Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Ardhi (Aru), jijini Dar es Salaam, jana walianza mgomo wa kuingia madarasani, huku jitihada za serikali Wilaya ya Kinondoni na utawala wa chuo hicho zikishindwa...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
VITUO VINGI VYA MAFUTA VINAJENGWA MISIKITI PEMBENI,NIMEFUATILIA KARIBU MWAKA SASA. MFANO, kITUO CHA MAFUTA CHA UBUNGO MATAA, VITUO VINGI KANDO KANDO YA MOROGORO ROAD HADI MOROGORO, NA VINGINE NJIA...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Wana JF naomba data za huyu Profesa kamazima, is he a good person or where is he actually
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Hapy bethidei tu yu..hapy bethidei tu yu... Hapi bethidei dia jizaaaaz.....hapiii beeethide tu yuuuuu! Tarehe 25 mwezi wa 12 mwaka wa kwanza katika mji we bethlehem bi maria alimzaa yesu. Mery x...
0 Reactions
32 Replies
4K Views
Whats up gud pipo, am new hia japo nimekuwa nikisoma posts zenu sana , mawazo yenu yamenikuza na kuipanua akikili yangu.plz naombeni ushirikiano wenu. Baada ya utambulisho,ninaomba msaada...
0 Reactions
24 Replies
2K Views
Siye tushafika . Miye na kimei tuko hoi leo chai ilikuwa mbege mbuzi kwenda mbele karibuni jf, x mas iko huku!
0 Reactions
22 Replies
2K Views
Hivi majuzi tuliletewa habari nzuri juu ya kuanzishwa kwa weeklink Tanzania itakayotoa fursa ya kuweka wazi maovu yote katika jamii ya watanzania. Nauliza hiyo weeklink imepotelea wapi, au ni ya...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Tangu Noni ateuliwe kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa TIB benki hiyo imekuwa inategewa fedha za kutosha kwenye bajeti. Katika bajeti ya mwaka huu ilitengewa fedha eti za kukopesha kwaajili ya kilimo...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
WanaJF wafuatao: Reverend Masanilo, Buchanan, October...... Kwanza, Wana akili sana na michango yao inatija sana kwa Taifa hili, of course bila michango hapa JF ingelala sana Pili, wanawapenda...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ni kweli kwamba X-mas inahusishwa na mambo ya kipagani (sex orgy), ila Chrismas inahusu kuzaliwa kwa masihi Yesu Kristo. So beware..wanaosherehekea X-mas leo ucku wamebook nyumba za wenyeji, yaani...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
SMZ INAJUA UBAGUZI HUU KATIKA SKULI YA GLORIA? Niliwahi kutembelea skuli (shule) moja huko Zanzibar inayojulikana kama Gloria ambayo nasikia wamiliki wake ni watu kutoka Uganda. Cha ajabu katika...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
jamani katika watoto wa kwanza wa Rais mbona huyu Miraji sio maarufu hivi amesoma kweli na anafanya nini kwa sasa??
0 Reactions
35 Replies
11K Views
Hivi nijuzeni jamani... Ni lazima kabisa kufika kanisani au kusali kanisani huku Moyo wako ukiwa mbali na Ibada? Maanake hii mi naona kama unadanganya vile, Moyo ukiwa katika Ibada hapo...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
China Christians celebrate Christmas against the odds in China Like other Christians around the world, Zhang Fei celebrated Christmas Day in traditional fashion...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Mapanki ya Mwanza sasa yatua Feri Dar Saturday, 25 December 2010 21:26 Salim Said SOKO Kuu la samaki Feri jijini Dar es Salaam, limeanza kupoteza...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
- Wana-JF wote na ndugu zangu wote wa-Tanzania nawatakiwa heri ya Kristmas na Mwaka mpya wa 2011, Mungu atujalie uwe mwaka wa neema zaidi na mafanikio kuliko yote iliyopita. Tuendelee kuelimishana...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
BODI ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESBL), imesema kuwa itatoa mikopo kwa wanafunzi wenye udahili ulioidhinishwa na Kamisheni ya Vyuo Vikuu (TCU) kwa kushirikiana na Baraza la Taifa la...
0 Reactions
1 Replies
5K Views
Waziri Nundu aipa Sumatra siku 7 kuitema Majembe Imeandikwa na Mwandishi Wetu; Tarehe: 24th December 2010 @ 23:30 KILIO cha Wamiliki wa mabasi yanayofanya safari zake jijini Dar es Salaam na...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Kwenye gazeti la leo la Mtanzania tunahabarishwa ya kuwa Waziri wa Miundo Mbinu Mhe. Magufuli ameahidi kuanzisha tena bomoa boma kwenye hifadhi ya barabara kuu kote nchini na ya kuwa siasa...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Jamani kwa wenyeji au mliofika Bagamoyo nisaidieni; Nina jamaa yangu anakuja mapumziko nyumbani, amesikia habari za Bagamoyo na angependa kufikia huko kwa wiki! Ameniomba ushauri wa Hoteli nzuri...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Back
Top Bottom