Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Hii mitambo iwashwe au isiwashwe? Na kwa nini?
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Kuna ndugu yangu kaibiwa kaenda polisi(osterbay) kufungua file wamemtoza shillingi elfu 30 ya kufungulia file police watatu kumkamata mualifu akatoa elfu 60, na akalipia na tax shilingi elfu 25 na...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Ilikua leo ndo mara ya kwanza kutumia daladala baada ya ongezeko la nauli zilizotangazwa na SUMATRA kwa jiji la dar es salaam. kwa kweli nimejisikia kuumia sana kwa sababu kwa mizunguko kadhaa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
He is left-handed – the sixth post-war president to be left-handed • He has read every Harry Potter book • He owns a set of red boxing gloves autographed by Muhammad Ali • He worked in...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Mamia ya watu wameendelea kumiminika Loliondo kufuata dawa ya babu mchungaji mstaafu Ambilikile Mwasapile ambazo zinadaiwa kutibu magojwa sugu, wakati huo huo orijino komedi nao hawajakaa nyuma...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Ni nchi maskin lkn madeni lukuki wananchi hoi hakuna tumaini la kesho
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Napenda sana chakula cha wachina but tabia yao hii inanishinda Nimekuwa nikienda kwenye hotel zao mara kadhaa kupata kitu roho inapenda but Karibu mara mbili sasa nimeshindwa kula chakula...
0 Reactions
19 Replies
5K Views
Kiukweli binafsi sioni cha maana alichofanya muongoza nchi wetu(rais) tangu atinge ikulu zaidi ya kuonesha udhaifu katika utendaji wake. Nnavyojua mimi ni kwamba kiongozi lazima awe na vifu...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
ALLY Salum [48] anayedaiwa kuwa fundi ujenzi mkazi wa Yombo Buza, amekufa baada ya kujinyonga kwa kutumia kamba ya mkonge kutokana na kuzidiwa na wivu wa mapenzi . Kamanda wa Polisi Mkoa wa...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
kulikua na watu wanne waitwao Kila mtu, Mtu, Mtu na Hakuna mtu. Kulikuwa na kazi muhimu kufanywa na kila mtu alikuwa na uhakika kila mtu angeweza kufanya kazi hiyo. Kila mtu angefanya kazi hiyo...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
A forceful speaker, given to fiery phrases, he is fluent in both English and Swahili. in 1963 his translation of Shakespeare's Julius Caesar into Swahili was published in Dar Es Salaam. He was a...
0 Reactions
37 Replies
5K Views
Nchi zilizoendela kwa kutegemea msaada wa nguvu za Nyuklia ziko hatarini kurudi nyuma kimaendeleo na hata kuhatarisha Afya za raia wao baada ya kugundua kuwa Mitambo yao haiko salama kutokana na...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Jamani nguvu ya umma imeanza kuzaa matunda kwani kiwanda cha kilombero kupitia kampuni ya ilovo dar imetangaza sukari itakua sh 1500 kg.source nipashe leo
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Mmiliki wa Richmond
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Maswali rahisi kwa TANESCO au TUICO – TANESCO. Nini tafsiri ya kina ya Tamko la Viongozi wao wa TUICO:-- 1. Kusema kuwa wao hawatalipa Dowans isipokuwa Dowans ilipwe na Serikali: Je...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
dawa ya mafisadi ni kuchukua sheria mkononi kama tunavyofanya kwa vibaka , tukiwaona mtaani tu tunawagawana kama wanavyodawana mali zetu watahacha tu hakuna mtu hasiye ogopa kifo kuliko kumsubilia...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Katika jitihada za kuiipa CCM uhai mpya kuna tetesi kwamba chama hicho kiko mbioni kufanya mabadiriko makubwa katika safu yake ya watendaji wakuu na baadhi ya viongozi waandamizi.Hata hivyo...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hamjambooo? ndio nimetoka jela hivi punde baada ya kusota muda mrefu kwa kufungiwa na Modereta mpaka nimeupata ugonjwa wa Kisukari! nimesikia kuna BABU huko Loliondo anatibu hivyo naenda huko...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
:angry:WANAJAMII kipi hasa ni cheo cha Babu? 1. aITWE nabii? mtume? Mchungaji? Tabibu? mganga? mnajimu? 2. Musa alikuwahi kukutana wa wachawi MISRI wakamrushia nyoka wa kichawi naye mungu...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Back
Top Bottom