Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Naandika mwili ukitetemeka baada ya kushuhudia miili minne ya marehemu. Jamaa mmoja wa Mamba kokirie Moshi Vijijini,Macmilan Msami (49) amemchinja mama yake mzazi kama kuku kwa kutumia panga...
0 Reactions
8 Replies
5K Views
Niliposikia kauli ya Chili eti wabunge wa CHADEMA wanaweza kufukuzwa bungeni, nilimshangaa na kusema huyu ni Spika, naibu, au...? hata sheria na kanuni hajui, anaongea tu, uzee unamjia vibaya...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Source: Daily News of 19 Nov 2010 THE government has rejected the findings of a report showing continuous drop of the country's performance in agribusiness. Dubbed 'Policy, Regulatory and...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Respect Wakuu, Jamani mwenzenu naomba msaada katika hili. Juzi kule Zanzibar sherehe za sikukuku ya Idd El Hajj ziliambatana na Rais wa Zanzibar, Dr. Ali Mohamed Shein kugakuwa gwaride la jeshi la...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
In this TED talk, David Bismark discusses how election procedures are verifiable and transparent if they are computer-based. He proposes a system "for the people, and by the people". I couldn't...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mmoja wa mamodorator wa JF tuko naye hapa iringa kwenye semina iliyoandaliwa kwa waawaandishi wa habari kutoka Tanzania nzima. Moderator huyu(jina naliifadhi) ni mmoja wa facilitator kuhusu...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Hebu fikiria kuwa kuna mtu amekuletea mali ya wizi mfano simu ya bei kubwa (zaidi ya Tsh 600,000) akakuuzia bei poa kama Tsh 30,000, Je utakataa kununua? Kumbuka kuwa muuzaji humjui mmekutana tu...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Maafa makubwa yamekikumba kijiji cha Mamba Kokirie wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro baada ya mtu mmoja kumuua mama yake mzazi na watoto wake wawili kwa kuwakata na kuwachinja kwa panga...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wazee wa iliyokuwa Jumuia ya africa ya mashariki wanatarajia kuandamana ili kuishinikiza serikali kuwalipa mafao yao.maandamano haya yanategemewa kufanyika tar 23 nov mwaka huu. Source: clouds...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA JAKAYA MRISHO KIKWETE, KWENYE UZINDUZI RASMI WA BUNGE LA KUMI LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, DODOMA, 18 NOVEMBA, 2010...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
MMhhh jamani kaka zangu ZITO,SUGU,MNYIKA LISU KWA HILI LIMENISHTUA INGAWA BADO NARUSHA MAOMBI KILA KONA KAMA WABUNGE WA CUF WALIKALIA VITI VYA CHADEMA KWA LENGO BAYA BASI MUNGU AKAWAPIGE WAAO NA...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Ahmed Ghailani si wakumfunga gerezani bali ni wa kunyonga kama Saddam hussein.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari zenu wanaJF, Kwa kipindi kirefu sasa nimekuwa nikifatilia hoja mbalimbali ziletwazo hapa jamvini, katika kupitia huwa nakutana na replies ambazo kusema ukweli zinasikitisha sana. Majibu ya...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Jana mtoto wa Mkulima alitumia lugha hiyo Bungeni kumsifu JK. Kwa maeneo ya ukanda wa Pwani msemo huo ni matusi.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
COL Kent Kester, the Commander of the Walter Reed Army Institute of Research (WRAIR), handing over a vehicle to the Tanzania Peoples Defence Force (TPDF) Chief of Medical Services, Major General...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Kipigo hadi kifo kwa kumbaka mpwawe, binti wa miaka 7 Wananchi wenye hasira wamemuua Bw. Charle Mushozi, maarufu kwa jina la Kalwani (25-30) baada ya kumfumania nyumbani kwao akimbaka mpwaye...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
International Mens Day (IMD) Our theme in 2010 : Our children, our future International Men's Day began on November 19th 1999 in Trinidad and Tobago and was supported by...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wana JF TUCHUKUE HATUA GANI YA HARAKA NA MAKUSUDI?KWA KURA NAONA TUNAJIDANGANYA!KILA SIKU WATU WACHACHE SANA WALIOMADARAKANI WANAKULA JASHO LETU SISI IMEBAKI KUPOST TUU NEWS HUMU NA KUANGALIA...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Katika angaza angaza yangu nikapata hisia kuwa mh naibu speaker job ndugai aweza kuwa mbunge mfupi kuliko wote. Is this a fact au ni macho yangu?
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Back
Top Bottom