Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Yu wapi mama Big jamani?
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Haya mambo yanayotokea,kumstopisha magufuli,kuwazodoa mawaziri hazarani wakati JK akitembelea wizara.,migogoro ndani ya jumuiya za CCM,JE NI DALILI YA SERIKALI KUPANIC? Naona kama serikali...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Dar’s new water project risks yet another diplomatic row with Egypt River Nile in Egypt. The $85.1 million Tanzanian project will not be received kindly by Egypt and Sudan. Photo/AFP By...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
WanaJF nimekuwa nikifuatilia mambo mbalimbali tangia ujio wa Babu wa Loliondo. Ufuatiliaji wangu umejikita zaidi juu ya watu wanaoenda kwa Babu. Ni jambo ambalo haliwezi kupingika kwamba makundi...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Jamani nikweli kuwa babu kawasahaulisha watanzania kuhusu dowans, katiba na maandamano?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Sugu tangu uapishwe hatujakuona hapa mbeya au ndo umeshapata, tumekumisi mbeya carnival hatujasahau tulivyokuwa tukishinda sote asubuhi mpaka usiku sasa sijui ndo majukumuu yamekuzidi!!!!!!!!!!
0 Reactions
13 Replies
2K Views
  • Closed
Haya leo tena kutakuwa na kongamano la kitaifa mjini tanga viwanja vya TANGAMANO KUANZIA SAA MBILI ASUBUHI HADI SAA SITA. Mada athari za mfumo kiristo TZ, HARAKATI ZA UHURU TZ, katiba mpya nk...
0 Reactions
31 Replies
3K Views
WASIRA, MKONO NAO WATUA KWA BABU KUPATA KIKOMBE Neville Meena na Mussa Juma, Samunge SAFARI za vigogo wa Serikali kwenda kijijini Samunge, Loliondo kwa Mchungaji Ambilikile Mwasapila...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wakati nikiwa naelekea town hapa Dar niliona Bendera za CCM zikipamba baadhi ya barabara. Mwenye taarifa naomba atujuze. Kulikuwa na maandamano ya CCM au Vikao vya CCM. NB: Japo najuta...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wanajamvi napenda kuwashukuru kwa kuendelea na mapambano nami hata nje na kote naamini kua only people who can think will bring changes at once no matter how we are but we shall reach,je...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
  • Closed
Kuna shutuma kwamba baraza la mitihani ndio chanzo cha waislam kuwa nyuma. ktk mijadala yao mingi hulitaja baraza la mithani kama ni source ya wao kuwa nyuma. wanasema eti sio bahati mbaya kuwa...
0 Reactions
89 Replies
8K Views
Babu Loliondo ajengewa jengo la milioni 100 • Ni mchango wa KKKT, litamwezesha kutibu watu 700 kwa mpigo na Mwandishi wetu...
0 Reactions
67 Replies
7K Views
Furaha ya Rostam kuzimwa? Na Jabir Idrissa - Imechapwa 30 March 2011 SHIRIKA la umeme la taifa (TANESCO) limetupa kete muhimu likilenga kusimamisha ulipaji tozo ya Sh. 94 bilioni kwa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
'Wabunge walipwe mishahara kutokana na profession zao, kama ni mwalimu, alipwe mshahara wa mwalimu.n.k ili atetee vema masilahi ya wananchi'...Dr. Lwaitama. HII IMETULIA SANA
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Hivi karibuni kumezuka maneno mengi,hasa baada ya Mufti kuwaasa waislam wasijiunge na maandamano ya kisiasa.Dr.Slaa akimjibu mufti kwa kuwa chadema ndio inayohusika na maandamano alisema Mufti...
0 Reactions
27 Replies
3K Views
Chukua muda kusoma hii habari ingawa in ndefu (vumilia) halafu utoe maoni inafanana vipi na ile ya Babu wa Loliondo AU inatofautiana vipi George Washington Carver (1864-1943), was an...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamani naomba kuuliza ni nini maana ya viongozi wetu wakubwa hususani maraisi kama Benjamin Mkapa halafu na JK katika hotuba zao za kila mwisho wa mwezi huwa wanavaa mashati meusi je kuna maana...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
President Jakaya Kikwete's government was yesterday challenged to urgently find lasting solutions to the many problems facing the country.The government might find itself facing mass...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
UMRI WA UVCCM NI CHINI YA MIAKA 30?BENO MALISA AMEZALIWA MWAKA 1977 MPAKA LEO ANA MIAKA MINGAPI NA MBONA BADO NI MJUMBE WA UVCCM??NAFIKIRI KUNA SHIDA HAPO,JUMUIA HII YA VIJANA INAONGOZWA NA WAZEE...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wadau nimeshitushwa na utitiri wa magari kwenye msafara wa rais (umenipita mitaa ya Kibamba) bila shaka unaelekea Msoga kwa mapumziko ya week end. Hizi zote ni kodi za watanzania masikini...
0 Reactions
41 Replies
7K Views
Back
Top Bottom