Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
28th December 2010 B-pepe Chapa Maoni Askari wanne wa Gereza la Lilungu lililopo mkoani hapa, wamefikishwa mahakamani kujibu tuhuma za mauaji ya mfungwa. Watuhumiwa hao walifikishwa katika...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
MKAZI wa Vingunguti, Rajab Paulo (35) aliyekuwa akishitakiwa kwa kosa la kuendesha gari kwa uzembe, amefutiwa mashitaka hayo na kufunguliwa shitaka la kumuua mkewe katika Mahakama ya Wilaya ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
MWANAMKE mkazi wa Mtaa wa Maili 18 eneo la Mkundi, Kata ya Lukombe katika Manispaa ya Morogoro, Bahati Emmanuel (28), ameibiwa mwanawe mchanga wa kike na msichana asiyemfahamu vyema katika...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
MKAZI wa Kijiji cha Iyula wilayani Mbozi mkoani Mbeya, Padri Msyalika (50), anashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani hapa kwa tuhuma za kumuua mkewe kwa kumpiga na kitu butu kichwani kisha kuutupa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
WANANCHI wa Kijiji cha Nyamililo katika Kata ya Kasungamile Tarafa ya Katunguru wilayani Sengerema mkoani Mwanza, wamekamata bunduki moja aina ya SMG pamoja na risasi 20, baada ya kupambana na...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Inaboa sana kila ukiingia kwenye web hii wana Jf mnajadili udini, NAJUTAA HATA KWA NINI NILIJIUNGA. Badilikeni na muanze kutafakari jinsi ya kuikwamua Tanzania kutoka kwenye umaskini uliotukuka.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
WANAFUNZI wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) wametishia kugoma kuingia darasani, wakati wowote ili kuishinikiza Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu Nchini (HESLB), kuwapatia mikopo. UDSM...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
HATIMAYE sakata la walimu 12 wa Shule ya Msingi Chindi iliyoko wilayani Mbozi kuacha kazi kwa madai ya hofu ya kufanyiwa ushirikina limechukua sura mpya, baada ya mkuu wa wilaya hiyo, Gabriel...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
MTENDAJI wa kijiji cha Nyamililo wilayani Sengerema mkoani Mwanza, Charles Lushibika (48), na wenzake watatu wanashikiliwa na Jeshi la Polisikwa tuhuma za kishirikina na majambazi. Akizungumza...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
BODI ya Mikopo ya Wanafunzi wa Vyuo vya Elimu ya Juu (HESLB) imesema haitoongeza kiwango cha mikopo hata wanafunzi wakiandamana kwenye ofisi zake. Msemaji wa bodi hiyo, Veneranda Malima, alisema...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
naonaga watu walio online namba ya wasio members kubwa kuliko ya walio memba mara nyingi ni over *10, sasa why wanapewa ruhusa kwenye mengi kama list ya public forum iejaa kila kitu mie naona...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
'''''9
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jana nimesikiliza radio ya Kiislamu ,ambapo mtaalamu wa mambo ya dini ya Kiislamu alikuwa anaelezea jinsi ya Kadhi Mkuu atakavyopatikana,amesema masheikh watakaa na kumpendekeza mtu watakaye muona...
0 Reactions
206 Replies
17K Views
Lawmaker faults council over 50m/- spent on civil servant`s house repair By Correspondent 27th December 2010 Kibiti Member of Parliament (MP) Abdul Marombwa has expressed...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
WAKATI mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi (CHADEMA), akianza kazi katika mazingira magumu, baada ya kukabidhiwa ofisi isiyo na samani, juzi aligeuka kivutio kutokana na uamuzi wake wa kwenda...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
http://www.youtube.com/dambisamoyo#p/f/0/dyf2Cf5GkTY
0 Reactions
0 Replies
1K Views
janani maandamano yana anzia wapi asubuhi hii kwa sababu nikikosa kwenye maandamano sitakuwa mwana harakati tosha yataanzia makao makuu ya ofic za chadema au ni wapi'? Ni vyema nikajua ili...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Leonardo da Vinci Leonardo da Vinci Leonardo Da Vinci (15 Aprili 1452 – 2 Mei 1519) alikuwa mtu...
1 Reactions
13 Replies
7K Views
muheshimiwa halima mdee tunakuomba kutembelea barabara yetu ya africana mpaka salasala tunateseka sana na ukizingatia jana mvua ilinyesha sana tumeshindwa hata kupita shida tupu tufanyie mchakato...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Anti-Daily-News-Tanzania
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Back
Top Bottom