A problem with the undersea cable that brought high-speed net access to East Africa has been identified.
The cable owners, Seacom, said the faulty section is "at one of the deepest...
Uhalifu, mauaji nje nje!
Eneo la Mbezi wilayani Kinondoni hivi sasa ndilo linaloongoza kwa matukio ya uhalifu katika Jiji la Dar es Salaam.
Kuna mlolongo wa matukio ya...
Nilikuwa nasoma gazeti la habari leo, kuhusu awamu ya nne kutoa ajira zaidi ya milioni moja. Nilipofika kwenye maoni ya wasomaji nikakutana na maoni haya. Its funny!!
Hii inaweza kuwa kweli...
Kuna asilimia kubwa ya watanzania wenye kuandika maneno haya wakimaanisha yafuatayo
aendi-haendi
ana-hana
una-huna
uduma-huduma
aina-haina
raisi-rahisi
ukumu-hukumu
mana-maana
Je, hii ni "slang"...
Kuna habari kwenye gazeti la mtanzania ukurasa wa tatu kuhusu kufungiwa kwa vituo vya mafuta vinavyo milikiwa na mbunge wetu wa Musoma mjini, kwa sababu ya uchakachuaji! Hii inamaanisha nini...
Imeandikwa na Na Maulid Ahmed;
Tarehe: 8th July 2010
Habari Leo
MBOGA za majani, ukiwemo mchicha, zinazolimwa kwa kumwagiliwa maji ya Mto Msimbazi jijini Dar es Salaam,si salama kwa...
Wakuu heshima mbele
kama kichwa cha habari kinavyojieleza,bila shaka kuna wadau wanaotumia
mtandao majumbani humu jamvini. Ningependa kufaham ni shirika gani ama
huduma gani ni angalau ni...
Yaelezwa muuaji alikunywa damu
Shahidi wa pili katika kesi mauaji ya mtoto mwenye ulemavu wa ngozi (albino), ameieleza Makahama Kuu ya Tanzania Kanda ya Mwanza kuwa alimuona...
ASKARI wa kikosi cha reli cha Jeshi la Polisi wamebuni njia mpya ya kujipatia kipato kwa kuwatoza abiria fedha za nauli na faini ndani ya treni huku wale wanaokosa wakipigwa na kufungwa pingu...
Jamani sina uhakika na hawa tbc one na jinsi wanavyoaandaa vipindi vyao
vya tv lakini kilasiku kuna makosa ya kipuuzi hadi unajiuliza
kama kuna watu serious pale....
Waliotazama taarifa ya...
Open Letter To President Kikwete
Mr. President, I will not pretend to lecture you on the daunting tasks ahead of you since you see the data and the intelligence; rather, I will simply remind you...
Nimepokea kwa masikitiko sana habari za kujiua kwa askari watatu katika kipindi kisichozidi mwezi mmoja, wa mwisho kajiua jana huko iringa. Ukiangalia kwa undani sababu za vifo vyao vina kila...
Usiku wa kuamkia jana(yaani juzi) ofisi za Global Publishers zilivamiwa! Mara baada ya uvamizi huo walimteka mlinzi na kumfunga kamba kisha kuondoka naye na kwenda kumtupa maeneo ya kurasini...
Kile kijiwe cha mabishoo na watoto wa vigogo kimefia wapi? Naona wanachama wengi wa kile kijiwe wamehamia hapa. Pumba za walizokuwa wanaandika kule wameziacha siku hizi. Labda wengi wameshakuwa...
Mwezi uliopita tuliambiwa vyandarua vitagawiwa bure kwa watoto wote wenye umri wa mpaka miaka mitano na zoezi hili lingeanzia mkoani Dar.Kumekuwa na malalamiko mengi magazetini na kwenye TV maeneo...
From MARTHA MTANGOO in Dodoma, 9th July 2010 @ 12:00,
Daily News
FIFTEEN people died on the spot and 48 were severely injured when a lorry heading to the auction market overturned at Mnenia...
WanaCCM na Wapenzi wa CCM nchini Finland wanatarajia kufungua tawi la kwanza nchini Finland katika mji mkuu wa nchi hiyo Helsinki. Wananchama, Wapenzi na Washabiki wa CCM wote katika Finland na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.