Nafikiri serikari yetu imeshindwa kuendesha inchi kama sio wameshaiuza maana umeme wanavyoukata utadhani dozi ya panadol kutwa mara tatu,
hivi hawa TANESCO wanalipia mabilioni ya fedha kwa...
The Rolling Stones said it best, You, you make a dead man cum. A 38 year old female mortuary worker is being held on $250,000 bond after becoming pregnant by one of her clients-a dead man...
Let's discuss this topic appeared in the East African
The way the linguistic situation in Tanzania is represented needs to be corrected. There are a number of languages in Tanzania that have...
JESHI la Polisi nchini, linamsaka mwalimu wa Shule ya Msingi Ziwani, Haule Karudijina, kwa kosa la kumbaka na kumtia mimba binti yake wa miaka 15.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mtwara, Steven Buyuya...
Matumizi ya fedha zinazotolewa na serikali kuhudumia ofisi za wabunge majimboni yameonekana kugubikwa na harufu ya ufisadi kutokana na baadhi ya ofisi hizo kutengewa fedha, lakini hazikununua mali...
APPLICATION FEE IN SCHOLARSHIP APPLICATION
Application Fee
The Scholarship application process is very expensive. The entire process requires a lot of resources like financial resources...
Kanisa lawatosa waumini wengine 17
Imeandikwa na Peti Siyame, Sumbawanga;
Tarehe: 7th December 2010
KANISA Katoliki la Kristu Mfalme mjini Sumbawanga mkoani Rukwa, limeendelea kuwaadhibu...
MWANAMKE aliyekutwa na aibu ya kumfumania mume wake na msichana wa kazi, amejikuta akirudi nyumbani kwake baada ya kupata ushauri kutoka kwa watu mbalimbali lakini amejitenga na mume wake huyo kwa...
Ni muda mrefu sana nimekuwa nikijiuliza kwanini migogoro mingi inaikumba Bara la Africa na Asia kwa sana, watu kuuana na wengine kuachwa vilema kwa vita vya kila siku.Ukiangalia Asia kama...
Sikuhizi, hawa matx wandani wamekuwa taabu sana kupatikana.
Ugumu wakupatikana kwao nikama biashara ya kumtafuta mchumba.
Naomba nisaidiwe kupata house girl aliyetulia... Nielekezwe tu mie...
Monday, 06 December 2010 08:41
Steven William, Muheza
MWANAUME mmoja ambaye ni mkulima, Selemani Abdallah miaka 47 amejeruhiwa sehemu zake za siri baada ya kung'atwa korodani na mke...
I have stumbled upon these articles and thought worth sharing.
Got a few more in the garage for any other aficionados out there.
And here, a report from an ongoing project in the...
I have been asking myself this question. So I wanted JF great thinkers to help me with concrete answers. You know countries with poverty minded leaders like ours have been dancing to the tunes of...
Abdallah sumry aliyekua mbunge sumbawanga amekamatwa kwa wizi wa gari la serikali!jamani hawa CHUKUA CHAKO MAPEMA mbona ni hatari sana yani hata kumkaribisha mwana CCM home kwako anaweza ondoka na...
KATIKA kampeni zilizopita kila mgombea aliweka ahadi zake kuwa kama angepewa ridhaa na wananchi angefanya nini katika kuwaondolea kero zinazowakabili.
Hatimaye kampeni zilimalizika na uchaguzi...
Bomani: Dowans sasa imetugharimu
Ataka mitambo ya Dowans ibakishwe nchini
MWANASHERIA Mkuu wa kwanza mzalendo, Jaji Mark Bomani amesema hukumu ya Mahakama ya Kimataifa ya Usuluhishi wa Migogoro...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.