Jamani wanajamii naomba tujiunge pamoja kumsaidia Rachel,naona adhabu aliyopewa ni kubwa sana na ukizingatia kuna hadi mawaziri wana vyeti feki na wanapeta mtaani,sitetei makosa ya mwalimu lakini...
Ndugu zangu nimeuliza swali hili kuhusu namna ambavyo ndugu zetu Albino wanavyotendewa katika nchi yetu ya Tanzania. Tunajua wazi kuwa tatizo kubwa walilonalo wenzetu albino ni magonjwa ya ngozi...
Ndugu watanzania nawashauri mzidi kuungana kibieshara na nchi za kiaarabu.
Waarabu wanapenda waafrika na wanawaona waafrika ni kama ndugu zao wa karibu sana.
dalili kubwa ya haya nayoandika ni...
NAOMBA NIWATAHADHARISHE WABONGO WENZANGU HASA KINA DADA KUHUSU TAPELI WA KIUME ANAJIITA MIKE/STEVEN MWAKAWAGO....
IN SHORT UYU KAKA ANAJIDAI KUTUMA MSG NA KUJIDAI ANAKUFAHAM SANA NA PIA ANAJIDAI...
The design of the gospel of our Lord Jesus Christ is to break the yoke of sin and Satan and thus remove the burden of guilt and corruption. The SCOAN, as an arena of liberty is indeed living up to...
Nairobi, Kenya.
They will fix your jitters, workplace problems, court cases, and even revive your failing virility.
And they are invariably Dr this or Prof that from some place in Tanzania...
Nawauliza wanaojuwa sheria hivi haiwezekani huyu mnajimu Yahaya maana siwezi muita shehe ni kuwadhalilisha mashehe kwa raia wa kawaida akaenda mahakamani na kuomba azuiwe kisheria kutotoa matamshi...
Toxic AIDS drug on way out
<LI class=kaziBody><LI class=kaziBody>
By MASEMBE TAMBWE, 30th September 2010
TANZANIA has started phasing out use of anti-retroviral for HIV, stavudine, in line with...
Baada ya mfumuko wa vyuo vikuu nchini Tanzania baadhi ya kozi zimekosa watu wa kuzichagua au kujaza nafazi baada ya wanafunzi wenye sifa kupangiwa kozi walizoomba kupitia TCU. Hata chuo kikuu...
Mwanzoni nilizani ni traffic wadogo wenye kupenda rushwa la hasha naomba niwape hiki kisanga kimetokea saa saba mchana leo hii pale tazara
nikiwa natoka gongo la mbali traffic akawa anaita...
Salaam,
Wana JF mlio Dubai au wenye uenyeji na Dubai naomba msaada ufuatao.
1.Naomba kama mtu anaweza kunieleza contacts za hotel ya kati ya US$ 30-50/single/BB-prefarable karibu na Deira au Nasr...
Mkuu wa kaya pole na mihangaiko ya kampeni naona imepamba moto kweli kweli ! Uzuri ni kwamba libeneke bado linaendelea kama kawa hivyo lazima nikupongeze sana kwa hilo !
Sasa pamoja na...
Mema haya msije mkazembea mkayakosa:-
a)Nitachakachua matokeo na kuhakikisha CCM inashinda kwa zaidi ya asilimia themanini.
b)Nitaishinikiza NEC ifukuze wapigakura vituoni kurahisisha...
By Jerry Okungu
MY interest in Tanzanias impending elections is obvious. I am a Kenyan and an East African. I claim both nationalities by birth, inheritance and history. The reason Tanzanias...
Jamani vita dhidi ya malaria, UKIMWI kama watu wenyewe hatutakuwa tayari, haitafanikiwa. Mkazi mmoja wa Kyela atumia vyandarua vya hati punguzo kuwekea uzio wa bustani yake ya mbogamboga. Haya...
JAMANI mwenzenu jana na mimi nilionja adha ya kubambikwa kesi.... nitarudi muda si mrefu kusimulia kwani sasa naenda kuwaona na kuangalia utaratibu wa kupelekana mbali unakaaje, ila kwa kifupi ni...
U might have seen it before, many times, but i think It worthy a repetition, and please if any one among us can tell us Who plan this and why?
Have a history teacher explain this----- if...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.