Habari wana jamii.
Tafadhali mwana jamii yeyote anayejuwa principles governing social security (example NSSF) here in Tanzania including references.
Please its urgent.
Thanks in advance
Yah
Leo asubuhi kipindi cha "Power Breakfast" kimeongelea kuhusu mgao wa umeme na kutopatikana kwa LUKU kwa "lugha kali sana" na natumaini Wakuu wa TANESCO ujumbe umewafikia!
Asante sana Clouds...
Wanabodi kuna hii habari nimeiona kwenye website ya watanzania waishio Denmark sijui kama kuna yeyote anafununu ya nini kilitokea soma hii habari
Watu waliojaribu kufuatilia PCCB wameumizwa...
Kamanda Nkulila auawa kwa mapanga
na Stella Ibengwe, Shinyanga
KUNDI la watu wanaosadikiwa kuwa majambazi wamevamia nyumbani kwa aliyekuwa mkuu wa kituo cha polisi cha uwanja wa ndege jijini...
Mrema wa TANROADS bado aendelea na majukumu
na Mwandishi wetu
WAFANYAKAZI wa Wakala wa Barabara Nchini wamestushwa na kitendo cha Mtendaji Mkuu wa Wakala huo, Ephraim Mrema, kuamua kutangaza...
The White House says President Barack Obama has received 12 stitches in his lip after being hit during a pick up basketball game. White House press secretary Robert Gibbs says the president was...
" The Pope quickly added, in the interview, that condom use cannot be regarded as "a real or moral solution."
Pope did not attach great significance to his choice of a male rather than female...
Sijawasoma hawa siku nyingi sana:
1.bubu ataka kusema
2.sipo
3.Original Pastor
4.lole gwakisa na wengineo mwaweza ongeza
5.
6.
7.
8.
Mu wapi??? Kimya kimezidi !!!!!!
GreaTtHinkerS!!!
Nimeangalia Kusini nikaona MBEYA kuna chuo MIST kinatoa degree.
Nimetazama kanda ya kati hasa Dom naona UDOM,Chuo cha Mipango,CBE, Chuo cha maMdini nacho kinakuja.
Ukienda...
Nimeona mahali fulani watu wanalalamika,eti nyumba ya sanaa(Nyerere cultural centre) inavunjwa.ni ile iliyo makutano ya Ohio na Mwinyi road inavunjwa,hivi kuna mwenye hizi habari?Kama ni...
Wana JF nimekuwa najaribu kusubiri nisikie majibu ya uchunguzi unaofanywa na PCCB na Jeshi la polisi kuhusiana na matamshi ya Mengi kuwataja Viongozi katika sekta ya usalama wa nchi yetu na watu...
Kuna mwanafunzi jina kapuni alichaguliwa kwenda Zanzibar university na TCU baadae jamaa wa zenji wakasema wanafunzi wamekuwa wengi so waca cancel majina kibao na kuwaludishia TCU.
TCU wakafanya...
Gazeti la Mwananchi leo (26/11/2010) limeweka picha ya mapokezi ya Waziri Mkuu Arusha Airport. Picha hiyo pamoja na wengine inawaonyesha Mbunge wa Arusha Mjini Mh. Godbless Lema na aliyekuwa...
Mzee wa shamba
Baada ya mduao huo Ben Roja akabaki akijiuliza maswali mengi yaliyokosa majibu, maswali ambayo yalikuwa yakijiumba na kusambaa ubongoni mithili ya kiumbe chenye uhai...
wana jamvi wasalaam! leo nimeona nitoe dukudukulangu juu ya matumizi ya title Dr,nadhani tumeshuhudia watu wengi wakitumia jina hili bila kuwa na sifa stahili.mfano Dr Manyaunyau,Dr Ndodi,Dr...
Wana JF nimekuwa najaribu kusubiri nisikie majibu ya uchunguzi unaofanywa na PCCB na Jeshi la polisi kuhusiana na matamshi ya Mengi kuwataja Viongozi katika sekta ya usalama wa nchi yetu na watu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.