Maoni ya katuni
Kumekuwa na kauli tete kwamba mbu wameongezeka sana katika eneo la Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, na ongezeko hilo linadaiwa kuchangiwa na utafiti...
Wadau naomba msaada wenu.
Nipo kikazi huku kusini mwa Tanzania. ni karibia wiki moja sasa, na nitakaa kwa wiki nne.
Mara ya kwanza nilifikia katika gest moja hivi ya kawaida tu. Lakini kuna rafiki...
Hashim Lundenga na kampuni yake ya Lini anatumia Generic name la tanzania yeye na familia yake na bado tunampa bendera ya nchi kwa nini jamani wadanganyika?
Linoagency ni nini kwa watanzania...
WASHINGTON Astronomers say they have for the first time spotted a planet beyond our own in what is sometimes called the Goldilocks zone for life: Not too hot, not too cold. Juuuust right.
Not...
NASHINDWA KUAMINI NCHI HII TUMEFIKIA KULIPANA MISHAHARA KWA WATUMISHI WA SERIKALI KIMAFUNGU, MISHAHARA MIPYA INASEMEKANA WAMELIPWA BAADHI YA WATUMISHI KAMA WA TAMISEMI NA MAJESHI, NA WALE KAMA WA...
Kama kuna mtu anaweza akanipa mwelekeo mzima ya kwamba nani anaweza kuchagua syllabus ya shule ya kufuata kama syllabus,ya kimataifa naomba msaada...
Procedure nzima na who to choose the...
Jamani nipo kwenye semina moja katika mkoa mmoja tanzania,leo ni siku ya tatu na mwisho wa semina yetu lakini semina yetu ilkuwa hivi.
Jumatatu tulianza semina saa 3:30 badala ya saa 2 asubuhi...
Mimi nimekua nteja mzuri sana wa tigo kwa miaka kama nane hivi tangu nipo shule hadi nafanya kazi na kuanza familia.
It was reasonably cheap kwa kweli for all those years and maybe it still is...
Nimejaribu kutafakari matukio ya ujambazi yanayotokea kila kukicha na kujiuliza hivi kweli tanzania kuna amani au ni wanasiasa wetu wamezoea kutumia huo msemo kuzidi kujipatia kila wanachotaka...
I really 102.6fm with all its programs sema one thing bothers me alot
hivi kwa nini 102.6fm kila ashubui kipindi cha baby kabae analalamika mtandao uko slow eti hawezi pata news.satellite ipo...
Nimeambiwa hizi saluni za gharama za kuwarembesha hakina mama nasikia ndo akina mama wengi wenye busara zao hukutana na mabwana zao kwakuogopa umbea wa magazeti ya udaku!!hivyo ukienda huko...
Wanajamvi,
Nimesikiliza kwenye summary ya magazeti RFA asubuhi hii, kuwa yule Mtabiri na Mnajimu, aka "mzee wa ulinzi wa majini" amebashiri kwamba Mgombea mmoja machachari sana anayepania...
This story could go into the "San Diego's Dumbest Criminals" file. A Lakeside man goes to visit his son in a Colorado prison and ends up behind bars himself on suspicion of smuggling drugs...
Hivi karibuni baadhi ya wanahabari ikiwemo gazeti makini la Raia Mwema walitutaja sisi wana JF kama wanamtandao ambao tumempa Dk Slaa kura nyingi za Urais.
Je wana JF tutawezaje kuifanya JF kuwa...
Kuna familia moja ambayo mama ndiye anayejua watoto wale nini,wasome wapi, wavae nini na waishi wapi kwa maana ya kwamba hadi pango mama ndio anayelipia kodi. Mume hana habari na hivyo vitu, yeye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.