Wana Jamii
Kwa uelewa wangu, na ufuatiliaji, NACHELEA KUSEMA KUWA vita na Uganda, Tanzania ilikuwa haina UWEZO wa kuishinda Uganda kama tunavyosema.
Kama Watanzania tunavyodai kuwa Jeshi letu...
Ndugu wana jf ni vizuri tukajuwa hisia zetu juu ya jamii forum,kwani kwangu mimi jamii forum ni kila kitu,huwa nahisi nipo nyumbani morogoro kihonda kwa chambo, na kwa kweli nilihisi kufa baada ya...
Kweli bongo bado tuko nyuma kwenye customer care and follow up. Hili li modem la KIHINDI LA AIRTEL toka jana usiku ukiconnect ukafungua page tu linajidisconnect. MODEM yenyewe nilinunua airport...
Kuna hali inayoendelea hivi sasa katika baadhi ya vituo vya kujazia mafuta kwenda sambamba na huduma za ki-Imani.
Katika uchunguzi binafsi, imebainika kuwa katika vituo vingi vinavyomilikiwa na...
Sumiati Binti Sala Mustapa akiwa katika hospitali ya Mfalme Fahdi mjini Madina alipolazwa.
MFANYAKAZI wa ndani raia wa Indonesia, aliyekuwa akifanya kazi katika nyumba moja nchini Saudi Arabia...
ndugu wana jamvi
miezi miwili iliyopita mtoto wa mengi alitaka kubambikiwa madawa ya kulevya na baadhi ya wakuu wa polisi hapa tz,na mzee mengi aliwataja kwa majina wahusika na akawaeleza kama...
nahisi tunaitaji sasa na sie tuwe wasafi kwa hili
serikali ya rwanda imepiga marufuku mtu yoyote atakaeingia na mfuko wa plastick kuchanwa chanwa ama kuchukuliwa mzigo wake na hili ni ktkt kuweka...
ni aje hommiez! Mara nyingi najaribu kuangalia sayansi na teknolojia katika nchi yetu. Ni kweli serikali inahimiza au kuchochea mpango mzima wa sayansi na teknolojia kwa watuwe lakini bado sijajua...
Nimekuwa nikifatilia watu waliojiunga na "Dr. Wilbroad Slaa facebook page"..
Dr. Willibrord Slaa | Facebook
Wakati wa harakati za kuanza kampeni, page hii ilianzishwa na nilibahatika kupewa...
nimenunua laptop kupitia ebay nataka kuituma ije tanzania, nimewahi kununua vitu vidogovidogo, simu, vitabu, cd na shirts, vingine vilifika vingine viliibwa na posta lakini havikua vitu vya...
Nimekuwa nikiangalia ITV taarifa za habari, karibu kila siku naona taarifa za watu waliopotea. Watu hawa huwa ni watoto na watu wazima. Je kuna taarifa zozote kuwa hawa watu wamepatikana? Hawa...
Wakuu kwa kitendo cha jeykey kumchagua Dr. Shukuru Kawambwa kuwa waziri wa elimu naona hakikuzingatia uwezo wa huyu jamaa. Kama kwenye wizara aliyokuwa nayo kipindi kilichopita tulishudia kuyumba...
10. Effect of the gut
Aloe Vera has a wonderfully beneficial action on bowel function, which results in smooth and efficient transit of contents, often eradicating inconvenient colicky pain...
Wanajamvi!
Nataka kufungua duka la dawa za binadamu naomba msaada jinsi ya kupata vibali maana nasikia kupata kibali ni ishu..rahisi kupata kibali cha kuuza kitimoto pakistan kuliko cha kuuza dawa...
Nywele zina majina mengi, mara nywele za kichwa, za kwapani, za machoni n.k
Lakini kweli jamani, to be honest,, nini kazi ya ndevu? nimesahau kidogo Biology yangu naombeni mnisaidie, mie ninazo...
Wakuu hivi majuzi niliwahi kuandika thread humu kuelezea bei ya mafuta Kasulu wengi walishangaa sasa nadhani hii ndio kiboko bei ya mafuta huko sumbawanga ni shilingi 4000-5000. Je, tunakwenda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.