5K Views
Baada ya semina elekezi yaonekana JK sasa ameamua kusawazisha mambo. Wapinzani kaeni chonjo
0 Reactions
13 Replies
2K Views
MCHUNGAJI Ambilikile Masapila 'Babu' wa Samunge wilayani Ngorongoro, Arusha amefikishwa vikombe laki tatu wiki hii tangu kuanza kwa tiba hiyo Oktoba mwaka jana, imefahamika.Habari zilizopatikana...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Hi, wadau naomba munipokee na kunipa ushirikiano kwani mimi ni mgeni kabisa
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mbona traffic ya kwenda uturuki imekuwa kubwa hivyo? au kuna ATM inayotema sana?
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wana JF, siku chache zilizopita nilikuwa nikisikia tangazo "'kinondoni uchafu sasa basi" lakini ninanchokiona hapa ni kinyume na tangazo hili: naona marundo ya taka zinazonuka katika maeneo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom