Nlitokea Jangwani kwenda Magomeni juzi tarehe 17/8/10 mchana na kujaribu kuingia barabara ya kulia bondeni hapo Magomen Mapipa karibu na kwa Macheni bila kuona alama inayozuia. Kutaharuki...
Mara nyingi ninapokuwa na hoja tofauti kidogo na wanajamii wengi au ninapotofautiana mtazamo hupenda kushirikisha watu - ili kujua mtazamo wao ni upi hasa.
Na leo ningependa niwashirikishe...
why did nyerere supported pan africanism and at the same time Biafra? Why did nyerere opposed south african capital and at the same time allowed debeers into our diamond?
Jamani Zitto...
Kuna tatizo katika uwezo wa watu wetu kujenga hoja zenye mantiki. Nadhani ipo haja ya kutoa semina ya bure tu juu ya Effective Arguing or something similar kwa sababu wakati mwingine...
Habari zenu wakuu.Natumaini wote tumeamka salama,kwa wale wenye matatizo poleni sana ndio mitihani yenyewe hiyo.
Naamini wengi tutakuwa tuliona post iliyokuwa inasema something like 'how i made...
Jamani mi nina mdogo wangu anataka kwenda chuo cha CBM(COLLAGE OF BUSSINES AND MANAGEMENT).kipo dar es salaam.naomba mnisaidie kupata namba pamoja na website yao kwa wanaoijua plz
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano, Anne Semamba Makinda
Baada ya jina la Waziri Mkuu kusomwa na Spika, Mwanasheria Mkuu wa serikali alipewa nafasi ya kutoa hoja au kuongea; Mheshimiwa Tundu...
Rushwa ya barabarani ni wastani wa milioni 900 kwa mwaka
Pesa hii inaweza kusomesha watoto 4,500, kununua mifuko
13,000 ya mbolea, na mabati ya nyumba 2,500.
Rushwa imekithiri sana katika...
Ndio yawezekana kabisa kuingiza zaidi ya kiasi hicho kwa mwezi,
Je ungependa kujua ni jinsi gani hilo lawezekana?
Ikiwa wataka kujua click hapa,
Karibu sana.
Wengi mtakubaliana nami kuwa kwa sasa sio humu JF peke yake hata maofisini, nyumbani, vyuoni n.k. tumekuwa na ushabiki mwingi wa kisiasa na kutambiana kuwa chama flani kimeshinda bila kuangalia...
Jamani tunatakiwa tutambue hivi, CCM ni wajanja, na wanajua kabisa kuna watu ambao wakikamata
akili zao na maisha yao, itawapa kufanikiwa ktk kuendelea kumtawala Tanzania.
Tutazame mambo haya...
Wana JF Salaam
Siku ya Jumapili usiku nilipita jirani na uwanja wa Sheikh Amri Abeid mjini Arusha,na nilikuta kundi la wanaoitwa watoto wa mitaani au wanaoishi kwenye mazingira magumu wapatao 18...
Scientists warn of sterility after testing temperatures of nether regions
Source: Reuters
Whoever invented the 'laptop' probably didn't worry too much about male reproductive health.
Turns...
Ivi inakuaje spidi ya gari mfano starlet ikiwa kwenye 100km/h inapitwa na basi kubwa ambalo lipo 80km/h.
Kama ishu ni gear box revolution,,sasa speed ipi ndo correct?
Leo nimesikia redioni (clouds)kipindi cha magazeti kuwa malimu self amekabidhiwa ofisi na kazi zake zitakuwa
1.kuhangaikia ukimwi,
2.walemavu
3.mazingira
4. Mihadarati
hii yanne nimeiona ni...
Gazeti la Nipashe linaripoti ya kuwa kesi ya Basili Pesambili Mramba na wenzake itaendelea kusikilizwa leo hii.......................Hii ni kesi ya kutoa zabuni kwa kampuni ya kuhakiki dhahabu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.