Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Jamani wana JF yametokea mambo mengi bungeni na tumejionea katika vikao vinavyoendelea hivi sasa kati ya wabunge wa CCM na CDM. CCM Inaongoza kwa kuwa na wabunge wengi vilaza kwa utafiti wangu...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
The only way to happiness is to look within you. Here are a few tools that may help you find your way. Be easily amused. People who laugh and smile are happier and usually live longer - than...
0 Reactions
0 Replies
835 Views
Picha hii inaelezea mojawapo tu ya sababu lukuki za kwa nini watu wanaamua kuacha matibabu na kuamua kukimbilia Loliondo kwa matumaini ya kuwa watapona na kuondokana na adha za magonjwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nimekerwa sana na kukatishwa kwa hoja alokuwa anachangia Dave Kafulila na Mbunge mmoja alokuwa akijidai kusahihisha juu ya hoja ya mashirika ya simu za mkononi kutolipa kodi pindi yanapobadilishwa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Sababu 10 za kwenda kwa babu.... Ndugu, Sababu 10 zinazowafanya watu kujazana kwa Babu. 1.Huulizwi ugojwa 2.Hupimwi. 3.Hulazwi. 4.Huandikiwi doz 5.Hupigwi Xray 6.Hufungwi P.O.P 7.Huwekewi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kutokana na wingi wa wageni Loliondo, inaripotiwa kuwa, Idara ya Uhamiaji, imepiga kambi kijijini Samunge ili kupitia nyaraka mbalimbali za wageni wanaoingia. Source...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Ndugu, Sababu 10 zinazowafanya watu kujazana kwa Babu. 1.Huulizwi ugojwa 2.Hupimwi. 3.Hulazwi. 4.Huandikiwi doz 5.Hupigwi Xray 6.Hufungwi P.O.P 7.Huwekewi drip 8.Hupewi miwani 9.Huchomwi...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
any body to soy something on this please?
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Ninaposema mvuto hapa simaanishi wa sura, bali watu ambao jamii kubwa ya Watanzania inawakubali sana kwa kipindi hiki, hawa ni watu ambao wakijitokeza kutoa kauli zao zinaheshimika na kusikilizwa...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Mandela road ime jam, magari yamepigana pini buguruni sheli, trafic aliyekuwa anaongoza magar kala kona, kuna mvua kubwa. Kama unampango wakupita njia hii muda huu, plse tafuta njia nyingine mbadala.
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Ndio bandugu,nategemea mu wazima wa afya na kila mtu kwa nafasi yake anashiriki kwa njia moja au nyingine kuijenga nchi yetu iyojaa kila aina ya mapungu katika dhana nzima ya kimaendeleo.Leo...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Huko mkoani Mara, askari wamemtia nguvuni dereva pamoja, utingo pamoja na mmiliki wa gari moja lililosajiliwa kwa ajili ya kusafirisha mafuta ya gari, Scania yenye "plate" namba T263 BLL (pichani)...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
BAADHI ya wafanyakazi wa Benki ya NBC,Tawi la Corporate jijini Dar es Salaam, wamedai kudhalilishwa na mabosi wao kwa kuvuliwa nguo zote.Wakizungumza na gazeti hili jijini Dar es Salaam jana...
1 Reactions
38 Replies
4K Views
Inasikitisha kuona kuwa mpaka leo hii kabila la Kichagga linawakandamiza wanawake katika familia zao. Wiki iliyopita nilishuhudia familia moja ikimfukuza dada yao ambaye hakubahatika kuolewa na...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
2011-04-06 12:44:20 Data bundle is being processed, SMS confirmation will be received, don't re-send SMS/Ununuzi unafanyiwa kazi, utapokea SMS kuthibitisha, Usitume tena SMS. You have depleted...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Je ni kitu gani ungependa kiwepo ktk Katiba mpya? Sikiliza maoni yafuatayo: WAFANYAKAZI: PAYE isiwepo kwenye mishahara. DEREVA: traffic wasiwepo barabarani. MWANAFUNZI: hesabu zifutwe...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Yule mwanaharakati maarufu kwa kunusa mkando wa ulaji, Said mwaipopo,alikuwepo radio wapo leo, katika kipindi cha meza ya busara, pamoja na wenzake wawili akinadi mazumuni ya kundi lao. Kwamba ni...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Sharing is caring...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Jamani niko mlimani UDSM nasikia milipuko kama yanatokea downtown dar es salaam. Je kuna yeyote anayasikia pia? Kuna nini?
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Back
Top Bottom