Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Kwa sasa viongozi mbalimbali wanawasili,dr Bilal ameshaingia.
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Wanabodi, mtaniwia radhi kwa heading kali niliyotumia ila kwa mtazamo wangu ni kwamba sisi kama Taifa tumeikimbilia LAANA badala ya NEEMA kutokana na hulka yetu sisi WATANZANIA. Nikivuta...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Shamsi Vuai Nahodha, amewatoa hofu wanahabari na wananchi kwa ujumla kwa kile anachohisiwa kuwa hataweza kuongoza wizara hiyo kwa kuwa anaonekana ni mpole...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
KATIKA hali ya kushangaza ambayo watu wengi hawakuweza kuamini macho yao ni pale kijana mmoja wa milima ya usambaa kumkunja shati muuza duka baada ya kurudishiwa chenji ambayo hakuitarajia. Hayo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Katika Gereza la Malya amepatikana mfungwa mwenye jinsia mbili, ana kifungo cha miaka 30, kwa wizi wa mtambo wa kubaini almasi. Awali alifungwa kama mwanaume, lkn baadae ikaonekana zote mbili...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
WAZIRI wa Elimu na Mfunzo ya Ufundi, Dk Shukuru Kawambwa ameiagiza Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu kubadilisha mfumo wa utoaji mikopo kwa sababu mfumo uliopo unawanufaisha watoto wa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
WANA JAMII Tuna utafsirije kwa Mtanzania?, kiuchumi,kimaisha na kimaendeleo?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Naomba anaefahamu website ya Ubalozi wa Tanzania nchini India anipatie link hiyo. Ahsanteni..
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Natoa pongezi nyingi za dhati kwa wewe mzalendo wa kweli. mapambano ya UFISADI yaendelee hata kama kuna mbinu za kukunyamazisha. Hivi hawa mafisadi wanaona kila mtanzania ni mjinga? It is enough...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Mkurugenzi wa Sumry azungumza Wednesday, 08 December 2010 19:27 newsroom NA MWANDISHI WETU MKURUGENZI wa Kampuni ya...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Mvua imenyesha hivi punde, barabara nyingi tayari zimeshajaa maji.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
By ANNE ROBI, 8th December 2010 @ 12:00, Total Comments: 0, Hits: 116 THE Association of Petty Traders in Dar es Salaam Region has issued a 10 -day ultimatum to petty traders who have not...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Mufti wa Tanzania, Sheikh Mkuu, Issa bin Shaaban Simba, amesema wameiandikia serikali barua kuomba siku ya Mwaka Mpya wa Kiislamu kuwamo katika orodha ya sikukuu zinazotambuliwa kuwa ni siku rasmi...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Just recently we launched our official website here Our Official Website. Since it's only about 1 week old, we believe there may be chances to make it better through your comments and suggestions...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
wanajamii naomba kujua hivi mtu anakuwa kikojozi kutokana na nini maana kuna watu wana tabia ya kukojoa vitandani hasa watoto kuanzia udogo mpaka level ya primary ama secondary school bahati mbaya...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
UTOKANA na mgao wa umeme unaoendelea hivi sasa, Wizara ya nishati imechukua uamuzi wa kuhamisha transifoma kutoka Chalinze ili ije itumike jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kupunguza makali ya...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Mteja bill yako ya nov 2010 a/c 00000000 ni 34,000 unadaiwa jumla ya sh 84,000 tafdhali lipa deni lako dawasco kupitia nmb;acb####### jamani embu tuambieni wapendwa nina miezi 3 wamekata maji na...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
WAZIRI mpya wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta, ambaye ni mjumbe wa Baraza la Mawaziri, amesema hatua yoyote ya kulipa fidia ya Sh 185 bilioni kwa kampuni ya Dowans, ni kuhujumu uchumi wa nchi...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Napenda kuwaalika wana Jamii Forums wote kufika kwa ajili ya mishikaki na nyama choma siku ya tarehe 09.12.2010. Siku hiyo tutaweza kujumuika kama Forum na kufahamiana. Nawakaribisha sana.
0 Reactions
160 Replies
12K Views
Nafikiri huu mgawo ni wamakusudi, uchaguzi umekaa miezi mitatu bila mgawo?? SASA mgawo ni deal la watu wachache kama watz hatutabadilika, Kwa kweli bora uzamie ulaya ukawe mfagiaji. Utapunguza...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom