Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Sio kama nasifia.. ila nimefurahishwa na ziara yake ya kimyakimya bongo. Baada ya show kali na kucheki vuvuzelaz South Africa, akenda kuona maendeleo ya kampeni zake huko kwetu Uyui-Mbola...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa wale ambao wangetaka kufuata nyayo za China (bila uelewa wa Mao wala wa Deng Tsiao Ping) huku wakiogopa migomo ya Wafanyakazi kuliko wanavyoogopa ukimwi... By Don Durfee – 15 July 2010...
0 Reactions
1 Replies
910 Views
Jamani naomba kuwasalimie wote kwenye jukwaa hili la siasa. Kwa vile bado nipo porini, nitawasiliana nanyi baadaye ili niwape vizuri habari za huku porini Mzeewapori
0 Reactions
5 Replies
1K Views
hawa jamaa waliwahi kunikamata mara kadhaa kwa kosa la kumbeba abiria ambaye hajavaa kofia (helment) ya pikipiki kwa ajili ya usalama. wakalamba buku tano yangu. But huwa najiuliza sana je wao...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
WATU saba wamekufa papo hapo na wengine wanane kujeruhiwa katika ajali ya lori iliyotokea usiku wa kuamkia jana wilayani Handeni, Tanga. Habari zilizolifikia gazeti hili jana zimeeleza kuwa lori...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kijana mmoja aliyejulikana kwa jina moja la Sadam ameauwa kwa kupigwa risasi mchana wa leo katika baa maarufu ya Angels' Park iliyoko Ilala Sharief Shamba jijini Dar es salaam!! Kijana huyo...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Ukifuatilia taarifa ya habari ya saa mbili usiku TBC1, utakutana na tangazo "mpenzi mtizamaji yuma maoni yako kwenda namba fulani hivi, na maoni yako yatarushwa katika live kwenye taarifa hii ya...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
This is a recent statement by Michael *****: ***** wrote in a June 3 e-mail that "east Asians and their descendants averaged larger brain size, higher intelligence and social organization than...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Salam zenu wana JF. Kuna taarifa za uhakika kwamba wizi wa vitu kama laptop na "pawa windo" kwenye magari yaliyoegeshwa haufanyiki Mlimani City pekee, bali ni mji mzima wa Dar es Salaam kwa sasa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Picha ya kuchora ya Mzee Mandela yaleta utata, sawa na ule wa mtu kujaribu tu kutaja kifo cha Mzee Jomo Kenyatta nchini Kenya! Nelson Mandela autopsy painting sparks South Africa row A...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kwa mara ya kwanza tokea nimezaliwa ndio nimesikia leo kuwa mfanya biashara mkubwa na ni mwanachama wa CCM tokea enzi za TANU na alikuwa rafiki wa Baba wa Taifa hayeti Julius Nyerere amechangia...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kuna uwezekano mkubwa sana Balaza la sanaa Tanzania kuingia katika Mgogoro mkubwa na kuliingiza Taifa katika hasara Kubwa. Si hivyo tu, pia Image ya Tanzania inaweza kuingia doa kwa Uzembe ama...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kwa siku za karibuni, imekuwa ni kitu cha kawaida baadhi ya watu kupokea ujumbe wa simu ukiwaomba na kuwahamasisha kuchangia CCM. Na hivi karibu kuna washikaji zangu wamepokea ujumbe ukiwataarifu...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
HABARI Naomba isaidiwe familia hii njia nyepesi ya kufanya DNA TEST maana walipokwenda kwa mkemia mkuu wakaambiwa wapeleke barua toka mahakamani au ustawi wa jamii na walipoenda huko wakasema...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wakuu! Nawasabahi! ndio kwanza nimeingia ofisini asubuhi hii nimepatwa na masahibu wakati niko kwenye folen kuja ofisini maeneo ya Millenium Tower transforma imelipuka nilikuwa nimeacha kioo cha...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Hii bongo inavutuko sana kwa kweli. Yaani hawa watu wameacha bidhaa zimepita bandarini, ati waje kwangu kukagua!? Nahisi ni hadithi tu. Wameacha kukagua dawa fake kwenye pharmacies; watu wanakufa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Never believe all you hear, there is a big difference between what people say and what they do. Many people are sweat talkers promising heaven, mars, the moon, stars and the whole universe. In my...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kuna kitu kilikuwa kinanisumbua kwa muda mrefu tokea wakati wa utawala was Rais Mkapa. baada yakuumia mguu baadae wasaidizi wake walikuwa wanazunguka na moja ya viti vilivyopo Ikulu ili aweze...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Barrick`s billion dollar deal a dream to locals By Staff writer 28th February 2010 Tanzanian investors may miss the golden opportunity to own one of Africa's biggest gold mines, Africa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
aliyekuwa mhadhiri wa muda mrefu katika kitivo cha utawala na uongozi cha chuo kikuuu Mzumbe Morogoro, Dr. Katalyeba alizikwa jana. naamini wengi mliowahi kusoma pale mtamkumbuka mzee huyu...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Back
Top Bottom