You would think they are twins. The husband of one of them was caught by surprise when the other entered a ceremonial venue. "Oh, my, how come my wife is here without telling me" the husband...
Kutokana na hali ngumu ya maisha Waafrica wengi wanakimbia hali ngumu ya maisha Marekani na kurudi makwao
[URL="http://www.bbc.co.uk/news/world-africa-12810828"
Tunawakaribisha sana. Home...
Muswada wa katiba mpya uliopendekezwa na serikali na hatimaye kujadiliwa na wanaharakati, wanasiasa pamoja na wananchi katika kongamano la pili la katiba iliyoandaliwa na UDASA na kufanyika...
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimelazimika kuahirisha zoezi la utoaji wa fedha kwa familia za marehemu, Ismail Omary na Denis Shirima, waliofariki dunia wakati wa vurugu za Januari...
MODS tunaomba muanzishe jukwaa la vikombe Tanzania.
Maana sasa hivi vikombe vinaibuka kila mkoa, wilaya , kata , mtaa na sasa vitakuwa nyumba kwa nyumba ,
So ikiwa kama issue endelevu inahitaji jukwaa
TAASISI ya Utawala Bora na Maendeleo Tanzania (CEGODETA) imeishauri Serikali kupiga marufuku midahalo inayochangia kukosekana nidhamu na kusababisha uvunjifu wa amani shuleni na vyuoni...
Teknolojia yawatoa ushamba wabunge Send to a friend Tuesday, 05 April 2011 21:27 0diggsdigg
Midraji Ibrahim na Israel Mgussi, Dodoma
UTARATIBU mpya wa kufungua milango kwa kutumia teknolojia ya...
05 April 2011
Mama Sifa Maanya Kabila
Neville Meena na Mussa Juma, Samunge
SASA ni dhahiri kwamba tiba ya magonjwa sugu inayotolewa na Mchungaji Ambilikile Mwasapila, imesambaa na kuvuka...
hello guys!!
naomba mnisaidie kwa hili,ni kawaida(mila na desturi) ukimaliza kula lazima useme asante kwa chakula.
swali ni hili:
Ni yupi anastahili kupewa asante?
aliyepika chakula au aliyenunua...
Kuna habari za kuaminika zasema kwamba baada ya babu wa loliondo kuuza dawa yke kwa sh500 then na watu wengi wakaitikia wito huo na hata kutoka nchi za mataifa kuja tz kunyw kikombe kwa bei ya...
Wana JF hivi Zanzibar ni nchi au mkoa?
Inasemekana kuwa Katiba ya zanzibar inasema zanzibar ni nchi na mipaka yake,
katiba ya Tanzania inasema Zanzibar ni sehemu ya Jamhuri ya Muungano wa...
The liberty of a democracy is not safe if the people tolerate the growth of private power to a point where it comes stronger than their democratic state itself. That, in its essence, is fascism -...
Wana JF, nimekuwa nikitafakari juu ya majengo ya kilichokuwa chuo cha TANESCO kuporwa na kukabidhiwa kwa kikundi cha watu wachache. Ikumbukwe kuwa majengo haya yalikuwa ni mali ya walipakodi wote...
Wa TZ umefika wakati muafaka kuacha UNAFIKI... REGARDLESS OF WHO IS LEADING US.... NYERERE BEWITCHED US... mpango ni CHRISTIANS 10....n...MUSLIMS 10.
HATA KAMA TAIFA LAUZWA... TAKE CARE...
Mwaka huu serikali ya Tanzania inajiandaa kusherekea miaka 50 ya uhuru. Wapo wanaosema bado Tanzania haijafikisha miaka 50 kwani Tanzania ilizaliwa mwaka 1964 hivyo ina miaka 47 tu. Wapo wanaosema...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.