Afisa mwandamizi wa Ubalozi wa Tanzania nchini Japani , Bw. Francis Mussongo ametoa wito maalum kwa watanzania wanaoishi nchini Japani kuchukua tahadhari kufuatia habari za kuvuja kwa mnunurisho...
SHULE ya Msingi Bunge ya jijini Dar es salam, imeingia kwenye kashfa baada ya mwalimu mmoja shuleni hapo kuwaadhibu wanafunzi kwa waya wa transfoma.
Taarifa kutoka shuleni hapo ilisema kuwa...
nimegundua mtu au taasisi fulani zinaweza kunyima uhuru wa mtu kwa kulinda maslai yake au yao...kabla ya kumlaumu mtu,watu au taasisi fulani kwa kuwa wabinafsi tujiangalie sisi kwanza....tusiwe...
Kutokana na milipuko ya vinu vya nyuklia huko japan,nashauri kuwa waangalifu juu ununuzi wa magari mitumba hapo baadae kwani kuna uwezekano kuwa yakawa yame ingiwa na mionzi iliyovuja ya nyuklia...
Follow the link to see the damage caused by tsunami.
å®ææ¥æ¬å¼ºéæµ·å¸åå¤§æ²æ æ¶å» - å®ææ¥æ¬å®«åå¿å°éå æµ·å¸åçåå¸ - è§é¢ - ä¼é ·è§é¢ - å¨çº¿è§ç
wadau naomba kufahamishwa...
juzi nlipata sms katika line ya TIGO lkn ikisifia ZANTEL na jana katika line ya ZANTEL ikisifia AIRTELL...
katika kesi zote mbili sms imetumwa na sender ambaye...
Nimeguswa na huyu mzee kwa kweli huduma yake ni ya kimungu.
Mungu amzidishie hii cooporate responsibility yake ni zaidi, ina utu mkubwa ndani yake zaidi.
Wito
Viongozi wetu igeni mfano, ukianza...
Hivi ni nini kilichoisibu hii club, iko on the way to Rainbow club kwenye ile barabara ya lami inayotoka Tangi bovu kuelekea baharini. Walikuwaga wanachoma kuku vizuri, majuzi nilipita hapo...
Mda huu inasemekana JK anatembelea wizara ya fedh@ kuna tetesi kwamba watumishi woote wanalazimishwa waende wakajipange mstari ili kumlaki, inasemekana hata kama kulikuwa na ishu nyeti inaendelea...
Mchakato wa tuzo za waandisho bora kwa makundi tofauti na mwandishi bora wa jumla umeanza.Hivi sasa tuzo ya mwandishi bora kwa mwaka 2009 inashikiliwa na JERRY MURO wa TBC1
Soma hii habari chini...
KWA BABU KUNAPATIKANA AJIRA KIBAO.UONGOZI WA KKT MKOA UMENTEUA KUTATUA TATIZO LA AJIRA LINALOWAKUMBA WATANZANIA KWA KUFANYA USAILI WA WATAKAOITAJI KAZI ZIFUATAZO
==KUOSHA VIKOMBE
==KUOKOTA...
ktk jamii zote duniani tunaamini uwepo wa mizimu na madhara yake iwapo mzimu huo utakuwa na ujumbe wa kutoa na usisikilizwe. ndipo, kwa dalili zinazojitokeza wahusika huenda kwa wajuzi wakajuzwa...
Wakazi wa Kimara,Mbezi Louis,Tegeta,Goba,Madale nk daraja la makongo juu hadi goba stendi ni kiungo muhimu sana hasa kupunguza makali ya foleni kwenye barabara kubwa hasa MOROGORO ROAD na ALI...
Hali inaelekea kuchafuka hapa Singida mjini kutokana na muhadhara ambao umeanza tangu majira ya saa nne asubuhi na hutuba kutolewa na Mashekhe na Maimamu maarufu kutoka ZNZ na DSM.
Katika...
Katika makada wote wa chama, waliokuwa karibu na Baba wataifa, kuanzi enzi za TANU hata CCM, mzee Ngombale Mwiru ndiye alikuwa akionekana machoni mwa watu wengi, kuwa ni mjamaa wa kweli kwa kauli...
Wadau naomba nilifikishe kwenu hili.
Juzi nilikata tiketi ya basi kuelekea Mbeya, mimi sikuwahi kufika huko kabla, pamoja na kutokuwa na uzoefu na gari za Mbeya, sikupata tabu sana, nikafika...
Wanandugu nimesikia mtoto wa kiranja mkuu a.k.a mtoto wa mkulima anasoma St.Consta' Arusha,shule ya 17million per year wakati mkulu huyo alisema account yake ina 20million tu.
Naomba kuwakilisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.